Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .

Kumbe tuna wataalamu wa sauti humu. Mimi sio mtaalamu wa sauti. Lakini Makamba lazima ajioneshe bila shaka kutohusika.
 
Makamba amepewa ngazi avuke na kutoka kwenye shimo lenye baridi kali,yeye kaamua kukoka moto na kujipa joto la muda.
Huku akisema hii serikali sii ya kuleana,na tuone kama hataomba kulelewa,maana ni Jipu tayari
 
Yaani kuna mtu mwenye akili timamu anayemuamini huyu mwanamke anayemshauri Wema kutafuta wanae wenye pesa badala ya kumshauri kutafuta pesa zake?

Huyu usikute ana ugomvi au wivu na huyo Mwamvita tu halafu watu wanaingia kichwakichwa

Maana oflate amekuwa mtu wa kutengeneza e-mail na akaunti fake kwenye mitandao na kudanganya watu na hata kutukana watu.

Kiufupi ni Psychiatric huyu haaminiki

Kipindi cha uchaguzi mkuu alkua akitukana watu kwa tuhuma za uongo.Ni mtu wa ovyo ovyo sana

Hata kichaa anajua tairi ya gari iliyopasuka. Kama humuamini endesha tu, utamwamini kuzimu.
 
Hivi hapo USA ni mbinguni kwamba wizara husika haiwezi kufika na kumleta huyu binti awe shahidi kwenye kila uozo na uchafu anaouandika kupitia blog na instagram page yake?

Au wizara imemshindwa kila kukicha anajijengea maadui na ipo siku atapasuliwa isijulikane ni nani kampa kubwa?
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...

Mkuu umeshindwa kuelewa huyu Mtaliano kaliwa fedha zake kwa ahadi ya kupewa mradi wa Bagamoyo au hata hilo umeshindwa kuelewa.
 
Mkuu yani hapa JF ndio kipimo tosha cha IQ za wabongo huyu Mange ana stress zake za maisha basi kazi yeye ni kutukana tu mitandaoni na wabongo bila kuyapima wanayabeba kama yalivyo sasa Makamba na Bandari ya Bagamoyo vinahusiana nini? Kama maisha yamemshinda huko ughaibuni arudi tu bongo mbona LE MUTUZ karudi na maisha yanasonga kama kawaida.

Hebu acha hizo. Wewe una IQ ngapi? Unajifanya una akili saaana? Hebu tuambie wewe mwenye IQ kubwa huna shaka na integrity ya Makamba katika hili kwa evidence zipi? Zitoe hizo evidence ili watanzania waonekane wana IQ kama zako.
 
Why mgosi Makamba aandamwe yeye tuu na haya ya uaminifu wa mashaka?
Akiwa Ikulu kulikuwa na tuhuma kuwa alikuwa anawaandalia watu fursa ya kuonana na JK kwa tozo ya sio chini ya $ 200.
Pia ule mradi alioleta Mhe Sugu wa Malaria no more kutoka Marekani kulikuwa na tuhuma ambazo Sugu alizisema hadharani kuwa January alicheza dili chafu akishirikiana na Ruge kumnyanganya mradi ule endelevu na wakapiga mpunga mrefu.
Bado nashangaa, why January tuu asingiziwe? Hata mtaani mtu akitajwa sana kuwa kibaka huwa inatia shaka kuwa kuna ukweli
Chakaza kuna ya Vodacom hayajasemwa hapa!kama Ze makambaz wanasingiziwa basi wana damu ya kunguni
 
Siyo kama mleta mada umeshindwa kuapload picha na sauti No no, umeleta hii mada kama mtego usitufanye wajinga. Hii ni blackmail kama story hii ni ya kweli unataka kumtoa upepo Makamba.
 
January na dada yake si wasafi na wanafaa ndani ya CCM tu, nje ya hapo ni watu wa gerezani Ukonga
 
Siyo kama mleta mada umeshindwa kuapload picha na sauti No no, umeleta hii mada kama mtego usitufanye wajinga. Hii ni blackmail kama story hii ni ya kweli unataka kumtoa upepo Makamba.
halafu kuna wehu wanakaa kitako na kuamini huu upuuzi...
 
Hauwezi kujudge kwa clips za kukata kata. Hatuwekee mtiririko mzima hapa JF ndio tuweze kujudge.

Hii hauwezi kujua alikuwa anaongelea hayo katika mazingira gani. Kwa mfano, mimi naweza kuongelea umuhimu wa kujenga Bagamoyo Port mtu anaweza kuchukua sehemu ambayo nimesema "Bagamoyo Port" akatengeneza maneno yake ya ufisadi akaunganisha na sehemu yangu niliyosema Bagamoyo Port.

Sijasema kwamba hizi clips sio za kweli bali tunaitaji mtiririko.
 
Naomba website ya mange kimambi jamani
 
Mnaomsema Mange, mwenzenu kashavuta pesa hapo now anamwaga na amesema wakijitokeza kubisha anazidi kumwaga eti haya ya leo ni cha mtoto. Atazidi kuleta habari pole pole...
 
Back
Top Bottom