ametoa maagizo kwa staili ile ile magufuli aliyotoa maagizo yake kwa mameneja wa tanroads. La sivyo nyumba za waannchi zingebomolewa bure
Bongo mm inaniacha hoi, hivi hawa wakubwa, hawakai kwanza wakakubaliana wafanye nn na wasifanye nn? This is disgusting!
Ni sawa na familia, mama anawambia mtoto nenda shule, baba baadae anamwambia usiende, mwishowe mtoto anachanganyikiwa! anaona baba na mama wote wazushi!
Naona ingekuwa vizuri kama WM (PM) angemwagiza yeye mwenyewe Makufuri kusitisha zoezi hilo ili kuepuka kumdhalilisha na kumvunja moyo waziri wake? Yawezekana kweli kukawepo na jambo mgongoni mwa agizo hilo