man
mange is a good player kwenye sakata la mitandao only few will know her game...baada ya kumchafua hoyce temu kwa mujibu wake kuna mpango uliokuwa unasukwa chinikwachini ili arudishwe na kushitakiwa hapa nchini sasa anachokifanya kwa sasa ni either kutoa siri ambazo pia ni mchezo mchafu kuichafua makambas ili wakimshtaki kuletwa hapa ionekane kama yeye hawezi kurudi nchini ama kurudishwa na serikali kwa kuhofia usalama wake ili marekani impe sapport ya usalama wake kwa kuwa ana watoto wenye uraia wa marekani but mtu mtaalamu anaweza kuunganisha all dots why now????so mange yupo verry smart ktk kucheza game hili na anybody akiwa fool will fall into her trap.Very damning evidence, kwani ikitokea ya kutokea huyo mzungu si anaweza kupatikana na ku testify kwa kutoa namba ya Mwamvita na January na kama bado anazo hizo recordings.
Sioni kosa la kiutendaji in terms of action taken lakini utata mkubwa unaibuka juu ya maadili what a disappointment ukute yeye mwenyewe ajafaidika moja kwa moja zaidi ya dada yake tu; tunatatizo kubwa sana la kutamani lifestyles zisizoendana na mapato yetu kama jamii.