Wazazi hawataki nioe Mchaga

Wazazi hawataki nioe Mchaga

Status
Not open for further replies.
Habari,

Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.

Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?

Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Dah kumbe haya mambo tunakutana nayo wengi .. pole sana m mpaka now niko dillema
 
Ume date haujaoa kumbe? In my life nime date ladies wa kichagga Zaid ya 30. They are very humble and good people. Wakipenda wanapenda kweli. Tatizo ukishao sasa, sijui huwa wanabadilika kama wanasiasa.... Kuna ka spirit ka UKUMA ( Umoja wa Kuvuna Mali) kichwan kwa dadaz wa kichagga.
hako ka spirit hata humu jf wameanza kukaeneza,wanawahamasisha wadada wengne kuwa kama wao
 
Lazima ujitetee maana ni kabila lako ila ndo mjue hakuna kabila iko tayali kijana wao aoe mchaga

Naomba niweke sawa kidogo

Wachagga sio kabila, Wachagga ni Taifa. Simaanishi nchi namaanisha namaanisha Taifa
It's not a tribe, it's a nation

Wana bendera ya Taifa lao, Wana nembo ya Taifa lao, Kuna siku ya Wachagga duniani Oct 26 na walikuwa na Rais wao kabla ya figisu figisu za 1960's

Wana tamaduni nyingi ambazo ni za kipekee na wanazienzi vizuri na kurithisha vizazi vyao, Tafadhali hili ni Taifa si kabila

Naomba unapoli-address ulipe hishema inayolistahili, badala ya kusema hili kabila unapaswa kusema hili Taifa

Yangu ni hayo tu,

Ahsanteni
 
Habari,

Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.

Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?

Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Basi kama hawataki uoe mchanga! Waambie na kuoa kwenyewe umeghaili. Uone watasemaje
 
mnasema sana ila kila siku kanisani ndoa zikitangazwa ndo hao hao
 
From Experience:

Hakuna Washkaji wa ukweli (Wanaume) kama Wachagga

Hakuna Wanawake wakorofi, wasioshaurika na wababe kama wanawake wa kichagga, mostly Machame & Kibosho.

Wakorofi Sana Hawa watu.... Honestly sijui waliumbwaje. Ni watu Ambao wapo self centered Sana.
 
Maisha yakikushinda achana nayo fanya vitu vingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom