Wachagga wapo very strategic, tatizo sio dadaz bali pressure wanayoipata kutoka kwa family members.... Tabia mbaya ni hulka ya mtu... Lakin aliyewafunda Akina Mangi kupenda pesa na Akawapa weupe ameleta sheedah jijini. Kuna ndugu zao wakikuyu Kenya... Hawa walitoka sehemu moja teh teh.... Lakin ukitaka kujua wachagga sio wajinga, angalia wanaume wanaowaoa wachagga utajua these guys are very strategic. Unaangalia after ten years utakuwa wapi. Mchagga anaangalia 30 yrs mtakuwa na nini na yeye atakuwa na nini? . Pale akikuliza you are completely finished... Yani umetafunwa na hawakii kukuambia watoto ni wa Dr Temu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakosa watoto, na historia ndio imekuwa imeisha hapo. Ukitaka mfano hai kabisa wa current incident ya Hawa watu nitafute ni pm nkupeleke kwa Kaka angu tumbo moja. Senior officer kwenye reputable organisation nchini, very smart Man hapa hapa dar akupe full picture njisi walivyo mfusalo..... Weka Mbali kabisa na wanaume sweet mangi hawa. Usipokuwa gaidi utajinyonga.