Dixon Divox
Member
- Aug 22, 2013
- 61
- 36
Ni pm
Tatizo lenu maneno mengiItakuwa ulipata mchaga wa mwaka 47..... Hujapata new model......hahaha utajutraaaa
Naja but sitarajii tofauti sanaaaKuja kwangu
Daaaah jaman mm nina mmchame nampendaa ilaaa kilaa mtu akiskiaa kuhusu mmachame ananiambia mdogo wangu utakujaa kufa mapema..wadau naombeni ushaur nina wakat mgumu mnoo
Akili za kuambiwa changanya na zako, mimi pia niko na mmachame wangu bila wasiwasi wowote..Daaaaah nimepitaa na comment kibao ukweli kama sio tunafuata mkumbo basi lisemwalo lipo na kama halipo basi laja..yaan haiwezekani robo tatu ya comment ziseme wachaga hawafai,but ki ukweli nashkuru wadau ninejifunza kitu nina mrembo mmachame nimenote kitu.
Asee kuna jamaa kwetu ali uwawa bhana na mkewe wachaga ni shdaMm mwenyewe nilikuwa na mdete mwanaume wa kisukuma, cku moja nimeenda kuonana na mamake akawaanawaponda wachaga vibaya bila kujua mm ni mchaga nilijiskia vibaya bt nika pretend normal, nikawa namuuliza maswal kijanja juu ya wachaga bado anaponda anasema ukioa mchaga au kufanya biashara na mchaga lazma akuuwe, so anqmtaadharisha mwanae acje oa mchaga, nilivyosepa nikamwambia boyfriend wangu tukaacha, cz anampenda sanaa mamake and baba yao alishafariki so yy ndo first born na hapend kumkera mamake
HaaaaaDaaaaah nimepitaa na comment kibao ukweli kama sio tunafuata mkumbo basi lisemwalo lipo na kama halipo basi laja..yaan haiwezekani robo tatu ya comment ziseme wachaga hawafai,but ki ukweli nashkuru wadau ninejifunza kitu nina mrembo mmachame nimenote kitu.
Embu fuatilia bana sio wachaga wote wana tabia ya kuua waume zao. Wenye tabia hizo wanajulikana wanatoka upande ganiAsee kuna jamaa kwetu ali uwawa bhana na mkewe wachaga ni shda
Sema mama ake alikuwa ana kutahadhrisha tuu
[emoji1]
Lazima ujitetee maana ni kabila lako ila ndo mjue hakuna kabila iko tayali kijana wao aoe mchagaPole sana kaka, mwanamke wa kabila lolote anafaa kuwa mke na kila mtu ana tabia yake. Unaweza ukaoa huyo mmeru wanaomtaka wao na ukajuta! Mim n mchaga n am proud to be chagga girl(superb
Bora uoe mchaga yoyote yule unaweza vumilia mapungufu yake ila mmachame looooh hao wanaitwa chinjachinja hata wachaga wenzao wanawaogopa wanaua wanaume balaaDaaaah jaman mm nina mmchame nampendaa ilaaa kilaa mtu akiskiaa kuhusu mmachame ananiambia mdogo wangu utakujaa kufa mapema..wadau naombeni ushaur nina wakat mgumu mnoo
Bora udate na mchaga wa aina yoyote na si mmachame wewe utakufa uache ndg wanakulilia na mali anasepa nazo na watoto wazaz wako hawatawaon kamweDaaaaah nimepitaa na comment kibao ukweli kama sio tunafuata mkumbo basi lisemwalo lipo na kama halipo basi laja..yaan haiwezekani robo tatu ya comment ziseme wachaga hawafai,but ki ukweli nashkuru wadau ninejifunza kitu nina mrembo mmachame nimenote kitu.
Tulia kijana maana siku atakayokuua hutaijua na hizo mali ndg zako watazisikilizia uchagan na watoto hawatawaona kamweBinafsi mama yangu alikuwa kipingamizi sana nisioe mchaga ila nlisimamia maamuzi yangu na mpaka leo nipo na mchaga wangu mwaka wa kumi sasa. huyu huyu mchaga ambae mama alikuwa hamtaki kwa maneno ya kuambiwa leo hii ndiyo kila kitu kwake tena ilifikia mahali mama alimuomba msamaha binti wa watu. tabia ya mtu ni mtu mwenyewe havina uhusiano na kabila lake
Wazee wako wanakuonea huruma kutokana na kale katabia ka hao ndugu zetu, mtatafuta pamoja mkipata wanakutoa mhanga wabaki wao wakila bata huku wewe ukiliwa na funza.Habari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?
Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?