Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,675
- 22,265
Kwa hiyo tutakuwa wageni wa Magufuli! Mabasi yataandikwa from Dr Magufuli to Nanjilinji!Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.