Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Alimhofia dada kuambiwa hivyo je alihofu wewe kujiona au kuonekana mrembo kuliko dada?
 
Njoo basi PM nami nishuhudie usemacho.
Kizuri hupendwa na wengi.
 
Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Nenda kwenye point ,,upo mkoa gan na mtu akikutaka uje mkoa aliopo utafanya kias gan?
 
Haiingii akilini hiki kizazi cha Raisi Mwana Mama na Vijana wenye jinsia za Kichoko.
~Adam Shule Kongwe.
 
Back
Top Bottom