Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

1.
At least forum inaondoka na yale mambo ya kufuata mkumbo wa uongo au upotoshaji.
Kwa mantiki hiyo, kanyaga twende kaka, speak your mind! Unatusaidia sana tu wengine hapa kwa kuangalia kwako upande wa pili wa shilingi. Iko siku Tanzania itapata watu 20 kama wewe, mnatosha kuanzisha baraza la mawaziri kama la Korea. Ni hakuna kulala, hata kama hakuna aliyekula.

Masha: Tender claim is a smear campaign

By Orton Kiishweko, Dodoma
THE CITIZEN
2009-02-04 08:42:00

1. Home Affairs minister Lawrence Masha yesterday denounced as "character assassination" allegations of influence peddling in the tendering for the Sh200 billion national identity card project.

2. Speaking to The Citizen at the Parliament Grounds, Mr Masha said that only the Parliamentary Committee on Security and Defence could make a ruling on his alleged interference in the process.

3. The minister told those accusing him of impropriety that they should let the committee determine whether or not he breached the public procurement rules and procedures.

4. He said the committee should be given time to find out whether he did anything wrong in the execution of the tender to find a suitable company to implement the National Identity Card Project.

5. Mr Masha was for the first time publicly responding to accusations against him since the controversy broke last week. He called for patience from the public as the committee establishes whether, as has been alleged by his critics, he interfered in the deal in favour of one of the 54 companies vying for the contract.

6. "Whatever has been reported in some sections of the media, it is evident, is aimed at character assassination. But what I can say is that I am ready to wait until the committee completes its investigation,"he said.

7. Speaking after yesterday's mid-morning parliamentary session, Mr Masha said he was ready to be questioned by the committee over his alleged interference in the tender process.

8. "It's the committee that will establish my actual role in the project. As of now, any person is entitled to perceive my role in the ID project differently but the committee will decide whether I did anything wrong," he said.

8. , that will, in essence, mean that I am going against the oath I took as a Cabinet minister to safeguard the Government's secrets,"he said.

- Sasa tutaenda pole pole na hii ishu ili kujua ukweli ulipo, tumesikia ya pande zingine, za member wa JF hapo juu zaidi na huko nyum aon this ishu, na majibu ya Waziri Masha chini yake na tutaendelea kuchambua zaidi, maana sasa kila pande husika zinaongea, imebaki zamu ya uchunguzi wa kamati ya bunge ambayo ina documents zote zinazohusika mikononi.

thanxs!
 
Are you jealous?

About what? Kwamba mko obsessed na Kuhani? Or is it the case of the pot calling the kettle......? Obsession yenu ina wa-cloud na inachangia sana katika kuharibu mijadala. Having said that, I am out of here for I don't want to enter into a protracted debate over Kuhani in this thread. It is just not worth it.

Amandla........
 
About what? Kwamba mko obsessed na Kuhani? Or is it the case of the pot calling the kettle......? Obsession yenu ina wa-cloud na inachangia sana katika kuharibu mijadala. Having said that, I am out of here for I don't want to enter into a protracted debate over Kuhani in this thread. It is just not worth it.

Amandla........

I think you are jealous, though...
 
1. Date::2/4/2009 Spika awaziba midomo wabunge kuzungumzia suala la Masha

Na Leon Bahati, Dodoma
Mwananchi

1. SPIKA wa Bunge, Samweli Sitta amewaonya wajumbe wa kamati za kudumu za bunge kutotoa taarifa kwa waandishi wa habari katika siku ambayo Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ilikuwa inamuhoji Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, kuhusu zabuni ya uchapishaji vitambulisho vya utaifa.

2. Masha anadaiwa kuingilia mchakato wa utoaji zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa kwa kutaka kurejeshwa kwa kampuni ambayo ilienguliwa katika hatua za awali, kitu ambacho kinaelezwa kuwa ni ukiukwaji wa Sheria ya Manunuzi ya Umma.

3. Tuhuma hizo zimeifanya kamati hiyo kumuita Masha kwa ajili ya mahojiano, huku umma ukisubiri kwa hamu matokeo ya usaili huo.

4. Lakini jana, Spika Sitta alizima hoja ya kujadiliwa bungeni madai ya ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya umma katika ununuzi wa rada na mchakato wa zabuni ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.

5. Sitta aliwaambia wabunge jana mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu kuwa kitendo cha kutoa taarifa zozote zilizojadiliwa ndani ya kamati kabla ya kuwasilishwa bungeni, ni kuvunja kanuni ya bunge ibara ya 114 kifungu cha 11 na 12.

6. Alisisitiza kuwa yeye kama spika wa bunge atahakikisha kuwa atakayekiuka kanuni hizo anachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria hizo zinazoliongoza bunge. "Mimi kama spika wa bunge hili nina wajibu wa kuhakikisha kuwa kanuni za bunge zinafuatwa," alisema Sitta akiwaonya wabunge.

7. Moja ya habari ambazo ziliandikwa na vyombo vya habari wiki hii ni juu ya taarifa kuwa Masha aliingilia mpango wa utoaji wa zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa, kwa kutaka moja ya kampuni zilizoondolewa katika hatua za awali za mchakato irejeshwe.

8. Katika chokonoachokonoa za waandishi wa habari, ilibainika kuwa moja ya hoja ambayo jana ilikuwa ijadiliwe kwenye kikao cha Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ni hoja binafsi ya Mbunge wa Karatu, Willbrod Slaa dhidi ya tuhuma zinazomkabili Masha.

9. Dk. Slaa aliamua kutoa hoja hiyo binafsi baada ya Sitta kuyazima maswali yake mawili ya nyongeza Alhamisi iliyopita baada ya kutoridhika na jibu la swali la msingi alilomuuliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo.

10. Katika swali la msingi, alitaka kujua hatua ambazo serikali inachukua dhidi ya Masha baada ya kuonekana kukiuka taratibu za manunuzi kwa kulazimisha kampuni ambayo tayari iliondolewa kwenye mchakato, irejeshwe.

11. Pinda alimjibu kuwa Dk. Slaa ameharakisha kuuliza swali hilo na kwamba alipaswa kusubiri hadi mwisho wa mchakato na kuona serikali itakuwa imechukua hatua gani.

- Nafikiri kwenye habari hii ukweli unajisema wenyewe, kwamba pamoja na kichwa cha hii habari kuwa hakifanani kabisa na habari yenyewe, lakini sio haba kwamba ni habari zaidi kwenye ishu hiii, na kuna msisitizo wa kuisubiri kamati ya bunge iseme matokeo, badala ya kuhukumu ndani ya bunge kwa kutumia habari zisizo rasmi kisheria za bunge.

- Tutaendelea kuzichambua habari zinazokuja huku tukisubiri matokeo.
 
1. Tanzanianjema : Tanzanianjema has no status.
JF Senior Expert Member Join Date: Wed Jan 2007

Kundi la Masha lageuza zengwe la ID kwa kundi la Membe

2. Kuna taarifa nimezipata kuwa lile zengwe la kuingilia taratibu za tenda ya kuendesha mradi wa vitambulisho nchini limekuwa zaidi ya ulaji wa Masha. Hivi sasa sakata hilo limegeuzwa kama vita kati ya "akina Masha" Vs "akina Membe"

3. Sakata hilo sasa limeelekea bungeni ambako sumu imepenyezwa katika kambi ya upinzani ikidaiwa kuwa ni barua iliyopelekwa kwa Mheshimiwa Pinda kutoka kwa wazalendo serikalini.

4. taarifa niliyonayo ni kuwa kilichofanyika ni kuchukuwa some facts na kuzitwist pamoja na zengwe's na kutengeneza skendo ambalo wanaamini litamwingiza matatani Membe ambaye wameapa kuwa hatafika 2010 kisiasa kama njia ya kumzuia "asimrithi" JK ama 2010 au 2015.

- Sasa na hii nayo ni habari zaidi kuhisna ana hii ishu, kwa hiyo wakuu ninaamini kuwa tuna kazi kubwa sana hii ishu, kuliko kurusha hukumu za haraka haraka na kutafutana uchawi hapa JF bure wakati bado kuna mengi ya kujifunza na kusikia form this ishu.

- Mkuu wangu Tanzanianjema, ubarikiwe kwa hizi habari ambazo huko nyuma ziliwahi kuletwa kama sikosei na Mkulu wangu GT, ninaziamini hiz dataz zako kwa 100% kuwa ni za kweli kabisaa.

Thanxs!
 
FMES,

..nadhani kinachogombewa hapo ni ulaji tu.

..kwanini makampuni mengine yaliyoomba hiyo kazi hayatajwi?

..bora hiyo tendering process ingesitishwa, ili waliokula hela za watu wazirudishe.
 
2.

- Ahsante Mkulu Nyani na Mkulu wangu Yoursnameismine, tupo pamoja na kama kawaida tutaendelea kuwa pamoja katika kujaribu kutafuta sotuions za matatizo ya taifa letu, tuinatoka mbali sana na bado safari ni ndefu zaidi kuliko tulikokotoka.


- Huwa sijali sana yaliyopita, maana kila siku mpya ya Mungu inaleta mapya tena mengi sana mazuri kuliko ya jana, kutoka Jumapili nimeona mashambulizi na nimeyajibu kama ninavyoweza, na given a chance ninaweza kurudia tena exactly the same na zaidi. Sina uhakika sana na moderation iliyofanyika katika hii mada, lakini status yangu hapa na nje ya hapa, inaniweka kwenye nafasi ngumu sana kuwashukia Mods kama nafsi yangu inavyotaka, mimi nikifanya hivyo nitabomoa majengo mengi ambayo nimehusika sana kuyajenga hapa JF, ndio maana huwa ninanyamaza hata ninapokuwa sijaridhika na moderation. Sio lazima kuwepo hapa, lakini ni uchungu wa taifa letu ndio unatuweka hapa, hakuna mwenye uchungu zaidi kuliko mwingine.

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!


Uongo, unafiki......

Mkuu Uwiano Maalum, heshima yako mkuu,

baada ya kubonyeza kama ulivyoelekeza nimekuta kuwa unalolizungumzia ni jina langu Field Marshall ES, sasa ninaomba kukujibu kutona na hoja zako, kama zilivyo bila ya kuongeza wala kupunguza anything as I know best:-.

1.

- Mimi sijawahi kuwawakilisha wazee wa sauti ya kina Masha, hapa ulikuwa anjaribu kuudanganya umma hapa kwamba wewe ni msafi sana na Masha na wazee wa sauti yake ni wachafu,

- Ukweli ni kwamba kama kuna wazee wa sauti ya Masha, sidhani kama kuna anyemzidi Nchimbi, ambaye wewe binafsi una urafiki wa karibu sana naye, mpaka wa kwenda kumsadia kwenye shughuli za jimbo lake la ubunge, ikiwa ni pamoja kumpelekea zawadi mbali mbali kutoka nje, kwa hiyo mkuu kama kuna anayewakilisha wazee wa Masha sidhani kama kuna anayekuzidi ndani ya hii forum, sasa ni suala la kuwa mkweli badala ya unafiki nafiki uongo uongo,

- Nchimbi na Masha, waliposafiri kwenda DC, wewe ukaacha kazi zako na kuwafuata fuata hotelini, Masha akakukatia maana hakujui, ukajaribu kila njia kumjua jua lakini akakataa ukaishia kushinda na Nchimbi, sasa kwa nini usiseme ukweli kuwa wewe ni nduma kuwili na mtu suiye na credibility kabisa kwenye society kutokan na hizi tabia zako za unafiki unafiki, sasa wazee wa sauti ya Masha ni wewe ndiye unashikiriana nao, kwa nini unasema uongo hapa?

Kwa nini usiseme ukweli wako, jinsi ulivyo mwizi na mtapeli kama Chimbi, yaani unaowaita wazee wa sauti ya Masha?



- Uwiano Maalum, eti mimi ninahaha? Wewe ukiwa unafanya nini? Hivi unafanya kazi wapi bro? Mimi sijawahi kuhaha bila sababu nihaha kutafuta maisha ndio maana toka saa nane asubuhi nimeondoka nyumbani kwenda kazini kuhaha ndio ninarudi sasa, wewe vipi? Unasema eti ni law enforcement ni ya wapi hiyo mkuu?

- Ndio uliwahi kuwa usalama zamani sana, lakini ukafukuzwa huko kwa sababu ya kubadili uraia kwa hiyo wewe sio agent tena wa usalama toka in the 90s, ingawa mpaka leo unajaribu kuwatishia wananchi na usalama lakini unajua wazi kuwa your are not na kwamba uwt wakisia unajua kitakachokupata, sasa vipi tuwaambie kwua unahaha na uongo kuwa wewe bado ni agent?

- Sasa si unaona nani ni bingwa wa kutunga habari, ukamdanganya mama wa watu Canada kuwa utamnunulia gari na kulituma bongo, ukaishia kumtapeli mama wa watu bila hata aibu mpaka leo miaka karibu 10, sasa unaona kuwa mimi na wewe mtungaji uongo ni nani hasa? Uongo ni pamoja na kuvaa masuti makubwa sana na kubeba briefcase kubwa huku huna kazi wala hela huo ndio utungaji wa uongo, wewe unajua wazi kama kina Nchimbi you belong ot prison na sio hapa JF, mtapeli mkubwa wewe, ukajaribu mpaka kumdanganya mzazi wangu na makaratasi ya kampuni ambayo wala sio yako na ambayo wala haipo, yale makaratsi yako ninayo hapa kwangu kama unayataka nitakutumia maana ni ujinga mtupu kwa mtumzima kama wewe mwenye mke na watoto watatu hivi huoni aibu kumtungia uongo mzee kama yule? Kwani hawezi kuwa umri kama wa baba yako angekwua hai? Na ninaweza kuyabandika hapa JF maana ninamjua mpaka Mike aliyekupa haya makaratasi mu9ongo na mtapeli mkubwa wewe!

- Tizama ulivyo muongo, ukaenda kwenye mkutano wa EAC, wa watu usiokuwa na uwezo nao, waliosoma shule wakati wewe umesihia form four tu Ifakara baada ya kufeli primary na kusoma private Sangu muhula mmoja, leo unaenda kujiweka kwenye mkutano wa watu walisoma kuliko, halafu unaomba kuongea na kujifanya eti wewe ni law enforcement, ya wapi mkuu? Eti unafanya kazi FBI ipi hiyo ya Tukuyu? Sasa eti mimi na wewe ni nani anaweza kua bingwa kwa kutunga uongo?

3.

- Hapa hkauna hata hoja ila ni upuuzi mtupu, ni kweli nimesema kuwa siwezi kuruka mali 50 kwa sababu mtu mmoja humu Jf anataka niruke maili 10 kama wewe unavyoruka sasa, lakini angalau wenzako wamesoma shule, wanaweza hata kudanganya kielimu, tizama maneno yako yalivyo hovyo hata unachosema huelewi na ndio tabia yako ingawa wewe unaamini huwa una point, unashindaje hoja bila hoja kama sio upunguani.

- Sasa ninakuomba tena kwamba back off, kama huna hoja ya huu mjadala kaa pembeni, hizi tabia zako za kurukia usiyoyajua ili na wewe uonakane kuwa umo siku zote zinakuponza lakini husikii tu, unataka niyaweke hapa? Mwizi mkubwa wewe unajua ngoja kwanza nimtafute yule mama uliyemuibia Canada, maana ninamjua dada yake uliyemkmibia siku ile mwizi na jambazi wewe huoni hata aibu kuibia kina mama? Masha hana pa kutokea wewe unapo? Mbona ulipomuona dada mtu ulikimbia na ma-briefcase yako mwizi wewe? Sasa na wewe una ubavu wa kuita wengine wezi wakati wewe mwenye ni lijizi la ajabu.

- Bwana mdogo Mike amekupa makaratasi yake ya Bio-diesel, wewe umekwenda kuyabdaili majina na kujiweka wew ena namba za simu zako za nyumbani na mkononi eti ni za ofisi, wewe una ofisi wewe mtapeli wewe? Mikartasi yako iko hapa nyumbani kwangu, niliongea na mike akasema hayahitaji tena maana alikupeleka kwa wazungu wake wewe ukajifanya kujua wakaishia kumkatia hata yeye mwizi mkubwa wewe!

- Na niyni wakuu wa Chadema muangalieni sana huyu jamaa maana akija hapa anajifanya yeye ni Chadema, muongo mkubwa sana huyu na mnafiki, anaweza kuwa-penetrate huyu mpaka majumbani mwenu ndio tabia zake, wazee wwengi na viopngozi nilishawaonya siku hizi wamemfukuza, sasa bado anajikomba komba kwa Mwakyembe na Nchimbi, tena Chadema mkitaka nitawapa hata info zake maana this is a very dangerous creature, ni mtapeli na mwizi mkubwa, ameibia hela za gari za mama mmoja Canada bila huruma, kama anabisha ninaweza kuleta nfo zote hapa za jinsi alivyomuibia huyu mama.

Sasa mkuu naopmba ujifunze maana ya jina lako mwenyewe, yaani uwiano maalum inaeleka hata maana ya jina lako huijui maana ungeijua usingejiita hilo jina, eti uwiano maalum na utapeli na uwizi na ujambazi!

Sauti ya umeme - FMES!

kuthibitisha unafiki wako na uongo, ukaconfess hivi:

- Huu ni wakati muafaka kwa wasomi, wana-dini, na viongozi wetu wa siasa kukaa chini na kujaribu kutafakari kwa makini, kwa sababu sio siri kwamba taifa letu limekumbwa na crisis kubwa sana ya character, Mwalimu alitupatia national ID basi lakini nationally kwenye character kwa maoni yangu tume-fail miserably.

- Sisi wananchi ni waongo, I mean taifa zima ni waongo, wezi, waumini wa uchawi, wanafiki, halafu masikini ya Mungu tunategemea viongozi wetu wa siasa wawe tofauti na sisi wananchi, it does not work tumekwama maana sasa nani wa kumfunga kengele paka?

- Hili ni taifa gani ambalo wote tumeharibikiwa?
 
Jazba tupu!! Post hii na ile nyingine hapo juu tofauti yake ni nini?? unarudia rudia....aaagh!!

Mijadala inaharibika kwasababu mingi ni majungu na watu kama KUhaNi wanatumia jukwaa hili ku-destroy watu, hili jambo haliwezi kuvumilika na kuangaliwa tu.....kama wewe una-enjoy unayoyaona wengine hatuya-enjoy na ndio maana tunapost kwa kumpa dose ile ile anayotoa yeye. Sasa basi kama hiyo ni obsession basi nadhani siku hizi obsession ina maana nyingine.

Sssshhhhh...mchizi wangu Fundu Lushindo atasema wewe una "obsession" ukimtaja huyo ambaye hatakiwi kutajwa jina
 
FMES,

..nadhani kinachogombewa hapo ni ulaji tu.

..kwanini makampuni mengine yaliyoomba hiyo kazi hayatajwi?

..bora hiyo tendering process ingesitishwa, ili waliokula hela za watu wazirudishe.

- Mkuu ninakubaliana na wewe kuwa kuna ulaji umefanyika hapa, halafu hivi kuna nini na hii ishu ya vitambulisho maana hiii ishu nimeambiwa na wajumbe wa kamati kua imeanzia in mwishoni the 90s, mpaka leo ni sindimba tuuu kulikoni?

- Ninakubaliana na wewe kwamba hii tenda kama ilishatolewa isitishwe mara moja, iundwe kamati maalum ya bunge chini ya either Dr. Slaaa au Mwakyembe, isimamie huu mchakato wa kampuni, na kama kuna hela tayari zimeliwa waliohusika waburuzwe Kisutu mara moja, ama sivyo kina Mramba waachiwe mara moja maana itakuwa ni Ze Comedy, kama sio Banana Republic!
 
- ........- Ninakubaliana na wewe kwamba hii tenda kama ilishatolewa isitishwe mara moja, iundwe kamati maalum ya bunge chini ya either Dr. Slaaa au Mwakyembe, isimamie huu mchakato wa kampuni, na kama kuna hela tayari zimeliwa waliohusika waburuzwe Kisutu mara moja, ama sivyo kina Mramba waachiwe mara moja maana itakuwa ni Ze Comedy, kama sio Banana Republic!

.......tena Sagem na makampuni mengine kama hayo yaondolewe/yasikaribishwe kabisa maana ina kashfa za rushwa ktk nchi zingine ilikowahi ku-tender kazi kama hii
 
ushauri wangu .mkuu masha we rudisha tu pesa za hao jamaa maana kunakoelekea siko kabisa na wala hakutamaniki hata mtoto atakufahamu siku si nyingi,,,huyu 10per jamani tumfanyeje wanandugu,,masikini masha hivi hivi njaa inakuondoka kaka yangu!!!anyway nasikia kunamkono wa mzee JK labda unaweza kutoka tusubir
 
FMES,

..wabongo nina mazoea nao sana aisee. ukiona hiyo kampuni ya Masha inaandamwa hivyo kuna uwezekano mkubwa hayo makampuni mengine ni mabaya zaidi.

..sasa ndiyo maana mimi niko curious sana na kujua hayo makampuni mengine ni yapi? vilevile napenda kujua wapambe wa hayo makampuni mengine ni kina nani.
 
..sasa ndiyo maana mimi niko curious sana na kujua hayo makampuni mengine ni yapi? vilevile napenda kujua wapambe wa hayo makampuni mengine ni kina nani

WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE INAUMIZA

1))LOWASSA

2))P.MHANJO

3))MH MEMBE WAZIRI WA MAMBO YA NJE

4))mmmmmmmmmhhhhhhhh sijui nicheme aa baadae bwana
 
Spika awaziba midomo wabunge kuzungumzia suala la Masha

SPIKA wa Bunge, Samweli Sitta amewaonya wajumbe wa kamati za kudumu za bunge kutotoa taarifa kwa waandishi wa habari katika siku ambayo Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ilikuwa inamuhoji Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, kuhusu zabuni ya uchapishaji vitambulisho vya utaifa.

Masha anadaiwa kuingilia mchakato wa utoaji zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa kwa kutaka kurejeshwa kwa kampuni ambayo ilienguliwa katika hatua za awali, kitu ambacho kinaelezwa kuwa ni ukiukwaji wa Sheria ya Manunuzi ya Umma.

Tuhuma hizo zimeifanya kamati hiyo kumuita Masha kwa ajili ya mahojiano, huku umma ukisubiri kwa hamu matokeo ya usaili huo.

Lakini jana, Spika Sitta alizima hoja ya kujadiliwa bungeni madai ya ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya umma katika ununuzi wa rada na mchakato wa zabuni ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.

Huku siri za kamati zikiendelea kuvuja na viongozi wa kamati wakionekana kuanza kuwa na nguvu kubwa, Sitta aliwaambia wabunge jana mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu kuwa kitendo cha kutoa taarifa zozote zilizojadiliwa ndani ya kamati kabla ya kuwasilishwa bungeni, ni kuvunja kanuni ya bunge ibara ya 114 kifungu cha 11 na 12.

Aliwataka wabunge kuwa makini kwa kuhakikisha kuwa hawaelezi chochote kilichojadiliwa kwenye kamati hizo kwa kuwa katika siku za karibuni kumekuwepo na tabia hiyo.

Alisisitiza kuwa yeye kama spika wa bunge atahakikisha kuwa atakayekiuka kanuni hizo anachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria hizo zinazoliongoza bunge.

“Mimi kama spika wa bunge hili nina wajibu wa kuhakikisha kuwa kanuni za bunge zinafuatwa,” alisema Sitta akiwaonya wabunge.

Moja ya habari ambazo ziliandikwa na vyombo vya habari wiki hii ni juu ya taarifa kuwa Masha aliingilia mpango wa utoaji wa zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa, kwa kutaka moja ya kampuni zilizoondolewa katika hatua za awali za mchakato irejeshwe.

Katika chokonoachokonoa za waandishi wa habari, ilibainika kuwa moja ya hoja ambayo jana ilikuwa ijadiliwe kwenye kikao cha Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ni hoja binafsi ya Mbunge wa Karatu, Willbrod Slaa dhidi ya tuhuma zinazomkabili Masha.

Dk. Slaa aliamua kutoa hoja hiyo binafsi baada ya Sitta kuyazima maswali yake mawili ya nyongeza Alhamisi iliyopita baada ya kutoridhika na jibu la swali la msingi alilomuuliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo.

Katika swali la msingi, alitaka kujua hatua ambazo serikali inachukua dhidi ya Masha baada ya kuonekana kukiuka taratibu za manunuzi kwa kulazimisha kampuni ambayo tayari iliondolewa kwenye mchakato, irejeshwe.

Pinda alimjibu kuwa Dk. Slaa ameharakisha kuuliza swali hilo na kwamba alipaswa kusubiri hadi mwisho wa mchakato na kuona serikali itakuwa imechukua hatua gani.

Hata hivyo, Dk. Slaa hakuridhika na majibu hayo na badala yake alieleza kuwa serikali inapaswa kuingilia mchakato huo unaotumia kanuni za manunuzi kwa umma na siyo kuuachia hadi hali iharibike, lakini Spika Sitta aliingilia kati na kutaka lisijibiwe kwa kile alichoeleza ni kuzusha malumbano.

Jana, Sitta pia alizuia kujibiwa kwa swali la nyongeza la Mbunge wa Ole, Bakar Shamis Faki (CUF) aliyemtaka Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Omar Yussuf Mzee kufafanua juu ya madai kuwa kulikuwepo na ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya umma katika ununuzi wa rada pamoja na mchakato wa zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa.

Sitta alikataa swali hilo lisijibiwe kwa maelezo kuwa masuala yote mawili yapo kwenye uchunguzi na kwamba kuingilia kunaweza kuathiri mikakati hiyo.

Katika swali la msingi, Faki aliitaka serikali kutoa maelezo ya maboresho ya mfumo wa manunuzi wa umma kwa kuzingatia kuwa umekuwa ukilalamikiwa kwa sababu taratibu za sasa haziko wazi na zinaruhusu ufisadi.

Katika kujibu swali hilo, Mzee alisema kuwa serikali inatarajia kuwasilisha bungeni marekebisho ya sheria ya ununuzi wa umma ambayo itaipa meno Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya kuwachukulia hatua wale wanaokiuka sheria hizo.

Mbali na kuwa na uwezo wa kuchukua hatua, mamlaka hiyo piya itakuwa na uwezo wa kusitisha zabuni yoyote ile pale itakapobainika kuwa kanuni zimekiukwa.
 
Kwa malumbano haya.I remain dumb!!!!! Pole kijana mheshimiwa Masha. Ngoja tupate utetezi wake kama ule wa Zombe kuwa 'Hana tuhuma za kujibu' then hukumu itolewe na Bunge. Viva JF.
 
Tatizo la Kiwete ni kwamba anaajiri kwa kujuana na kulipa fadhila.Tangu lini nchi ikaendwashwa hivyo.Alishaambiwa kwamba mawaziri wake wengi na hata hao vijana unao ongelea ni opportunists,they do not have the country at heart,lakini hakusikia.Nadhani hatuwezi kumhurumia,kwa vile alijua alilopashwa kufanya lakini kwa kiburi chake akafanya aliyotaka yeye.Tutakutana 2010.Inshallah,Mungu atatusaidia.


Kuna taarifa kwamba mawaziri watatu wa JK wakiwamo wawili vijana wanakalia kuti kavu kutokana na maamuzi na utendaji wao kuyumba na JK ameshauriwa kuwawahi kabla hawajamuabisha kama ilivyotokea kwa akina Chenge.

Kwa sasa bado ni tetesi itakapokuwa na nyama iliyoiva walau kidogo tutawapakulia mujichane na kama kawaida JF itakuwa ya kwanza
 
Kitendo cha wewe kulumbana na FMES kinaonyesha wazi kuwa wewe ni mtu wa aina gani.....wajanja hawalumbani na mukulu FMES!! Kama ulikua hujui basi ndio umeshajua......LOL.[/QUOTE]

Huyo ni nani mpaka watu wasirumbane naye (kwa sababu anajua viongozi wengi akiwemo ARM) acheni kupeana vyeo vya kijinga hapa anayeogopwa na kutukuzwa ni Yesu tu!
 
2.

- Ahsante Mkulu Nyani na Mkulu wangu Yoursnameismine, tupo pamoja na kama kawaida tutaendelea kuwa pamoja katika kujaribu kutafuta sotuions za matatizo ya taifa letu, tuinatoka mbali sana na bado safari ni ndefu zaidi kuliko tulikokotoka.

- Masha is my friend, kama mlivyo nyinyi na wengine wengi hapa JF, na ndio maana nimewahi kuwapigania sana wakulu flani hapa walipokuwa mbele ya Pilato, ingawa sijawahi hata kuwaona machoni mwangu hata siku moja. Sasa mind you hata huko nilikokuwa ninawapigania nilirushiwa maneno kama haya ninayorushiwa hapa kwa kutetea ukweli ninaoujua. Ninaifahamu sana backogropund ya Masha, kuanzia elimu yake mpaka kazi zake kabla ya kua Mwanasiasa, sasa nina tatizo kubwa sana na mtu yoyote yule anayetaka kumchafua Masha katika level hiyo ya kabla ya kuingia siasa, na kwenye hili nitamtetea kwa nguvu zangu zote na wakati wowote bila kuogopa anything, kwa sababu Mungu ninayemuabudu anasema kwamba kumjua mwizi ukanyamza, kama ni dhambi inakuwa ni ile ile kwa mwizi na mimi niliyenyamaza, meaning kwamba kuona Masha anashambuliwa na tuhuma za uongo kuhusu elimu yake na kazi zake kabla ya kuingia kwenye siasa halafu nikanyamaza kimya kwa sababu nitaonekana tofauti na popular theme, au kuwaogopa wanaomshambulia, ninakuwa mnafiki mbele ya Mungu wangu ambaye ninamuogopa kuliko anything, kwa wale wanaonijua vizuri sana na kwa karibu sana wanajua kuwa huwa sio tabia yangu kukimbia ukweli, nitatetea to the last drop of my blood.

- Ninampa credit Masha kwa kuweza kulimaliza suala lake na Mengi kistaarabu na sasa ni watu walio karibu sana, ingawa wananchi wengi tusingependa iishie hivyo, lakini it is what it is. Habari za ndani sana nilizonazo kuhusu yeye na vitambulisho sio nzuri sana kwake, lakini kwa vile bado ishu inaendelea bungeni, tutasubiri kujua ukweli wote kwa sababu na yeye sasa amezungumza, tena very confident na ndicho hasa nilichokisema kuwa tunahitaji kusikia his side of this story kabla ya kurusha hukumu.

- Huwa sijali sana yaliyopita, maana kila siku mpya ya Mungu inaleta mapya tena mengi sana mazuri kuliko ya jana, kutoka Jumapili nimeona mashambulizi na nimeyajibu kama ninavyoweza, na given a chance ninaweza kurudia tena exactly the same na zaidi. Sina uhakika sana na moderation iliyofanyika katika hii mada, lakini status yangu hapa na nje ya hapa, inaniweka kwenye nafasi ngumu sana kuwashukia Mods kama nafsi yangu inavyotaka, mimi nikifanya hivyo nitabomoa majengo mengi ambayo nimehusika sana kuyajenga hapa JF, ndio maana huwa ninanyamaza hata ninapokuwa sijaridhika na moderation. Sio lazima kuwepo hapa, lakini ni uchungu wa taifa letu ndio unatuweka hapa, hakuna mwenye uchungu zaidi kuliko mwingine.

- Kuhusu suala la Masha na vitambulisho nimesikia so far side nne za habari, kwanza kwenye media, pili uchanbuzi wa hapa JF, tatu kutoka kwa wajumbe wa kamati ya bunge, na leo side ya Masha, sasa ni zamu ya kulisikia bunge na uchunguzi wake, kwa sababu maelezo ya Masha, yanazi-off balance hoja nyingi zilizotolewa huko nyuma kuhusu kuhusika kwake na hii ishu. Infact leo kuna habari mpya kwamba hiii ishu ni ya Membe na wenzake, ninasema hivi pole pole tutaufikia ukweli wote, unless kutokee mizengwe ya busara.

Tutaendelea kuichambua hii ishu kwa hoja mpaka kufikia ukweli ulipo.

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!


Yameanza kutimia niliyokuwa nayasema. Vihabri visivyonamaa vya vikao vya ccm ndiyo hivyo tunaanza kuvilipia kwa kutetea mafisadi! Ngoja 2010tulalipa yote
 
Huyo ni nani mpaka watu wasirumbane naye (kwa sababu anajua viongozi wengi akiwemo ARM) acheni kupeana vyeo vya kijinga hapa anayeogopwa na kutukuzwa ni Yesu tu!

Mkuu angalia mipaka mwingine atasema anaye ogopwa ni Mtume Muhamad utabisha??????
 
Back
Top Bottom