Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,309
Dar es salaaam sehemu yenye watoto wazuri ambao 90% ni made in TZ ni Mlimani City
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio lugha gani hii sasa? Utakua huendi Mlimani City, shauri yako!



sidai tukuluHahahaaaa umenifurahisha mkuuMlimani city huwa naenda kupigwa na ka upepo baada ya jasho la kutembea kwa mguu kutoka mwenge nikiwa naenda ubungo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa Dar ni kawaida yao na hasa wakijua kuna mtu wa mkoani jirani yao anasikiliza
Ili kuwakomeza nawe ongea tena ukikutana nao wape hiKinachonishangaza na wanawake asilimia kubws kuongea kingereza..!
Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe mwenyewe hapa hujishangai kwa nini unajiita ‘Half Genius’?
Simu yake ndiyo kaiset hivyoUnaandikaje? Kila neno linaanza na herufi kubwa?





safi kabisa
Mi nikiwa Mlimani City hamu ya kuongea Kiswahili inaniisha kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa Dar ni kawaida yao na hasa wakijua kuna mtu wa mkoani jirani yao anasikiliza
Sahizi ni chopies nakumat walikufa kifo cha mendeHivi nakumat walirudi?
Nina miaka sijafika mlimani
Sasa wewe unataka kama nimkata nyasi za ng'ombe afike na toroli lake au wewe unatakaje? Embu nipe ufafanuzi mtu unajitembelea unaanzaje kumjua mtu maisha yake yapo vipi.Sijasema umuoneshe kila mtu; ishi kwa uhalisia.
Majuzi kuna binti alipewa namba yangu akawa ana shida. Aliyemuekeza huwa tunakutana ofisini; binti nikamuelekeza aje nyumbani kwa kuwa sikuwa na mpango wa kutoka (Jumamosi - huwa nashinda kwenye banda la kuku kufanya usafi)
Binti alipokuja nikampa kiti hapo nje akaeleza changamoto zake nikamweleza tuonane ofisini J.tatu.
Ile anakuja J.tatu anakuta pale mbele kuna PS - kuingia ofisini kwangu - alinishangaa! Ananiuliza hivi kumbe we ni mtu mkubwa alafu ukiwa nyumbani unakuwa kama mchunga mfugo?
Nilimweleza hivi .. hizo pesa za kuwalipa vijana wa kufanya usafi ndo natumia jioni baada ya kutoka kwenye mabanda ya kuku.
Huko ndo kuishi maisha halisi - sio mtu unajifanya mfanyabiashara kumbe hata kibanda huna.
kwani umesaidia wangapi, au kama mtu anamaisha magumu amwambie kila mtu ana maisha magumu mie watu wengine hata siwaelewagi kabisa, na huyo binti ni baada ya kupewa ashe nalesidai tukulu
Hahah,Itakua amepiga nduru ya kiaina bablai.Ndio lugha gani hii sasa? Utakua huendi Mlimani City, shauri yako!
Nimemnyaka bablaiHahah,Itakua amepiga nduru ya kiaina bablai.
Haina noma arifu.Nimemnyaka bablai
Duuh....! Kwa kweli hiyo ndio dar. Ukikutana nae,unaweza kudhani hapo kuna bonge la mtu amekuja shoping ya kutosha,kumbe amekuja kucheck namna gani ya kupiga mizingaNa sister wa town utamkuta amebeba handbaggucci amevaa kiatu Lois Vuitton. Hapo vyote ameazima. Ni saa tisa mchana na hajapata kifungua kinywa.
Tena nataka kukuambia raha sana kuishi kiuhalisia,unakuwa huna cha kuandika andika ili ukumbuke wapi ulidanganya nini,wapi ulipiga fix hivi. Ishi kiuhalisi utaona raha ya duniani. Kuishi kwa kufake life matesoMaisha ya kuigiza ni mzigo sana wakati mwingne ,kuna mdau mmoja wa hapa JF simkumbuki jina aliwahi andika "appearance of weakness is a greatest advantages " nilijifunza kitu
Mda mwingne kwenye ni bora kuonekana tu masikini usaidike kuliko kujifaragua na hamna kitu
Katika hao 'kila mtu' wa JF niondoe mimi tafadhali!!Maisha ya mlimani city ni kama ya jf,kila mtu kasoma,kila mtu Ana gari,kila mtu ana biashara kubwa,na kila mtu kakaa nje ya nchi.
Kwa Dar ya sasa nadiliki kusema kuwa kuishi Dar ni sawa na kuishia form two ya kata.ndo maana unaambiwa kuishi dar tu tayari ni elimu ya form four!
hadi kuingia mlimani city kununua bidhaa mule lazima uwe unaconfidence kwanza ya juu!
watu wanapanda magari temeke wanenda nunua ICE CREAM mlimani city!
mlimani city kama ulikuwa hujui chumba kidogo kabisa cha biashara kwa mwezi Mil 14!