Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Inasikitisha Sana.

//KATAA KUWA PAPAI.
 
Inawezekana,sasa usije ukautumia huo uzuri kwenda upande mwingine,piga gym,vaa kiume,ishi kiume utafurahia sana maisha yako,maana navyowajua mimi vijana wa bongo sasa hivi utaanza kuvaa sketi...
Gym khaaaaaa tuishie hapo basi aende na jogging sana asisahau na naaaaaaa
 
Kwamba sura nika kama ya baba yako halafu beautiful.
Hii kesi simo. Msinihusishe
 
Back
Top Bottom