Wazazi hawataki nioe Mchaga

Wazazi hawataki nioe Mchaga

Status
Not open for further replies.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26. Nipo ktk mahusiano ya kimapenzi na binti wa kichaga kwa zaidi ya mwaka 1, bint ni mrefu kidogo kwangu na ni mwembamba afu maji ya kunde, ni mkristo na mpenda Mungu. Huyu bint nampenda sana nae ananipenda na kunijar, amekuwa mshauri wangu. Lakini jambo linalotesa akili yangu ni kwamba familia yetu hawawapendi kabisa wachaga kwa madai kwamba wachaga wanapenda sana kuwashika maskio wanaume (kuwatawala) , pia wachaga wanatabia ya kutaka mume ajenge na kupeleka pexa uchagan na sio kwa mama ake mzazi. Mpaka sasa nipo njia panda, mtoto namuelewa sana nae ananielewa sana lakn mtihan upo kwenye familia yangu. Mnisaidie wadau, nifanye nini ktk hili suala?
Mkuu tupo wengi mm pia nimuhanga wa hili swala
 
Hili la kutooa mwanamke wa kichaga hata mimi nilikatazwa tangu nikiwa sekondari kabisa.
Tena orodha yangu ni ndefu kidogo, nilikatazwa kuoa mchaga,mjaluo, wahaya, kuna kabila lingine nimelisahau.
Hoja yao kubwa wazazi ilikua kwamba wachaga ni watu wa kuangalia pesa na maslahi ya kwao hivyo anaweza hata kukuaa ukipata mafanikio, wajaluo ni kwamba wao wanapenda ukabila na kujiona bora, wahaya niliambiwa wanajiona bora sana na wanapenda ukabila wanaweza kumtenga hata ndugu yako wa damu.
Niliambiwa nikioa msukuma ndo nimepata ila sasa maisha yanabadilika kweli kweli nilijikuta nimeoa nje ya wasukuma lakini pia sijaoa makabila niliyokatazwa na wazee
Taja kabila lako na wewe maana umejitukuza sana
 
Habari,

Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.

Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?

Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Oa wote aisee
 
Habari,

Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.

Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?

Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Just marry whom you like aisee!
 
So mkuu unaniaminisha kuwa mchaga ndio kakuletea matatizo ya moyo na figo kufail???.....just being curious is not an offence.
hivi viongozi wetu waliooa wachaga mbona naona kama wamefanikiwa kuliko waliooa hao wengineo nje ya uchagani.
na declare interest kuwa am the chagga but sijaoa mchaga kwakua siamini katika ukabila bali mapenzi ya dhati.
Fuatilia hao viongozi waliooa wachaga walikuwa maskini kabla hawajaoana?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom