Hii ni kukutaarifu tu kuwa mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani umemlipa bilioni 3 kuanza kazi haonekani site Tanga mjini wala Pangani? Hii ilikuwa ni mara ya mwisho sometime in September uliposema hayo mbele ya camera
Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili
Mvua zinanyesha ni tope tupu kila mahali! Mwambie basi aje alikwangue tope aliloliweka maisha yaendelee na barabara zetu za vumbi kuliko tope hili