Viongozi wa awamu ya 5 wamekua wapumbavu kabisa.Wacha weeee
Kama amependekeza iitwe kwa jina la Rais JPM kwakuwa ina Hadhi ya Kimataifa je, ingekuwa ina Hadhi ya Kiuswahili jina gani lingependekezwa?Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.
HakikaJina la CHATO ingependeza
Labda KikweteKama amependekeza iitwe kwa jina la Rais JPM kwakuwa ina Hadhi ya Kimataifa je, ingekuwa ina Hadhi ya Kiuswahili jina gani lingependekezwa?
Anautaka urais kama pepo, anajua kuna chance kubwa kwa ajae kuwa Muislamu.Jaffo anajipendekeza mpk anatia ki chefuchefu
Duuh! Urais ushakuwa jalala kama na Jaffo anautaka. Jiwe kaharibu image ya urais kabisaAnautaka urais kama pepo, anajua kuna chance kubwa kwa ajae kuwa Muislamu.
Urais siyo maandaziAnautaka urais kama pepo, anajua kuna chance kubwa kwa ajae kuwa Muislamu.
Masikini KikweteWaziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.
Mkuu nimecheka hapa kwenye mwendokasi hadi nimepatapo pisiIkiwezekana wabadilishe na jina la nchi kabisa liwe Jamhuri ya Muungano wa Magufuli. Nadhani hii itafikisha shukrani zaidi kwa Mheshimiwa maaana kabla yake tulikuwa hata hatuvuti hewa lakini toka kuingia yeye madarakani tunavuta oxygen kwa wingi, mvua zimeongezeka na hata ardhi imekuwa na rutba zaidi.