Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,673
- 22,264
Waliposema kula kulingana na urefu wa kamba yako wslisahau kuwa kamba nyingine ni za nailoni, hizi zinavutika, kama mashine inauzwa shs 20,000,000/= ikinunuliwa kwa shs 100,000,000/= simbaya kulingana na kamba ya nailoni inayovutika.