Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Mkuu angalia mipaka mwingine atasema anaye ogopwa ni Mtume Muhamad utabisha??????

Itakuwa haki yake lakini kwa mimi ni lazima niseme yule ninaye muogopa siwezi kuwa mnafiki na kutaja nisiye muogopa. Ina nishangaza eti jitu zima linasema kuwa kwa kuwa umebishana na mtu fulani bsai wewe ni hivi. Mijitu ya hivyo mie naichukia sanainayopigia magoti binadamu wenzao badala ya Mungu (of course Mungu kwangu ni Yesu)
 
- You can run, lakini you cannot hide na huwezi kuwa-fool wananchi wote all the time, sasa nimeamini kwamba panapofuka moshi chini haukosi moto.

- Waswahili wanasema usiige kunya kwa tembo, kidogo uniaaminishe kwamba you are that ngangari nakwamba hujali ukweli, lakini now it out there for all to see yaani the power of the truth, mimi siku zote husema ukweli maana ndio upenzi wa Mungu. Nimeona wakubwa wenye nguvu wakijaribu kuukwepa na kuuchelewesha, lakini in the end hawakuwa na choice ila kukubali ukweli.

Siasa za personal attacks humu JF tuziache maana hayo ndio madhara yake, mimi ni mwanasiasa in my own rights, nia na madhumuni yangu ilikuwa moja, nayo ni kulinda hadhi ya hii forums kwanza na pia hadhi yangu, yote mawili yamefanikiwa, sasa ninasonga mbele na hoja muhimu kuhusu taifa langu, sio siri kwamba nimekukwaza maana rants zako ziko kila kona ya hii forums toka majuzi, lakini samahani sana mkuu tuvumiliane ndio kuelimishana maana kama huwezi kuwa humbled na Mungu, basi utakuwa humbled na dunia ambayo ndio sisi wananchi ta large!.

Nawahi kibaruani, later!


Wazeee wa sauti ya umeme - Baharia FMES!
 

...Habari za ndani sana nilizonazo kuhusu yeye na vitambulisho sio nzuri sana kwake, lakini kwa vile bado ishu inaendelea bungeni, tutasubiri kujua ukweli wote kwa sababu na yeye sasa amezungumza, tena very confident na ndicho hasa nilichokisema kuwa tunahitaji kusikia his side of this story kabla ya kurusha hukumu.

Juzi umeandika kwamba umepata nyeti kutoka ndani ya Tume ya Usalama kwamba Masha amesha testify na akajiuma uma huko, na akaoneka ni guilty. Ukaongeza kwamba unashangaa kwa nini Masilingi anasema kwamba anakuja kumuhoji wakati wameshamuhoji.

Ulipomaliza ukasema kwamba kwa mtaji huo wewe huna tena imani na Masha, kwamba amechemka vibaya kwenye hili la ID na umeamua sasa ni wakati wa yeye kujiuzulu.

Jana Ukaleta stori ingine hiyo hapo juu, ulishasahau uliyoandika juzi kwa sababu ile ya juzi ilishafutwa; hapa unasema unasubiri the other side of the story kabla hujamuhukumu, na kwamba Masha ameongea "very confident." You never recall what you write humu. Ueleweke vipi?

Sijui nani mwongo, nani mnafiki na nani anakwenda personal (rejea post namba 213)!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, Malumbano ya FMS na Uwiano nimepata kizunguzungu! Duuu...ebwanaeeee.
 
Baada ya Lowasa, Msabaha ana Karamagi. Kubenea aliwataja waliotegemewa kuwafuata kuwa ni Chenge, Masha, Ngeleja na mmoja nimemsahau!

Naona maandiko ya Kubenea yanatimia!
 
- Baada ya kuwasikiliza wajumbe wa kamati niliamini kwamba Masha ni gulity, lakini jana baada ya kumsikliza Masha, nimepunguza kasi kidogo ingawa bado ninaamini kwa 80% kwamba ana something to na ufisadi wa vitambulisho, na bado ninaamini ni wakati muafaka kwake sasa kujiuzulu kwa faida yake binafsi na taifa pia. Sioni baada ya hizi vurugu zote akiendelea kuwa na moral authority ya kuwa waziri wa jamhuri, ninarudia tena kwamba yaliyosema yanatosha ndugu yangu Masha ni vyema akajiuzulu now.

- Katika siasa hakuna permanent truth, kwa hiyo siku zote tuna-swing na habari mpya, utetezi wa Masha na Spika, unaonyesha kuna sababu ya kusubiri uamuzi wa kamati ya bunge, ambapo historia iko wazi kuwa ndio huwa wakati wa kubadilisha ukweli, lakini hata ikitokea jamaa yangu Masha ameharibika sana ni vyema akajiuzulu na kutoa nafasi kwa rais kufanya mabadiliko, unajua sasa unamfikisha rais wetu kwenye mtihani mgumu sana kutokana na kufahamiana, wote wawili yaani rais na
Masha, huu ni wakati muafaka wa kufanya the right thing kwa taifa,

- Tabia ya kusahau niliyoandika jana na juzi sio yangu hata siku moja mkuu, huwa ni tabia ya wanaingia kwa ID nyingi, na unajua what I am talking about, mimi ninakumbuka kila neno nililowahi kulisema hapa hata nikiwa nimelala usingizini ukiniamsha nitakukumbusha nilichosema jana na juzi, licha ya mwaka jana, mwenye hilo tatizo lakusahau ya jana na juzi wewe mwenyewe unamjua vizuri sana angalia kwenye kioo, utamuona. Mama Rwakatare anahitaji hesima mkuu maana sio rahisi kuwalea watoto wa watu usiowajua kama wa kwako, na si kweli kwamba rais Kikwete haijamini.


- mkuu wangu huko pembeni nimekusikia, ila sasa taifa mbele najua kuwa ni lazima kupitia kwenye denial process, lakini with time utafika tu kwenye ukweli maana haubadiliki uko pale pale na mind you kuwa ninaweza kuuongeza at any of my time, naona Mods wameamua kukupa free pass, good for them lakini I reserve the right ku-strike back wakati wowote ule, fasten your belt!

Baharia FMES! Wazee wa meli, Bwa! ha! ha! ha!
 
Last edited by a moderator:
FMES, hebu nipe ulichokisikia ktk kamati ya bunge kuhusu Masha tafadhali. Inaonkana huyu jamaa kawachosha sana watu kwa tabia zake. Ninachojua mimi ni kuwa, ndani ya ile kamati ya bunge kuna mbunge mmoja mbae Masha anaamini kuwa ndie anayefaa kuongoza nchi hii
 
- Mkuu nimesikia kuwa huko ameonyesha kiburi kikubwa sana na kuwaambia wajumbe kwamba yeye ndiye mchawi kama wanatafuta one, yaani mjumbe mmoja aliniambia hana hamu kabisa na arrogance ya kijana "... eti you call this kid your friend?..", anasema kwamba wananchi walilalamika kuhusu mchakato ndio maana akaamua tofauti, sasa akaulizwa hawa wananchi walilalamika wapi mbona wengine hatukusikia? akakosa majibu, akaulizwa vipi mbona makampuni mengine hayakutaarifiwa kuhusu mabadiliko ya process ya mchakato, akawa mbogo sana na ujeuri usio na mpaka, sasa wajumbe wamebaki wajiuliza anajiamini nini hasa!

- Mmoja akaniambia kwua wanazo baraka tayari za vigogo, kuhusu kumuwajibisha, na wakasema ni vyema kwa sasa angetangulia kutoka mwenyewe, sasa sielewi ni kwa nini ameitwa tena kwenye hiyo kamati, unajua ndio siasa zetu bongo, the next thing utasikia wametumia busara za Spika!

later!
 
Uwiano upo wapi njoo ufanyie unyakinifu hii spinning hapa!
 
Last edited:
- Mkuu nimesikia kuwa huko ameonyesha kiburi kikubwa sana na kuwaambia wajumbe kwamba yeye ndiye mchawi kama wanatafuta one, yaani mjumbe mmoja aliniambia hana hamu kabisa na arrogance ya kijana "... eti you call this kid your friend?..", anasema kwamba wananchi walilalamika kuhusu mchakato ndio maana akaamua tofauti, sasa akaulizwa hawa wananchi walilalamika wapi mbona wengine hatukusikia? akakosa majibu, akaulizwa vipi mbona makampuni mengine hayakutaarifiwa kuhusu mabadiliko ya process ya mchakato, akawa mbogo sana na ujeuri usio na mpaka, sasa wajumbe wamebaki wajiuliza anajiamini nini hasa!

- Mmoja akaniambia kwua wanazo baraka tayari za vigogo, kuhusu kumuwajibisha, na wakasema ni vyema kwa sasa angetangulia kutoka mwenyewe, sasa sielewi ni kwa nini ameitwa tena kwenye hiyo kamati, unajua ndio siasa zetu bongo, the next thing utasikia wametumia busara za Spika!

later!


Kwa hili tuko pamoja....
 
Taarifa nilizonazo ni kuwa, ktk kamati hiyo wajumbe walitaka kujua ni kitu gani kinachochelewesha mradi kuanza? yeye akasema kuwa, musimtafute mchawi wa hilo, anayechelewesha ni mimi hapa. Alipoulizwa kwanini anachelewesha, akasema kuwa Chief Secretary amemuingilia ktk mchakato wa kumpata mzabuni.
Unajua Masha ni mjanja sana, na anajifanya so smart, kumbe sio hivyo. Yeye alipopata taarifa kuwa kampuni ya Sagem imetolewa ktk mchakato, akamuita Katibu Mkuu wa wizara yake ambae sasa hivi kahamishiwa Kilimo, akamuuliza kwanini kampuni ya Sagem imeenguliwa? KM akamwambia kuwa hata yeye hajui mpaka akasome report ya Tenda Bodi. Alipoipitia report na kuridhika nayo, akamjulisha waziri wake kuwa, ameridhika nayo na, anaendelea na hatua inayofuata, ndipo Masha akaandika barua kwa waziri mkuu akimshitaki Katibu Mkuu Kiongozi.
Kilichotokea kwa Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba, aliomba apewe report ya utekelezaji ya mradi. Alipopelekewa, akmuagiza Katibu Mkuu Mambo ya Ndani aendelee, hapo ndio ilikuwa nongwa kwa Masha. Kumbuka ya kuwa, Katibu Mkuu Kiongozi ni Kiongozi wa watumishi wote Serikalini.
 
Kuna taarifa nimezipata sasa hivi kuwa PPRA wanajaribu kumuokoa Masha. Sijajua bado watamuokoaje, lakini ninajua uhusiano mzuri wa M/kiti wa Bodi ya PPRA na Masha.

Hoja hapa ni kuwa, Masha ameingilia mchakato wa kumpata mzabuni wa kutengeneza Vitambulisho. Inasemekana kuwa yeye amedai ktk barua aliyomuandikia Pinda kuwa, pamoja na kuwa hana mamlaka kisheria, lakini anawajibika kisiasa. Watu wanajiuliza maswali mengi.

Yeye anadai kuwa kampuni ya Sagem ilitoa malalamiko kwake.
Swali: Sagem walipata wapi taarifa kuwa wameenguliwa wakati matokeo ya mchakato huo bado hayajatolewa rasmi?
Swali: Kwanini waziri Masha asiyapeleke maombi hayo kwa Katibu Mkuu ambae ndie anayetambulika kisheria? na hata ktk tenda document imeadikwa wazi kuwa, kama kutakuwa na malalamiko yeyote, basi yapelekwe kwa Katibu Mkuu, kwanini Sagem na Masha hawakufanya hivyo?
Swali: Malalamiko hayo yalipelekwa kwa Masha kwa mdomo au maandishi? mbona mpaka sasa hajaitoa barua hiyo?
Swali: Kwanini Sagem na Masha wasisubiri kulalamika pale barua ya kuwataarifu kuwa wameshindwa itakapowafikia? kwanini walalamike kabla ya muda?

Mimi najua kuwa "political responsibility" anayoizungumzia Masha sio kusimamisha mchakato na kuliingiza Taifa ktk aibu na hasara kubwa, yeye alipaswa, au kusubiri barua iwafikie Sagem au angewapeleka Sagem na malalamiko yao kwa Katibu Mkuu.
 
Yeye alipopata taarifa kuwa kampuni ya Sagem imetolewa ktk mchakato, akamuita Katibu Mkuu wa wizara yake ambae sasa hivi kahamishiwa Kilimo, akamuuliza kwanini kampuni ya Sagem imeenguliwa? KM akamwambia kuwa hata yeye hajui mpaka akasome report ya Tenda Bodi. Alipoipitia report na kuridhika nayo, akamjulisha waziri wake kuwa, ameridhika nayo na, anaendelea na hatua inayofuata, ndipo Masha akaandika barua kwa waziri mkuu akimshitaki Katibu Mkuu Kiongozi.

Kilichotokea kwa Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba, aliomba apewe report ya utekelezaji ya mradi. Alipopelekewa, akmuagiza Katibu Mkuu Mambo ya Ndani aendelee, hapo ndio ilikuwa nongwa kwa Masha. Kumbuka ya kuwa, Katibu Mkuu Kiongozi ni Kiongozi wa watumishi wote Serikalini.

Hold it right there, stop, stop!

What do you mean "nongwa kwa Masha"?

Masha ni bosi wa Katibu Mkuu wa mambo ya Ndani, right? Sasa Luhanjo anawezaje kumuamuru Katibu Mkuu wa wizara amzunguke waziri wake halafu Waziri akiulizia aambiwe ana nongwa?

Kama huu mradi ulikuwa unashughulikwa na mambo ya ndani Masha has the right, and is right, in asking for the status and decisions made under his nose, right? You bet he does!

Why? Because any screw up that may occur on this deal, chochote kitakachoharibika katika kazi yeyote iliyofanywa na Wizara ya mambo ya Ndani ni Lawrence Masha ndio anakaeulizwa, sio Katibu Mkuu wa mambo ya Ndani wala katibu Mkuu wa Rais, Luhanjo, right? No question.

Luhanjo sio, na hawezi kuwa, "Kiongozi wa watumishi wote serikalini." Luhanjo sio bosi wa Pinda, sio bosi Karume, sio bosi wa Shein. Wala sio bosi wa Waziri wa mambo ya ndani. Vinginevyo Pinda asingekubali kupokea kesi iliyoletwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kuhusu Luhanjo, kama Luhanjo was the biggest kahuna in government.

Assuming, without concluding, that everything you said there is factual, then Masha is not completely on the hook here, na aliyeingilia mradi hapo inaoneka ni Luhanjo!!!
 
Last edited:
Baada ya Lowasa, Msabaha ana Karamagi. Kubenea aliwataja waliotegemewa kuwafuata kuwa ni Chenge, Masha, Ngeleja na mmoja nimemsahau!

Naona maandiko ya Kubenea yanatimia!


Kubenea ni nani mpaka aaminiwe hivyo?Chenge ana makosa yake ambayo anajua mwenyewe jinsi ya kuyajibu.Watu kama Masha,Ngeleja hawana kosa labda kama kosa lao ni kuwa karibu na Rostam au Lowassa..

Ila Mpaka sasa sijaona kosa lao.Lets wait and see na tuendelee kukata Ishu..
 
Kitendo cha wewe kulumbana na FMES kinaonyesha wazi kuwa wewe ni mtu wa aina gani.....wajanja hawalumbani na mukulu FMES!! Kama ulikua hujui basi ndio umeshajua......LOL.
Nadhani hujamwelewa rafiki yangu alikuwa anamaanisha nini. Siyo kwamba FMES anaogopwa hapa. Si hivyo hata kidogo. Sijui umemjua lini FMES lakini kama umemjua hivi karibuni sikulaumu hata kidogo.

Ona hata rafiki yangu YNIM alimalizia na "LOL".....did you even catch that?
 
Back
Top Bottom