Waziri Jafo apendekeza Stendi mpya ya Mbezi ipewe jina la Dkt. John Magufuli

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.

Kwa hiyo tutakuwa wageni wa Magufuli! Mabasi yataandikwa from Dr Magufuli to Nanjilinji!
 
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.

Badirini na jina la Tanzania liwe jamhuri ya muungano wa Dr John Joseph pombe magufuli
Kumpa shukrani na heshima
 
Historia inaonyesha majina ya stendi huakisi majina na mji/mkoa stand ilipo. Kufanikisha hoja ya Mh Waziri Japo mkoa au wilaya ilipo stand ubadilishwe jina
Pale Mpanda kuna mizengo pinda bus stand
 
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.

Huyu muimba kaswida za kumsifu mtu mbona hasemi daraja la kwenda kwao mkuranga lipewe Jina la Magufuli?
 

Attachments

  • IMG_20210125_164112.jpg
    IMG_20210125_164112.jpg
    81.2 KB · Views: 1
Upumbavu mtupu kuna watu wameipigania nchi hii kwa nguvu vita ya Uganda ht hawatambuliki
 
Kwani ni kanuni kila kitu kupewa majina ya Wanasiasa?

Kuna Madaktari, ma Sheikh, ma Padri na hata Wahandisi walioweka heshma kwny fani zao


Inaweza kuitwa Mzizima Bus Terminal kuenzi jina la Asili la Mkoa wetu
Huu mradi initiator ni Kikwete why asipewe heshima hiyo
Au tumpe waziri Gwajima coz ametufanyia makubwa secta ya afya
 
Ikiwezekana wabadilishe na jina la nchi kabisa liwe Jamhuri ya Muungano wa Magufuli. Nadhani hii itafikisha shukrani zaidi kwa Mheshimiwa maaana kabla yake tulikuwa hata hatuvuti hewa lakini toka kuingia yeye madarakani tunavuta oxygen kwa wingi, mvua zimeongezeka na hata ardhi imekuwa na rutba zaidi.
Rais mtukufu from Chatooooooò😆😆😆😆😆 piga kelele kwa magu yakeeeeeeeeeee
 
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.

Hapan mm naon ingepewa hadh ya mwl nyerere
 
Back
Top Bottom