Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,413
- 2,275
Mkuu nakurekebisha
Chenge alipewa hizo $1.5 million na yeye akampa Dr Rashid $600,000 ambazo amedai alimkopesha kufanya biashara ya fenicha
Sasa huu si upuuzi mtupu pesa yote kapata muhindi na heshima wamepoteza wao
Chenge kama asingefanya huu utaahira angefika mbali sana kwani CCM wanamtegemea kwamambo mengi sana
Mambo ya wizi? Ku.******ke