issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
Tatizo watumishi wengi wa serikali/umma hawafanyi kazi kwa kufuata taratibu/miongozo ya kazi zao, bali hufuata matakwa ya wanasiasa (wenye maslahi binafsi). Ndio maana hata kwenye kesi ya Mbowe ulikuwa unasikia afisa wa polisi anaulizwa kuhusu vifungu vya PGO ambayo ni muongozo wa utendaji wao wa kazi lakini anasema hajuiPPRA kazi yake kuu hasa ni nini naona haifanyi majukumu yake ipasavyo