Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Wito wangu kwa moderators ni kuconfirm hii taarifa kama ni kweli na isije ikawa tunajadili uzushi wa Instagram na hatimaye ku-smear jina la JF au kupelekea kutoa sababu kwa TCRA kupiga fine au kufungia .

Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa Mange alishawahi kutoa uzushi au hata kuwananga na kutukana wakuu wa JF na alijadiliwa sana humu....alionekana hana caliber ya kuwa na hoja za kiGT....

Kwa hiyo leo tunapojadili hoja hii ni vyema tukajiongeza kidogo ili tusiangukie kwenye mtego wa kijinga.

Mpaka sasa nasita kuamini juu ya uzushi huu kwa sababu ya historia ya huyu mpiga filimbi!!!
 
Dah, hongera zake kwa ujasiri huo, let's wait and see
 
Wito wangu kwa moderators ni kuconfirm hii taarifa kama ni kweli na isije ikawa tunajadili uzushi wa Instagram na hatimaye ku-smear jina la JF au kupelekea kutoa sababu kwa TCRA kupiga fine au kufungia .

Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa Mange alishawahi kutoa uzushi au hata kuwananga na kutukana wakuu wa JF na alijadiliwa sana humu....alionekana hana caliber ya kuwa na hoja za kiGT....

Kwa hiyo leo tunapojadili hoja hii ni vyema tukajiongeza kidogo ili tusiangukie kwenye mtego wa kijinga.

Mpaka sasa nasita kuamini juu ya uzushi huu kwa sababu ya historia ya huyu mpiga filimbi!!!
Toka hapa.... Acheni mjadala uwe huru nani asiyejua January ni mpiga dili mkubwa
 
Ni kama ilivyokuwa kwa Mtikila RIP na Liberty desk jamaa walikuwa na information za serikali nyingi duniani na kila kinachotokea hivyo walikuwa wanamtafuta chizi mmoja(a daring n fearless person) na kummwagia habari naye kuzirusha kama zilivyo
Hapa hii ishu kimange Katupiwa kwakuwa inaonekana tayari ana jina kwenye mitandao hivyo ni rahisi mno habari kufika zilikokusudiwa
Mtikila alikuwa hakosi cha kusema yule mzee.
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Ukiwa TAPELI au unania ya kutapeli,hata biashara inaweza kuwa baina ya BAKHRESA NA MOHAMED DEWJI,ila wewe unapenya kati hata kama huna uwezo wa kuwakutanisha wala kusaidia chochote,unacheza na imani ya mwenye shidanao na akili yake ili unufaike.
Hatakama haikumhusu January hii mikataba lakini ametumia influence aliyonayo kumfanya mtu amuamini,na hapo mtu huyo anautaka uongozi wa juu kabisa wa Taifa "TEULE"kwa mali kama TANZANIA,je sura yake kwa watu anodhamitia kuwaongoza inakuwaje.
Uaminifu na uadilifu ni silaha kubwa kwenye kuoewa dhama yoyote,tukisikia vitu kama hivi mtu huyo anafaa katika nafasi ipi ya uongozi.
INAWEZA KUMHUSU KWA KULIONA TUNDU LA "KUPIGIA"NA AKAPIGA.
 
Meet tye Italian pasta..hahahahahah have fun

 
Sitashangaa huyu akiachwa labda katumwa achangishe michango ya kujenga chama
 
Ukiwa TAPELI au unania ya kutapeli,hata biashara inaweza kuwa baina ya BAKHRESA NA MOHAMED DEWJI,ila wewe unapenya kati hata kama huna uwezo wa kuwakutanisha wala kusaidia chochote,unacheza na imani ya mwenye shidanao na akili yake ili unufaike.
Hatakama haikumhusu January hii mikataba lakini ametumia influence aliyonayo kumfanya mtu amuamini,na hapo mtu huyo anautaka uongozi wa juu kabisa wa Taifa "TEULE"kwa mali kama TANZANIA,je sura yake kwa watu anodhamitia kuwaongoza inakuwaje.
Uaminifu na uadilifu ni silaha kubwa kwenye kuoewa dhama yoyote,tukisikia vitu kama hivi mtu huyo anafaa katika nafasi ipi ya uongozi.
INAWEZA KUMHUSU KWA KULIONA TUNDU LA "KUPIGIA"NA AKAPIGA.
Kwa nchi za wenzetu tuhuma kama hii tu tayari inabidi ukae pembeni kupisha uchunguzi
 
utumie akili binti, wazungu sio wajinga hivyo, dunia nzima inajua bandari ya bagamoyo ni ya wachina, labda ataje dili nyingine. sipo upande wa makambas lakini habari yenyewe haiingii akilini.
hapa haujaelewa,mzungu aliambiwa atapewa tender,ila hakupewa which is true,maana kweli bandari tender walipewa wengine,kutokana na hiyo clip mzungu alitowa pesa na kuhakikishiwa kuwa atapewa mradi ,hapo upo?
 
Wito wangu kwa moderators ni kuconfirm hii taarifa kama ni kweli na isije ikawa tunajadili uzushi wa Instagram na hatimaye ku-smear jina la JF au kupelekea kutoa sababu kwa TCRA kupiga fine au kufungia .

Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa Mange alishawahi kutoa uzushi au hata kuwananga na kutukana wakuu wa JF na alijadiliwa sana humu....alionekana hana caliber ya kuwa na hoja za kiGT....

Kwa hiyo leo tunapojadili hoja hii ni vyema tukajiongeza kidogo ili tusiangukie kwenye mtego wa kijinga.

Mpaka sasa nasita kuamini juu ya uzushi huu kwa sababu ya historia ya huyu mpiga filimbi!!!
Hivi umesoma masharti ya JF ?? JF ni user information oriented!! Sio radio au TV iwe na editors... Ikiwa ni uongo ulieleta habari unaadhibiwa
Waconfirm Wapi?? Jamiiforums ni jukwaa linalopaza sauti za whistle blowers sasa ni jukumu la serikali kuthibitisha au kukanusha!! Mbona ya Sefue wamekanusha??
 
January walianza nae tangu kwenye uwaziri akawapiga 3-0 wakaja kwenye account yake ya IG Magufuri akampa shavu sasa wana haha kumchafua walifanya hivyo hata kwa Muhongo. Narudia akuna kazi za kiusalama zina fuatilia majungu.
We benard membe tushazoea uswahili wako
 
........................nasubiri mwisho jiwe limerushwa kizani
 
Mbona tunamjuwa tngu zamani jipu nahata mzee hakutaka hayo wakamnganganiza sasa anawasomesha namba
 
Mimi nataka nizisikie mwenyewe hizo voice recordings. Vinginevyo anatafuta kum-black mail makamba kisha ahongwe pesa nyingi ili asi-release hizo recordings
 
ImageUploadedByJamiiForums1457158680.260756.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1457158727.600481.jpg
 
Back
Top Bottom