Watu ndani ya Mlimani city Mall

Watu ndani ya Mlimani city Mall

Hiyo kawaida katika Mall kubwa katika nchi zetu. ..mana nimeish kidogo Zambia Lusaka wale wana shopping mall kubwa muda mrefu kidogo Lakin utakuta watu wanaoingia mule wote wana mashauzi sikuwah kuona mimi ANGUMBWILE WA TUKUYU huko. .mana narud bongo naambiwa kuna mall pale mlimani chuoni ile kufika tu nakutana na yale yale niliyoyaacha kwa WANYANJA bac nikachukulia ndo staili yake kumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlimani city na coco beach ni china ya watu wa mkoa.Wakifika Dar ukiwauliza tukatembee wapi?utasikia mlimani city au coco beach.
 
Ndiyo tatizo letu. Tumechelewa vitu vingi sana.
Ndiyo sababu ufunguzi wa Flyover inakuwa tukio kubwa la kitaifa. Hao wenye zaidi ya 50 watafanya nini?
Kupokea ndege moja au mbili ni tukio la kitaifa. Ethiopia wenye ndege zaidi ya 70 watafanya nini?

Vitu kama Mlimani City, vingekuwa kila pembe ya Dar, huo ushamba usingekuwepo.

Kusaini mkataba wa kuuziana mahindi nalo tukio la kitaifa.

Sad. Sikutarajia kuna siku nitakuja kutokea Watanzania wakionyesha “inferiority complex” kubwa kiasi hiki mbele ya dhana ya hali na mali kama ilivyo nyakati hizi tena serikali ndio ikiwa mstari wa mbele. Ni wakati sasa tuongeze “ushamba” kama adui mwingine wa taifa anayetakiwa kudhibitiwa mapema.
 
Sad. Sikutarajia kuna siku nitakuja kutokea Watanzania wakionyesha “inferiority complex” kubwa kiasi hiki mbele ya dhana ya hali na mali kama ilivyo nyakati hizi tena serikali ndio ikiwa mstari wa mbele. Ni wakati sasa tuongeze “ushamba” kama adui mwingine wa taifa anayetakiwa kudhibitiwa mapema.


Inakera sana Mkuu, kale ka wimbo kalinifanya niumie sana ,,

Dah yaan kutia sain mkataba wa kuuza mahindi nalo ni tukio la kitaifa
 
Mi hata sipajui hivyo sina majibu kwakweli.
 
Sio swali la chekechea,wewe umefika Ila wenzio unaona hawajafika...
Hivi kwa akili ya kawaida unafikiri ni asilimia ngapi ya wabongo wamekanyaga majuu, tuseme ni chini ya asilimia moja, maana yake ukikutana na watu 100 chini ya mtu mmoja ndo anaweza akawa ameshawahi kukanyaga europe, siyo rahisi kihivyo. Labda mkuu hujafika ndo maana imekuuma, teh..
 
Sawa sawa mwisho nimemaliza kusoma. Hoja za msingi kutoka kwa wachangiaji.

1. Inaonekana shopping malls sio nyingi ni chache zinafuatwa mbali saana.

2. Pia hawa wqchangiaji wakienda shopping mall wanapania..kuna mdau mmoja amesema yeye huwa anapendeza anaenda kutoa nuksi.

3. Pia wadau wengi wanaolalamikia suala la wateja kuzungumza kiingereza. Hii inaashiria wachangiaji wanafikra fulani za kuwagawanya watu kwa lugha.

4. Ila pia inaonekana wateja wa hayo maeneo kimaisha wanajiweza ndiyo maana wanaongelea safari za nje ya nchi. Hili japo wachangiaji wamelikimbia wameshindwa kueleza ni kwa vipi kusafiri nje kuna uhusiano na ubora wa maisha ya mtu.

5. Mwisho kabisa inaonekana wachangiaji hawataki kuwa wawazi. Wanaficha misimamo yao juu ya mada letwa.
 
Teh..mimi nimeishi europe miaka 5, huwa nawachora tu wanavyojifaragua na huo ung'eng'e wao wa kubana pua na kujidai lifestyle ya kitasha, ukute wengi hawajawahi hata kukanyaga majuu. Huwa najidai kana kwamba ni mtu wa mkoa tu wao ndo wajanja, ha,ha,ha...
Unajifaragua!
 
Hivi kwa akili ya kawaida unafikiri ni asilimia ngapi ya wabongo wamekanyaga majuu, tuseme ni chini ya asilimia moja, maana yake ukikutana na watu 100 chini ya mtu mmoja ndo anaweza akawa ameshawahi kukanyaga europe, siyo rahisi kihivyo. Labda mkuu hujafika ndo maana imekuuma, teh..
Ha ha ha nilijua utasema hivyo kwasababu kwako ni big deal. Let me tell this. Nimesoma,nimeishi Europe zaidi ya miaka kumi sasa hivi niko Bongo nakwenda huko anytime I want to. Kwahio usiangalie watu usiowajua ukiwakuta Tz ukafikiri eti hawa hawajafika Europe sijui takataka gani.
 
Back
Top Bottom