Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,093
Yani wazazi wameshaishi maisha yao na bado wayaishi na maisha yako?sasa ww usipowasikiliza wazaz wako,uwasikilize wa kina nani?Aliyekuzaa na kukulea ndo mungu wako ktk dunia hii.Sikiliza na tii maneno ya wazaz wako na utabarikiwa.Usifate ushauri wa humu jf sabab wanaokushauri uoe ni wanawake wa kutoka huko.Lakin hawafai kama wazaz wako walivyokushauri.
Hivi hao wazazi wangeambiwa kijana wao anatala kumuoa binti wa Mzee Mengi wangekataa? na Mengi ni mmachame, au binti wa Dr Charles Kimei je wangemkataa.
Ni mindset problems tu. Tuingilie maamuzi ya watoto pale tu palipo na sababu za msingi tena za wazi.
Mfano mwanao anataka kuowa hawa Bongo movie au Shilole hapo una haki ya kuingilia kati kumnusuru na kifo cha mapema mwanao.