DENLSON
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 944
- 1,253
Hapa TFF wanastahili kubeba lawama zote hata kama walipewa maagizo walitakiwa kusimamia sheria na kanuni.
Nashauri Yanga na Simba waende mahakamani wadai fidia toka TFF kwa hasara waliyosababisha kwa timu, washabiki na wananchi kwa ujumla.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nashauri Yanga na Simba waende mahakamani wadai fidia toka TFF kwa hasara waliyosababisha kwa timu, washabiki na wananchi kwa ujumla.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app