Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,455
- 36,065
Unampa pole kwani huo ni Ugonjwa au kilema ?Pole mwaya.
Unampa pole kwani huo ni Ugonjwa au kilema ?Pole mwaya.
Amenyanyaswa kihisia.Unampa pole kwani huo ni Ugonjwa au kilema ?
Labda mleta uzi ndie kaka yako, kaona unachelewa kuleta uzi wa kumsifia kaona ajipe maua yeye mwenyewe.Hii hata mimi inanikuta
Shule walikua wanasema kaka yangu ni mzuri na ana mwandiko mzuri kunizidi.
Watu wanasema ingetakiwa mimi niwe mwanaume, kaka yangu awe mwanamke.
Kapicha.Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.
Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Du! Kwa video gani na wapi hao?Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.
Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
MmmmhYani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.
Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Hadi sasa wanasema hivyo au wameacha?Hii hata mimi inanikuta
Shule walikua wanasema kaka yangu ni mzuri na ana mwandiko mzuri kunizidi.
Watu wanasema ingetakiwa mimi niwe mwanaume, kaka yangu awe mwanamke.
WanasemaHadi sasa wanasema hivyo au wameacha?
Wewe na kaka mnajisikiajeWanasema