A
Anonymous
Guest
1. Tunafanya kazi masaa ya ziada kama tunavyopangiwa ila cha ajabu tunakatwa malipo ya stahiki zetu. Mfano: Kama umefanya masaa ya ziada kwa siku sita unalipwa mbili tu. Hizi nne hazilipwi na hazitolewi maelezo.
2. Tunaomba Wizara ya Afya na mwajiri wetu Katibu Mkuu Kiongozi itupe muogozo na maelezo juu ya haya makato %10 (km nilivyoambatanisha) na kwanini isiangalie nje zaidi wenzetu wanafanyaje kuongeza mapato bila kukata stahiki za watumishi?
2. Tunaomba Wizara ya Afya na mwajiri wetu Katibu Mkuu Kiongozi itupe muogozo na maelezo juu ya haya makato %10 (km nilivyoambatanisha) na kwanini isiangalie nje zaidi wenzetu wanafanyaje kuongeza mapato bila kukata stahiki za watumishi?