Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
- Thread starter
- #161
Namwonea huruma mhe. Pombe magufuli kwa kupigwa stop hadharani tena mbele ya wapiga kura wake ya kubomoa majengo yaliyo ndani ya hifadhi ya barabara. Sijui kama hakuwa anatambua tofauti ya Ben na Jakaya. Kama hakutambua hilo basi nampa pole tena sana.