Wazazi hawataki nioe Mchaga

Wazazi hawataki nioe Mchaga

Status
Not open for further replies.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26. Nipo ktk mahusiano ya kimapenzi na binti wa kichaga kwa zaidi ya mwaka 1, bint ni mrefu kidogo kwangu na ni mwembamba afu maji ya kunde, ni mkristo na mpenda Mungu. Huyu bint nampenda sana nae ananipenda na kunijar, amekuwa mshauri wangu. Lakini jambo linalotesa akili yangu ni kwamba familia yetu hawawapendi kabisa wachaga kwa madai kwamba wachaga wanapenda sana kuwashika maskio wanaume (kuwatawala) , pia wachaga wanatabia ya kutaka mume ajenge na kupeleka pexa uchagan na sio kwa mama ake mzazi. Mpaka sasa nipo njia panda, mtoto namuelewa sana nae ananielewa sana lakn mtihan upo kwenye familia yangu. Mnisaidie wadau, nifanye nini ktk hili suala?
Nimeshindwa kukuelewa mkuu. Tukusaidie kwa kuwashauri wazazi wako wamkubali huyo mchumba mchaga? Au tukushauri upingane na maamuzi ya wazazi wako?

JE USHAHIDI UNAO?
 
wazazi hwa ni shida tupu ....
mm nliambiwa nisioe mchaga; mrangi na mmbulu/mwi Iraq ila cha ajabu wote nilio wahi kuwa nao kwenye mahusiano ni wairaq na warangi cjui nifanyaje sasa
Wazazi wako wanakupenda mkuu. Mmbulu, mwilaq na mlangi hawavai chupi hoa wamama. Ni balaaa. Wanagawa tunda la kati kama hawana akili nzuri.
HAWATOSHEKI HAO WATO. NA USHAHIDI NINAO
 
Wachaga wazuri bana daaaah! wameru wana dharau za kijinga sana huwa nahisi km hawakustahili kuwa watazania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom