- Baada ya kuwasikiliza wajumbe wa kamati niliamini kwamba Masha ni gulity, lakini jana baada ya kumsikliza Masha, nimepunguza kasi kidogo ingawa bado ninaamini kwa 80% kwamba ana something to na ufisadi wa vitambulisho, na bado ninaamini ni wakati muafaka kwake sasa kujiuzulu kwa faida yake binafsi na taifa pia. Sioni baada ya hizi vurugu zote akiendelea kuwa na moral authority ya kuwa waziri wa jamhuri, ninarudia tena kwamba yaliyosema yanatosha ndugu yangu Masha ni vyema akajiuzulu now.
- Katika siasa hakuna permanent truth, kwa hiyo siku zote tuna-swing na habari mpya, utetezi wa Masha na Spika, unaonyesha kuna sababu ya kusubiri uamuzi wa kamati ya bunge, ambapo historia iko wazi kuwa ndio huwa wakati wa kubadilisha ukweli, lakini hata ikitokea jamaa yangu Masha ameharibika sana ni vyema akajiuzulu na kutoa nafasi kwa rais kufanya mabadiliko, unajua sasa unamfikisha rais wetu kwenye mtihani mgumu sana kutokana na kufahamiana, wote wawili yaani rais na
Masha, huu ni wakati muafaka wa kufanya the right thing kwa taifa,
- Tabia ya kusahau niliyoandika jana na juzi sio yangu hata siku moja mkuu, huwa ni tabia ya wanaingia kwa ID nyingi, na unajua what I am talking about, mimi ninakumbuka kila neno nililowahi kulisema hapa hata nikiwa nimelala usingizini ukiniamsha nitakukumbusha nilichosema jana na juzi, licha ya mwaka jana, mwenye hilo tatizo lakusahau ya jana na juzi wewe mwenyewe unamjua vizuri sana angalia kwenye kioo, utamuona. Mama Rwakatare anahitaji hesima mkuu maana sio rahisi kuwalea watoto wa watu usiowajua kama wa kwako, na si kweli kwamba rais Kikwete haijamini.
- mkuu wangu huko pembeni nimekusikia, ila sasa taifa mbele najua kuwa ni lazima kupitia kwenye denial process, lakini with time utafika tu kwenye ukweli maana haubadiliki uko pale pale na mind you kuwa ninaweza kuuongeza at any of my time, naona Mods wameamua kukupa free pass, good for them lakini I reserve the right ku-strike back wakati wowote ule, fasten your belt!
Baharia FMES! Wazee wa meli, Bwa! ha! ha! ha!