Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
ccm inataka wachovu sio wafanyakazi. Sasa dr magufuli anafanya kazi wanaingiza siasa. Kazi na siasa havichanganyiki. Na ndo maana miji iko kiholela tu, foleni, kila kitu vululuvululu. Kama vipi dr jiuzulu waachie serikali yao.
kazi gani kama vile kubomoa peterol station kwa madai iko kati hifadhi ya barabara halafu serikali ilazimike kulipa bilioni 3 kama fidia?