mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
mpaka naogopa
lakini yote tisa kuna mamaa wa kichaga mumewe kafa kwa pikipiki lkn hata kuliaa hakuna mmachame huyo hafai
Cha msingi waeleweshe kwenu kwamba dunia ya sasa sio kama ya zamani..hayo ni mambo ya kale saivi baada ya kupata pesa mnajenga kwenu Na sio ukwen...Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26. Nipo ktk mahusiano ya kimapenzi na binti wa kichaga kwa zaidi ya mwaka 1, bint ni mrefu kidogo kwangu na ni mwembamba afu maji ya kunde, ni mkristo na mpenda Mungu. Huyu bint nampenda sana nae ananipenda na kunijar, amekuwa mshauri wangu. Lakini jambo linalotesa akili yangu ni kwamba familia yetu hawawapendi kabisa wachaga kwa madai kwamba wachaga wanapenda sana kuwashika maskio wanaume (kuwatawala) , pia wachaga wanatabia ya kutaka mume ajenge na kupeleka pexa uchagan na sio kwa mama ake mzazi. Mpaka sasa nipo njia panda, mtoto namuelewa sana nae ananielewa sana lakn mtihan upo kwenye familia yangu. Mnisaidie wadau, nifanye nini ktk hili suala?
Mi mwenyewe mchaga sasa mwaniumiza yakheeee Na mbona hatuna izo tabiaaa?Ivi wachagga wanatatizo gani?
Mbona threads za wanaokataliwa humu wengi ni wachagga?
Mi niko na mwanaume mchaga!!! Mnanitisha

Eee lazma mwanaume uwe mpiganaji haswaaaaa hatupendagi ujinga sisi...... weitaaaaa lete bia tano kwa huyu dadaMambo unayoongelea ni ya kufikirika tu hayana uhalisia, eti kujenga ukweni kwani kila mwanamke wa kichagga kwao hakuna nyumba? Kumpa hela mkwe wako ni mpaka awe mchagga kwani mkwe wa makabila mengine huwa hawapati matatizo? Wanawake wakichaga wana changamoto lazima uwe mpiganani, hatupendagi ujinga😛😛

Fact....hiyo ni tabia ya MTU......kabila lipo tyuuuuMi mwenyewe mchaga sasa mwaniumiza yakheeee Na mbona hatuna izo tabiaaa?![]()