Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Poor Masilingi ananikumbusha ule utamaduni uliokomaa kwenye utawala wetu na hasa bungeni wa kukomalia issue - kumbe walilia attention kama mtoto mchanga aliyetelekezwa. Ukipewa uji tu unasahau kama unatoka ama unaingia - yale yale ya Majiyatanga Chris.

Tatizo la huo mtindo ni kuwa umepitwa na wakati, watu siku hizi wako macho ( JF ikiwa mojawapo) na hawasiti kukupatia vidonge vyako. Listi ni kubwa na kuna haja ya kutowasahau watu kama Marmo n.k. Vijana kama Masha have a lot to learn but at what cost.
 
Chonde, chonde. Tubaki kwenye mada husika! Tukifanya tofauti hatutakuwa tunamtendea haki aliyeileta. Kama ni mashindano ya kutukanana basi tufungue thread nyingine, hii tuwaachie wale wanaotaka kuzungumzia ya Mheshimiwa waziri Masha na matatizo yake!

Swala na uraia na/au elimu ya Masha viliishia juu kwa juu kama lilivyokuwa la Masha na Mengi, hili nalo litamalizwa kiutu uzima (Masha bado kijana sana, hata 40 bado).

Labda kama Auntie Sofi ana lolote la kusema.
 
Last edited by a moderator:
Masha akubali kuwa amekosea. Asitafute mchawi wa kosa hilo zaidi yake mwenyewe. Yeye ni mwanasheria, tena mahili. Anaelewa vizuri sheria za manunuzi. Kuna maswali ya kujiuliza hapa. Hao Sagem walipata wapi taarifa kuwa wameenguliwa? Barua hiyo walimpa Masha kama nani? Ktk tenda document imeandikwa wazi kuwa, kama kutakuwa na malalamiko au kampuni inahitaji maelezo zaidi kuhusu tenda hiyo, basi wawasiliane na Accounting Officer, je Sagem hawakuona kipengele hicho au waliamua kupuuzia? Wamepata wapi kiburi cha kupuuzia sheria za manunuzi ya umaa ya nchi za wenzao?
 
Kuna baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bado hawataki kukubali kwamba watanzania tumebadilika na "we are very serious with anybody" mwenye chembe za kujinfuaisha au kukiuka misingi na maadili ya uongozi. ...................................................

Japhet, unalijua tatizo? uongozi wetu usikupe matumaini kwamba ume-change, au uko serious kama unavyodhani. Hawa jamaa walioko juu wanakuwa serious kwa wale adui zao kisiasa. Ndo maana unawaona akina Mahalu, Yona, nk. wakiwa na kesi wakati huo huo akina Masha, Rostam na Lowasa wanafaidi. Unachoweza kutumaini ni kuomba baada ya Kikwete, aje adui wake ili naye ahangaike na marafiki wa kikwete.

Ndo mtindo wa kudumu ktk tawala hizi za CCM na kila mmjoja anajitahidi awe rafiki wa Rais aliyepo.
 
Masha: Tender claim is a smear campaign

By Orton Kiishweko, Dodoma
THE CITIZEN
2009-02-04 08:42:00​

Home Affairs minister Lawrence Masha yesterday denounced as "character assassination" allegations of influence peddling in the tendering for the Sh200 billion national identity card project.

Speaking to The Citizen at the Parliament Grounds, Mr Masha said that only the Parliamentary Committee on Security and Defence could make a ruling on his alleged interference in the process.

The minister told those accusing him of impropriety that they should let the committee determine whether or not he breached the public procurement rules and procedures.

He said the committee should be given time to find out whether he did anything wrong in the execution of the tender to find a suitable company to implement the National Identity Card Project.

Mr Masha was for the first time publicly responding to accusations against him since the controversy broke last week.
He called for patience from the public as the committee establishes whether, as has been alleged by his critics, he interfered in the deal in favour of one of the 54 companies vying for the contract.

"Whatever has been reported in some sections of the media, it is evident, is aimed at character assassination. But what I can say is that I am ready to wait until the committee completes its investigation,"he said.

The handling of the key national project, which poses a grave threat to the minister's career, should it be established that he tried to influence the award of the tender to one company.

Speaking after yesterday's mid-morning parliamentary session, Mr Masha said he was ready to be questioned by the committee over his alleged interference in the tender process.

"It's the committee that will establish my actual role in the project. As of now, any person is entitled to perceive my role in the ID project differently but the committee will decide whether I did anything wrong," he said.

Mr Masha agreed with Prime Minister Mizengo Pinda's statement in Parliament last week that a government document had been leaked to the media, setting the stage for the controversy on the ministry's handling of the multi-billion project.

"As the PM said last week, a government document was leaked. And If I speak to the media about whatever has happened or is happening, that will, in essence, mean that I am going against the oath I took as a Cabinet minister to safeguard the Government's secrets,"he said.

According to media reports, the minister allegedly interfered with the process of securing a company to implement the ID project, contrary to the rules and regulations governing public tendering procedures.

The media reports alleged that Mr Masha had tried to influence the award of the tender to his favourite firm among the 54 companies that applied for the job.

Yesterday, the minister said that he was ready to appear before the committee as it investigates whether or not he interfered with the Sh200 billion project.

On Thursday, the MP for Karatu, Dr Willibrod Slaa, who is also the Chadema secretary-general, asked Prime Minister Pinda to explain reports that a Cabinet minister had interfered with the tender to procure a contractor for the national ID project.

Dr Slaa argued that the minister had contravened the Public Procurement Act. However, Mr Pinda told the National Assembly that a page had been stolen from a package, leaking some information of a key ministry.

The PM said the tender had not been awarded and it would, therefore, be prejudicial to condemn the minister before investigations were done.

As the issue raged in Parliament, the ministry of Home Affairs reportedly launched its own investigation to find out who plucked out and leaked to the media a page from a letter Mr Masha had written to the PM.

The Parliamentary Committee on Security and Defence met on Friday to discuss the leaking to the media of the document from the ministry's file.

Two years ago, the Government announced that a multi-billion-shilling project to issue Tanzanians with national IDs would be implemented in December this year
 
Last edited:
Kwa nini wasi-cancel tu the whole project? Kweli wakati wenzetu wanaangalia depreciation, sisi wanao tutupia makombo bado tunajifanya hatujali? Sikio la kufa kweli halisikii dawa.

Amandla......
 
Kwa nini wasi-cancel tu the whole project? Kweli wakati wenzetu wanaangalia depreciation, sisi wanao tutupia makombo bado tunajifanya hatujali? Sikio la kufa kweli halisikii dawa.

Amandla......

.......na kusudio la Masha.......tukose wote atii......
 

By Orton Kiishweko, Dodoma
THE CITIZEN
2009-02-04 08:42:00


The handling of the key national project, which poses a grave threat to the minister's career, should it be established that he tried to influence the award of the tender to one company.


Sijui ndio nini hiki!
 
Kwa nini watu msi-step up humu na kwenda kusaidia hiyo fani ya uandishi wa habari? Kwa sababu inaoneakana humu kuna watu wanaoijua hiyo fani kikweli kweli....
 
Kwa nini wasi-cancel tu the whole project? Kweli wakati wenzetu wanaangalia depreciation, sisi wanao tutupia makombo bado tunajifanya hatujali? Sikio la kufa kweli halisikii dawa.

Amandla......

Hapa tupo pamoja Mkuu, kama lengo la Masha ni tukose wote afadhali iwe hivyo kwa sababu washindi watakuwa ni wananchi ambao mifedh yao itasalimika kuliwa
 
If you guys can not or would not hold a respectful, candid and engaging discussion as supposedly educated and mature members would do and continue to resort to personal and unnecessary verbal attacks at each other while avoiding intelligent and rational arguing, I will surely do what I have done before.

Remember anytime you have an issue with another member or a few of you have found something else to chit chat about beside the substance of a particular thread at hand please use your PMs (where you can send your messages to up to 50 people) and continue with your heated exchanges or off point communications.

Otherwise, start a thread that reflects your discussion in a proper subforum and people interested will join you there, or we will send them there with pleasure.

Such off point commentary and pointed attacks etc will not find a place here. We will remove them and when necessary make all those responsible regardless of their names, status, or contributions to JF suffer the consequences for such "flooding and denial of service" as we have done before.

We will do that without hesitation.

This is the only warning.

For JF
 
Hahahahahaha mambo ya JF hayo, wote hao ni "armchair" journalist(s)....maneno tu na kukosoa kila kitu kinachopita usoni kwao! Umesahau kuwa machoni kwa baadhi yao, hata Masau alikuwa ni dokta feki!?

Kama huyo kuHaNI kila kitu anajua yeye kuanzia sheria (ana JD ya Yale), medicine (kasoma pale Longwood...Harvard School of Medicine), Uandishi wa habari kasomea Washington University pale Florissant, na list inaendelea....sijui ni kitu gani ambacho utakuwa mtu mwingine ni better zaidi yake! Kwa ufupi ana gubu na know it all mentality!!

Damn right!
 
Kama huyo kuHaNI kila kitu anajua yeye kuanzia sheria (ana JD ya Yale), medicine (kasoma pale Longwood...Harvard School of Medicine), Uandishi wa habari kasomea Washington University pale Florissant, na list inaendelea....sijui ni kitu gani ambacho utakuwa mtu mwingine ni better zaidi yake! Kwa ufupi ana gubu na know it all mentality!!

Unajua YournameisMINE mimi nadhani afadhali huyu anaejifanya kujua analeta anachofikiri hapa kuliko mtaalam anaegopa kuweka mawazo yake hapa bila kuwa tayari kuchambuliwa.

Kuna siku moja mtu alisema ana matatizo ya ujauzito sijui kitovu kimefanya nini sijui. Mkuu YournameisMINE ulipokuja ukatoa toa online prescription mbili tatu hapa, ikatokea kama comments zako ziko kiaina, wananchi walipoanza kuja juu ukakatisha majibu with "najua ninachokiongea," wananchi still wakaendelea kum grill JF doctor, Mzee ukamwambia mgonjwa akucheki kwenye PM! Nilicheka vibaya sana!

Sasa bora asieogopa kuleta utaalam feki ili anaekosoa akosoe au expert anaeomba audience yake waende chemba? Yani huko chemba uka take advantage of the mgonjwa's unwariness. Duuu! 😀
 
Date::2/4/2009
Spika awaziba midomo wabunge kuzungumzia suala la Masha

Na Leon Bahati, Dodoma
Mwananchi​

SPIKA wa Bunge, Samweli Sitta amewaonya wajumbe wa kamati za kudumu za bunge kutotoa taarifa kwa waandishi wa habari katika siku ambayo Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ilikuwa inamuhoji Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, kuhusu zabuni ya uchapishaji vitambulisho vya utaifa.

Masha anadaiwa kuingilia mchakato wa utoaji zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa kwa kutaka kurejeshwa kwa kampuni ambayo ilienguliwa katika hatua za awali, kitu ambacho kinaelezwa kuwa ni ukiukwaji wa Sheria ya Manunuzi ya Umma.

Tuhuma hizo zimeifanya kamati hiyo kumuita Masha kwa ajili ya mahojiano, huku umma ukisubiri kwa hamu matokeo ya usaili huo.

Lakini jana, Spika Sitta alizima hoja ya kujadiliwa bungeni madai ya ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya umma katika ununuzi wa rada na mchakato wa zabuni ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.

Huku siri za kamati zikiendelea kuvuja na viongozi wa kamati wakionekana kuanza kuwa na nguvu kubwa, Sitta aliwaambia wabunge jana mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu kuwa kitendo cha kutoa taarifa zozote zilizojadiliwa ndani ya kamati kabla ya kuwasilishwa bungeni, ni kuvunja kanuni ya bunge ibara ya 114 kifungu cha 11 na 12.

Aliwataka wabunge kuwa makini kwa kuhakikisha kuwa hawaelezi chochote kilichojadiliwa kwenye kamati hizo kwa kuwa katika siku za karibuni kumekuwepo na tabia hiyo.

Alisisitiza kuwa yeye kama spika wa bunge atahakikisha kuwa atakayekiuka kanuni hizo anachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria hizo zinazoliongoza bunge.

"Mimi kama spika wa bunge hili nina wajibu wa kuhakikisha kuwa kanuni za bunge zinafuatwa," alisema Sitta akiwaonya wabunge.

Moja ya habari ambazo ziliandikwa na vyombo vya habari wiki hii ni juu ya taarifa kuwa Masha aliingilia mpango wa utoaji wa zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa, kwa kutaka moja ya kampuni zilizoondolewa katika hatua za awali za mchakato irejeshwe.

Katika chokonoachokonoa za waandishi wa habari, ilibainika kuwa moja ya hoja ambayo jana ilikuwa ijadiliwe kwenye kikao cha Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ni hoja binafsi ya Mbunge wa Karatu, Willbrod Slaa dhidi ya tuhuma zinazomkabili Masha.

Dk. Slaa aliamua kutoa hoja hiyo binafsi baada ya Sitta kuyazima maswali yake mawili ya nyongeza Alhamisi iliyopita baada ya kutoridhika na jibu la swali la msingi alilomuuliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo.

Katika swali la msingi, alitaka kujua hatua ambazo serikali inachukua dhidi ya Masha baada ya kuonekana kukiuka taratibu za manunuzi kwa kulazimisha kampuni ambayo tayari iliondolewa kwenye mchakato, irejeshwe.

Pinda alimjibu kuwa Dk. Slaa ameharakisha kuuliza swali hilo na kwamba alipaswa kusubiri hadi mwisho wa mchakato na kuona serikali itakuwa imechukua hatua gani.

Hata hivyo, Dk. Slaa hakuridhika na majibu hayo na badala yake alieleza kuwa serikali inapaswa kuingilia mchakato huo unaotumia kanuni za manunuzi kwa umma na siyo kuuachia hadi hali iharibike, lakini Spika Sitta aliingilia kati na kutaka lisijibiwe kwa kile alichoeleza ni kuzusha malumbano.

Jana, Sitta pia alizuia kujibiwa kwa swali la nyongeza la Mbunge wa Ole, Bakar Shamis Faki (CUF) aliyemtaka Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Omar Yussuf Mzee kufafanua juu ya madai kuwa kulikuwepo na ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya umma katika ununuzi wa rada pamoja na mchakato wa zabuni ya uchapishaji wa vitambulisho vya taifa.

Sitta alikataa swali hilo lisijibiwe kwa maelezo kuwa masuala yote mawili yapo kwenye uchunguzi na kwamba kuingilia kunaweza kuathiri mikakati hiyo.

Katika swali la msingi, Faki aliitaka serikali kutoa maelezo ya maboresho ya mfumo wa manunuzi wa umma kwa kuzingatia kuwa umekuwa ukilalamikiwa kwa sababu taratibu za sasa haziko wazi na zinaruhusu ufisadi.

Katika kujibu swali hilo, Mzee alisema kuwa serikali inatarajia kuwasilisha bungeni marekebisho ya sheria ya ununuzi wa umma ambayo itaipa meno Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya kuwachukulia hatua wale wanaokiuka sheria hizo.

Mbali na kuwa na uwezo wa kuchukua hatua, mamlaka hiyo pia itakuwa na uwezo wa kusitisha zabuni yoyote ile pale itakapobainika kuwa kanuni zimekiukwa.
 
Naona tena Waziri Mkuu Pinda anataka kupinda Ukweli wa mambo na kuanza kujadili nani katoa siri za serikali kwenye vyombo vya habari kuhusu barua ya Masha aliyomuandikia Waziri Mkuu...Suala hapa sio waraka huo wa Muheshimiwa Masha,bali ni Kwa nini Mheshimiwa Waziri anaikingia kifua kampuni ya kifaransa Sagem irudishwe kwenye Mchakato wa Tenda ya utengenezaji wa Vitambulisho, wakati Kamati ya Zabuni imeiona Kampuni hiyo haina sifa Stahili miongoni mwa Kampuni 54 zilizoomba kazi hiyo!

Waziri Mkuu ni lazima akumbuke kuwa Fedha za utengenezaji wa Vitambulisho hivyo ni fedha za walipa kodi,kwa maana hiyo walipakodi wanapaswa kutaarifiwa kila hatua ya mpango huo.Kitendo cha Waziri Masha kujihusisha moja kwa moja kwenye kutetea kampuni ya Sagem kina harafu ya Rushwa,Waziri hayupo kwenye kamati ya kuchagua Mtengenezaji wa Vitambulisho hivyo!anaingia hapo kama nani?au mnataka tena kutueleza kuwa suala zima la Utengenezaji wa Vitambulisho linahusu usalama wa Taifa,kwa kuwa Waziri ni Waziri wa mambo ya Ndani anahusika moja kwa moja !Hatutaki sababu hizo tena....

SAGEM ni kampuni ambayo imekuwa na sifa Mbaya sehemu nyingi ilipopewa kazi,na hivi Karibuni Wabunge wa Ghana waliihoji serikali yao walipotaka kuitumia kampuni hiyo kutengeneza Vitambulisho Nchini humo,mianzoni mwa miaka ya 2004 Sagem walipata kazi ya Utengenezaji Vitambulisho Nchini Nigeria,inadaiwa kuwa Mawaziri watatu wakiwamo wawili wa Mambo ya Ndani (Mahmud Shata na Sunday Afolobi) walifukuzwa kazi na Uongozi wa Obasanjo na kufikishwa Mahakamani kwa Tuhuma ya kupokea Hongo ya $1millioni kwa kazi ya $300millioni.

Serikali ijibu Maswali ya Wawakilishi wa Wananchi kuhusu mradi mzima wa Vitambulisho hivyo!!na Waziri Mkuu na Spika wa Bunge ni lazima wajue wazi kuwa hakuna siri tena....Chochote mnachozungumza kwa SIRI kinatoka nje....mtahangaika sana kufanya mambo kwa vificho kwanini msifanye kila kitu wazi,Mnaficha nini haswa....kumbukeni maandiko ya wahenga ""Mficha maradhi kifo kitamuumbua""!!
 
Unajua YournameisMINE mimi nadhani afadhali huyu anaejifanya kujua analeta anachofikiri hapa kuliko mtaalam anaegopa kuweka mawazo yake hapa bila kuwa tayari kuchambuliwa.

Kuna siku moja mtu alisema ana matatizo ya ujauzito sijui kitovu kimefanya nini sijui. Mkuu YournameisMINE ulipokuja ukatoa toa online prescription mbili tatu hapa, ikatokea kama comments zako ziko kiaina, wananchi walipoanza kuja juu ukakatisha majibu with "najua ninachokiongea," wananchi still wakaendelea kum grill JF doctor, Mzee ukamwambia mgonjwa akucheki kwenye PM! Nilicheka vibaya sana!

Sasa bora asieogopa kuleta utaalam feki ili anaekosoa akosoe au expert anaeomba audience yake waende chemba? Yani huko chemba uka take advantage of the mgonjwa's unwariness. Duuu! 😀


Kuhani,

hii tabia ya kunyamazia kila jambo ndio imetufikisha Watanzania hapa tulipo. Yaani ukikosoa kitu unaambiwa mjuaji, watu wakaogopa kukosoa, wakaja na mavyeti yao kutoka sehemu mbalimbali za dunia, wakaogopa kubadili mambo na mifumo mbalimbali, KISA! WANAOGOPA KUAMBIWA WAJUAJI.

Zaidi ya hilo Wabongo haturidhiriki, hatuna jema. Ndio yale yale ya ukitema nchale, ukimeza nchale, ukimumunya nchale! Kama unajua mengi, tunafurahi kuona kuwa wako waTanzania wanaojua. At least forum inaondoka na yale mambo ya kufuata mkumbo wa uongo au upotoshaji.

Kwa mantiki hiyo, kanyaga twende kaka, speak your mind! Unatusaidia sana tu wengine hapa kwa kuangalia kwako upande wa pili wa shilingi. Iko siku Tanzania itapata watu 20 kama wewe, mnatosha kuanzisha baraza la mawaziri kama la Korea. Ni hakuna kulala, hata kama hakuna aliyekula.


Stay blessed, aluta continua.
 
Kuhani,

hii tabia ya kunyamazia kila jambo ndio imetufikisha Watanzania hapa tulipo. Yaani ukikosoa kitu unaambiwa mjuaji, watu wakaogopa kukosoa, wakaja na mavyeti yao kutoka sehemu mbalimbali za dunia, wakaogopa kubadili mambo na mifumo mbalimbali, KISA! WANAOGOPA KUAMBIWA WAJUAJI.

Zaidi ya hilo Wabongo haturidhiriki, hatuna jema. Ndio yale yale ya ukitema nchale, ukimeza nchale, ukimumunya nchale! Kama unajua mengi, tunafurahi kuona kuwa wako waTanzania wanaojua. At least forum inaondoka na yale mambo ya kufuata mkumbo wa uongo au upotoshaji.

Kwa mantiki hiyo, kanyaga twende kaka, speak your mind! Unatusaidia sana tu wengine hapa kwa kuangalia kwako upande wa pili wa shilingi. Iko siku Tanzania itapata watu 20 kama wewe, mnatosha kuanzisha baraza la mawaziri kama la Korea. Ni hakuna kulala, hata kama hakuna aliyekula.


Stay blessed, aluta continua.

Kukosoa kwa mtindo wa kutafuta kasoro bila tact na bila kutoa mapendekezo mbadala hakujengi chochote. Sana sana mtu utaishia kugombana na watu. Uwezekano wa kumkosoa mtu bila kumfanya yeye hajui kitu na kwa kutumia lugha ya kiungwana na si kejeli, upo. Malumbano yanakuja pale mmoja anapotafuta kasoro tu kama vile kuna kitu ambacho hakina kasoro. Hiyo tabia ya kutafuta kasoro kwa watu wengine na yenyewe inaweza ikawa kasoro vile vile. Hata kama mtu una hoja nzuri, unaweza kabisa kumkosoa mwingine kwa kutumia lugha ambayo haitamfanya mkosolewaji ajisikie vibaya. Au naongopa hapa?
 
1. Quote: Nyani

Kukosoa kwa mtindo wa kutafuta kasoro bila tact na bila kutoa mapendekezo mbadala hakujengi chochote. Sana sana mtu utaishia kugombana na watu. Uwezekano wa kumkosoa mtu bila kumfanya yeye hajui kitu na kwa kutumia lugha ya kiungwana na si kejeli, upo. Malumbano yanakuja pale mmoja anapotafuta kasoro tu kama vile kuna kitu ambacho hakina kasoro. Hiyo tabia ya kutafuta kasoro kwa watu wengine na yenyewe inaweza ikawa kasoro vile vile. Hata kama mtu una hoja nzuri, unaweza kabisa kumkosoa mwingine kwa kutumia lugha ambayo haitamfanya mkosolewaji ajisikie vibaya. Au naongopa hapa?

2.
Quote: YRSMINE

Acha kuangalia mambo ki-Simba na Yanga buraza....kuHaNI ni nani? ni mwandishi wa habari, mwanasheria, muhasibu, mhandisi, daktari, nesi, mwalimu, injinia au ni nani hasa na kapata wapi hiyo authority ya kukosoa taaluma zote hizo na kila kitu kinachopita usoni pake? Huyo KuHaNi unayemshabikia ndio mpotoshaji nambari wani na ndio hasa mijitu kama yeye ndio mzizi wa fitina ktk maendeleo ya Tanzania......vinginevyo endelea kupiga chapuo!

Kitendo cha wewe kulumbana na FMES kinaonyesha wazi kuwa wewe ni mtu wa aina gani.....wajanja hawalumbani na mukulu FMES!! Kama ulikua hujui basi ndio umeshajua......LOL.

- Ahsante Mkulu Nyani na Mkulu wangu Yoursnameismine, tupo pamoja na kama kawaida tutaendelea kuwa pamoja katika kujaribu kutafuta sotuions za matatizo ya taifa letu, tuinatoka mbali sana na bado safari ni ndefu zaidi kuliko tulikokotoka.

- Masha is my friend, kama mlivyo nyinyi na wengine wengi hapa JF, na ndio maana nimewahi kuwapigania sana wakulu flani hapa walipokuwa mbele ya Pilato, ingawa sijawahi hata kuwaona machoni mwangu hata siku moja. Sasa mind you hata huko nilikokuwa ninawapigania nilirushiwa maneno kama haya ninayorushiwa hapa kwa kutetea ukweli ninaoujua. Ninaifahamu sana backogropund ya Masha, kuanzia elimu yake mpaka kazi zake kabla ya kua Mwanasiasa, sasa nina tatizo kubwa sana na mtu yoyote yule anayetaka kumchafua Masha katika level hiyo ya kabla ya kuingia siasa, na kwenye hili nitamtetea kwa nguvu zangu zote na wakati wowote bila kuogopa anything, kwa sababu Mungu ninayemuabudu anasema kwamba kumjua mwizi ukanyamza, kama ni dhambi inakuwa ni ile ile kwa mwizi na mimi niliyenyamaza, meaning kwamba kuona Masha anashambuliwa na tuhuma za uongo kuhusu elimu yake na kazi zake kabla ya kuingia kwenye siasa halafu nikanyamaza kimya kwa sababu nitaonekana tofauti na popular theme, au kuwaogopa wanaomshambulia, ninakuwa mnafiki mbele ya Mungu wangu ambaye ninamuogopa kuliko anything, kwa wale wanaonijua vizuri sana na kwa karibu sana wanajua kuwa huwa sio tabia yangu kukimbia ukweli, nitatetea to the last drop of my blood.

- Ninampa credit Masha kwa kuweza kulimaliza suala lake na Mengi kistaarabu na sasa ni watu walio karibu sana, ingawa wananchi wengi tusingependa iishie hivyo, lakini it is what it is. Habari za ndani sana nilizonazo kuhusu yeye na vitambulisho sio nzuri sana kwake, lakini kwa vile bado ishu inaendelea bungeni, tutasubiri kujua ukweli wote kwa sababu na yeye sasa amezungumza, tena very confident na ndicho hasa nilichokisema kuwa tunahitaji kusikia his side of this story kabla ya kurusha hukumu.

- Huwa sijali sana yaliyopita, maana kila siku mpya ya Mungu inaleta mapya tena mengi sana mazuri kuliko ya jana, kutoka Jumapili nimeona mashambulizi na nimeyajibu kama ninavyoweza, na given a chance ninaweza kurudia tena exactly the same na zaidi. Sina uhakika sana na moderation iliyofanyika katika hii mada, lakini status yangu hapa na nje ya hapa, inaniweka kwenye nafasi ngumu sana kuwashukia Mods kama nafsi yangu inavyotaka, mimi nikifanya hivyo nitabomoa majengo mengi ambayo nimehusika sana kuyajenga hapa JF, ndio maana huwa ninanyamaza hata ninapokuwa sijaridhika na moderation. Sio lazima kuwepo hapa, lakini ni uchungu wa taifa letu ndio unatuweka hapa, hakuna mwenye uchungu zaidi kuliko mwingine.

- Kuhusu suala la Masha na vitambulisho nimesikia so far side nne za habari, kwanza kwenye media, pili uchanbuzi wa hapa JF, tatu kutoka kwa wajumbe wa kamati ya bunge, na leo side ya Masha, sasa ni zamu ya kulisikia bunge na uchunguzi wake, kwa sababu maelezo ya Masha, yanazi-off balance hoja nyingi zilizotolewa huko nyuma kuhusu kuhusika kwake na hii ishu. Infact leo kuna habari mpya kwamba hiii ishu ni ya Membe na wenzake, ninasema hivi pole pole tutaufikia ukweli wote, unless kutokee mizengwe ya busara.

Tutaendelea kuichambua hii ishu kwa hoja mpaka kufikia ukweli ulipo.

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!
 
Last edited by a moderator:
Yale yale! Sasa mnataka kuigeuza hii thread iwe ya kumzungumzia Kuhani! Hii obsession na huyu jamaa inatoka wapi? Bakini kwenye mada na msitake kutu-sidetrack.
 
Back
Top Bottom