[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mameru ndivyo yalivyogo oa mnyaturu sasa
wazazi si Watu wa kupuuza, Mie walinikataza kucheza Mpira wakati nina kipaji cha mpira, hivi juzi naenda kupima Tumaini Hosp naambiwa nina tatizo la Moyo pia figo yangu moja haifanyi Kazi vizuri, dah nilishangaa sana! Dkt. Akinisisitizia pia nisicheze mpira!Waheshimu baba yako na mama yako ili upate miaka mingi ya kuishi....Katika Mithali zake mfalme Suleimani kuna shm anasema mwanangu sikiliza wosia wangu....achana na hao wachaga na pia jaribu sana kusikiliza wosia wa wazazi wako, mara nyingi wazazi uwa hawakosei. Mi nilikatazwa kuoa mchaga nikajifanya kichwa ngumu, huo u-boy friend na U-girl friend tu ulitaka kunitoa roho....sa izi nimetulia na mke wangu toka kanda ya ziwa...yaani nusu mtu, nusu malaika...asante Mungu kwa kunipa mwanamke huyu.
So mkuu unaniaminisha kuwa mchaga ndio kakuletea matatizo ya moyo na figo kufail???.....just being curious is not an offence.Hata mimi nakuambia Wachaga ni Watu wa kuogopa sana wana tabia za kuogofya sana! Achana nao!
Umesoma lakini hukuelewa! Ninachomaanisha Wazazi sio wa kupuuza!So mkuu unaniaminisha kuwa mchaga ndio kakuletea matatizo ya moyo na figo kufail???.....just being curious is not an offence.
hivi viongozi wetu waliooa wachaga mbona naona kama wamefanikiwa kuliko waliooa hao wengineo nje ya uchagani.
na declare interest kuwa am the chagga but sijaoa mchaga kwakua siamini katika ukabila bali mapenzi ya dhati.
Usioe kabila oa mke , mke sio nguo unayoenda kununua dukan na ikiwa kubwa au ndogo utairudisha .mke ni agano la kuishi pamoja mke na mume mpaka mwisho wa maisha yenuHabari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?
Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Ha ha haaa hangi chene akucha wangu geteshimba ya buyenze ng'welekezagi chiza gete, amakima ga machame malogi sana agubulagiwa mapema duhu.
Mkuu afadhali akaoe wasandawe hawana maneno sio pasua kichwaAsiyewajua na mwache ajaribu ..tafuta kabila lingine hata kama watakuwa na matatizo lakini asije jiingiza kwenye matatizo ..ukiwabishia wazazi jiandae kujibeba
Mange Kimambi mtu wa TaboraHata mimi nakuambia Wachaga ni Watu wa kuogopa sana wana tabia za kuogofya sana! Achana nao!
Mange Kimambi ooh! sorry!
Mkuu hao wanawezana wao kwa wao, namuomba sana asijaribu maana bado tunampenda sana member wetu jfKabisa mkuu tunaweza ficha hili kwa kusema cjui inategemea na mtu ila ukweli ndo huo japo ni mchungu ila tuukubali hawa jamaa ni hatari ata uwe na rafiki wa huko bado si mtu kwako useme he is just like my blood relative Kwa kifupi ni watu wanaongalia una nini kikiondoka nae kwaheri kutafuta sio kesi ila kwann usiwe mvumilivu na utake mteremko sambaba na hayo wana tuhuma za kuua waume zao na kubaki lonely wa spend life ....Hatuwachomei wasiolewe kama wanaoane waone wao kwa wao