Katelephone bana mikwara mbuzi kibaaaao😀Ilitakiwa aseme awakute selo sio ofisini.
Katelephone bana mikwara mbuzi kibaaaao😀Ilitakiwa aseme awakute selo sio ofisini.
Hakuna cha jibu wala nini? Ni uzembe wa hawa hawa akina Majaliwa. Hivi kweli mnategemea kuona maendeleo kwa kuongozwa na watu kama hawa? Ni kipi waliweza?duu hii MSD ni jipu linaloligharimu hili Taifa
Yaani unagundua tatizo badala ya kuamuru mhusika/wahusika kushikiliwa Leo unaagiza kukutana J3 kwa mantiki hiyo umewaambia wakabadili namba.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Godfred Mbanyi amkute katika ofisi za Bohari ya Dawa (MSD) Jumatatu saa nne asubuhi, baada ya kubaini madudu katika ununuzi wa vifaa vya matibabu.
Waziri Mkuu ametoa agizo hilo katika ufunguzi wa Wiki ya Ununuzi wa Umma jijini Arusha ambapo ametaja gharama kubwa iliyotumika kununua vifaa hivyo tofauti na bei halisi za soko, na hivyo kupoteza fedha nyingi za umma na kuwakosesha wananchi huduma kwani vifaa vilivyonunuliwa ni vichache.
Akizungumza na wataalamu wa ununuzi na ugavi, ametaja baadhi ya manunuzi hayo kama vile ununuzi wa seti moja ya vitenganishi kwa ajili ya awamu moja ya kusafisha damu kwa shilingi 65,000, lakini wakanunua kwa shilingi 189,000.
Aidha, MSD walitakiwa kununua mashine ndogo ya kipimo cha haemolojia ya mwili kwa shilingu milioni 5, lakini wakanunua kwa shilingi milioni 14,045,000.
Ametoa mfano mwingine ambao ni kipimo kikubwa cha haiemolojia ya mwili ambacho ni shilingi milioni 37, lakini MSD wamenunua kwa shilingi milioni 147.9, pia walitakiwa kununua mashine ya kuchakata maji kwa ajili ya kusafisha damu ambacho kinauzwa milioni 32 lakini wamekinunua kwa shilingi milioni 129.
"Kwanini hili linatokea? kwa maslahi ya nani?" amehoji Waziri Mkuu
Kutokana na PSPTB kuwa na jukumu la kuwachukulia hatua wataalamu wa ununuzi na ugavi wanaokiuka sheria, Waziri Mkuu Majaliwa ameiagiza kufika ofisi za MSD akisisiitiza kuwa serikali haiwezi kukubali hali hiyo kuendelea.
"Na mimi sitasita kwenda na Kamanda Sirro, na Kamanda Hamduni, ili washughulike na watu. Lazima tuanze na watu hawa wanaofanya kazi hii, wakae nje, hatua nyingine zifuate," amesisitiza Waziri Mkuu Majaliwa
Ameongeza kuwa pengine wasimamizi wa vitengo vya ununuzi na ugavi wanahitaji kuapishwa, kutokana na unyeti wa nafasi zao katika kutoa huduma kwa Watanzania.
Huu ni mkwala mbuzi wala hakuna chochote. Hao kina Siro wenyewe wapigaji. Majaliwa mwenyewe mpigaji. Hamna lolote.Enzi zimeshapita, mkwara kama huu wakati wa JPM tayari watu wangeshakimbia nchi. Lakini huyu wa kukunwa vizuri na kupapasa ndo wamekula kwa urefu wa kamba zao.
Eti wahalifu wamsubiri aende na siro na hamduni utafikiri huko hakuna polisi wa kuwaweka ndani.
Acha aupige mwingi.
January oyeee
Nape oyeee
Riz1 oyeee
Mama wa mafao ya wake za viongozi oyeee
Haya majizi msubirini katelefone anakuja na siro na hamduni.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mjeshi mwenywe ndo balaa sasa, kumbe huna taarifa; brigedia jizi sana lile liliamini watu wataogopa magwanda yakeKwani hapo MSD si palikuwa panaongozwa na mjeshi?wabongo noma sana hawakuogopa hata zile gwanda
Taarifa za ubadhirifu ni nyingi kuliko hatua zinazochukuliwa. Si yo sifa kuripoti wizi bila ya hatua.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Godfred Mbanyi amkute katika ofisi za Bohari ya Dawa (MSD) Jumatatu saa nne asubuhi, baada ya kubaini madudu katika ununuzi wa vifaa vya matibabu.
Waziri Mkuu ametoa agizo hilo katika ufunguzi wa Wiki ya Ununuzi wa Umma jijini Arusha ambapo ametaja gharama kubwa iliyotumika kununua vifaa hivyo tofauti na bei halisi za soko, na hivyo kupoteza fedha nyingi za umma na kuwakosesha wananchi huduma kwani vifaa vilivyonunuliwa ni vichache.
Akizungumza na wataalamu wa ununuzi na ugavi, ametaja baadhi ya manunuzi hayo kama vile ununuzi wa seti moja ya vitenganishi kwa ajili ya awamu moja ya kusafisha damu kwa shilingi 65,000, lakini wakanunua kwa shilingi 189,000.
Aidha, MSD walitakiwa kununua mashine ndogo ya kipimo cha haemolojia ya mwili kwa shilingu milioni 5, lakini wakanunua kwa shilingi milioni 14,045,000.
Ametoa mfano mwingine ambao ni kipimo kikubwa cha haiemolojia ya mwili ambacho ni shilingi milioni 37, lakini MSD wamenunua kwa shilingi milioni 147.9, pia walitakiwa kununua mashine ya kuchakata maji kwa ajili ya kusafisha damu ambacho kinauzwa milioni 32 lakini wamekinunua kwa shilingi milioni 129.
"Kwanini hili linatokea? kwa maslahi ya nani?" amehoji Waziri Mkuu
Kutokana na PSPTB kuwa na jukumu la kuwachukulia hatua wataalamu wa ununuzi na ugavi wanaokiuka sheria, Waziri Mkuu Majaliwa ameiagiza kufika ofisi za MSD akisisiitiza kuwa serikali haiwezi kukubali hali hiyo kuendelea.
"Na mimi sitasita kwenda na Kamanda Sirro, na Kamanda Hamduni, ili washughulike na watu. Lazima tuanze na watu hawa wanaofanya kazi hii, wakae nje, hatua nyingine zifuate," amesisitiza Waziri Mkuu Majaliwa
Ameongeza kuwa pengine wasimamizi wa vitengo vya ununuzi na ugavi wanahitaji kuapishwa, kutokana na unyeti wa nafasi zao katika kutoa huduma kwa Watanzania.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Godfred Mbanyi amkute katika ofisi za Bohari ya Dawa (MSD) Jumatatu saa nne asubuhi, baada ya kubaini madudu katika ununuzi wa vifaa vya matibabu.
Waziri Mkuu ametoa agizo hilo katika ufunguzi wa Wiki ya Ununuzi wa Umma jijini Arusha ambapo ametaja gharama kubwa iliyotumika kununua vifaa hivyo tofauti na bei halisi za soko, na hivyo kupoteza fedha nyingi za umma na kuwakosesha wananchi huduma kwani vifaa vilivyonunuliwa ni vichache.
Akizungumza na wataalamu wa ununuzi na ugavi, ametaja baadhi ya manunuzi hayo kama vile ununuzi wa seti moja ya vitenganishi kwa ajili ya awamu moja ya kusafisha damu kwa shilingi 65,000, lakini wakanunua kwa shilingi 189,000.
Aidha, MSD walitakiwa kununua mashine ndogo ya kipimo cha haemolojia ya mwili kwa shilingu milioni 5, lakini wakanunua kwa shilingi milioni 14,045,000.
Ametoa mfano mwingine ambao ni kipimo kikubwa cha haiemolojia ya mwili ambacho ni shilingi milioni 37, lakini MSD wamenunua kwa shilingi milioni 147.9, pia walitakiwa kununua mashine ya kuchakata maji kwa ajili ya kusafisha damu ambacho kinauzwa milioni 32 lakini wamekinunua kwa shilingi milioni 129.
"Kwanini hili linatokea? kwa maslahi ya nani?" amehoji Waziri Mkuu
Kutokana na PSPTB kuwa na jukumu la kuwachukulia hatua wataalamu wa ununuzi na ugavi wanaokiuka sheria, Waziri Mkuu Majaliwa ameiagiza kufika ofisi za MSD akisisiitiza kuwa serikali haiwezi kukubali hali hiyo kuendelea.
"Na mimi sitasita kwenda na Kamanda Sirro, na Kamanda Hamduni, ili washughulike na watu. Lazima tuanze na watu hawa wanaofanya kazi hii, wakae nje, hatua nyingine zifuate," amesisitiza Waziri Mkuu Majaliwa
Ameongeza kuwa pengine wasimamizi wa vitengo vya ununuzi na ugavi wanahitaji kuapishwa, kutokana na unyeti wa nafasi zao katika kutoa huduma kwa Watanzania.
Fuatilia vizuri utakuta huyo mjeda ndio alikuwa mpigaji balaa.Kwani hapo MSD si palikuwa panaongozwa na mjeshi?wabongo noma sana hawakuogopa hata zile gwanda
Asiishie Msd acheze na ripoti nzima ya CAG
Na watu wameuhalalisha kweli huo wizi huko serekalini,na tangu Mama kasema kila Mtu ale kwa urefu wa kamba yake, Watumishi wanajiachia tu na Upigaji!!Uwiz ndiyo jadi yetu
Ova
Sasa mh. Waziri mkuu hapo msd hakuna tiss Wala mwana inteligensia wa kuwainform takukuru na tiss headquarter juu ya wizi unaotarajiwa kutoka ili uthibitiwe?
Au ndio madhara ya kuwaajiri watoto wenu wasio na weledi au uvccm chawa kwenye idara nyeti?
Waziri wa afya anasemaje kwani Hadi wewe uingilie kati? Basi sawa, mfagilie mbali na yeye Kwa kushindwa kuisimamia idara yake!
Mnajichora Kwa wananchi chukueni hatua bila kumuonea yeyote!