Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Watu wanasema nimemzidi dada angu kwa uzuri

Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Unatako?
 
Sijaelewa unatafuta Bwana au ndio unajisikia raha kuitwa mzuri kuliko dada yako toto la kiume ohooo.
 
Yani dada kafanana sana na baba af mi nimeenda kwa baba. Bas watu wanasema nimemzidi dada kwa uzuri.

Ila pia dada ni mrembo sana, so beautiful. Mama alikua hapendi watu wakisema hivyo. Mwanzo alikua na hofu ila sasa wasiwasi umeisha.
Acha tabia za kishoga
 
Back
Top Bottom