Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,475
Reaction score
3,538
Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
 
Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Inawezekana,sasa usije ukautumia huo uzuri kwenda upande mwingine,piga gym,vaa kiume,ishi kiume utafurahia sana maisha yako,maana navyowajua mimi vijana wa bongo sasa hivi utaanza kuvaa sketi...
 
Back
Top Bottom