Waziri Mbalawa, ulisema mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi sasa mbona haonekani site Tanga mjini na Pangani?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,402
74,008
Hii ni kukutaarifu tu kuwa mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi haonekani site Tanga mjini wala Pangani? Hii ilikuwa ni mara ya mwisho sometime in September uliposema hayo mbele ya camera

Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili
 
Hii ni kukutaarifu tu kuwa mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi haonekani site Tanga mjini wala Pangani? Hii ilikuwa ni mara ya mwisho sometime in September uliposema hayo mbele ya camera

Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili
Kwa trending yake na wengine ndani ya ccm usiwekeze sana kuwaamini maana wamejawa na ulaghai, ghiliba na uhuni wa kila aina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kukutaarifu tu kuwa mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi haonekani site Tanga mjini wala Pangani? Hii ilikuwa ni mara ya mwisho sometime in September uliposema hayo mbele ya camera

Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili
Kwa trending yake na wengine ndani ya ccm usiwekeze sana kuwaamini maana wamejawa na ulaghai, ghiliba na uhuni wa kila aina
 
Hii ni kukutaarifu tu kuwa mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi haonekani site Tanga mjini wala Pangani? Hii ilikuwa ni mara ya mwisho sometime in September uliposema hayo mbele ya camera

Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili
Waziri wa Ujenzi ni Bashungwa, Mbarawa hatokusaidia
 
Hii ni kukutaarifu tu kuwa mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi haonekani site Tanga mjini wala Pangani? Hii ilikuwa ni mara ya mwisho sometime in September uliposema hayo mbele ya camera

Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili
Hii ndio Tzn,maigizo ni sehemu ya utaratibu
Screenshot_20231006-174419_1.jpg
 
Back
Top Bottom