Na sister wa town utamkuta amebeba handbag 👜 gucci amevaa kiatu Lois Vuitton. Hapo vyote ameazima. Ni saa tisa mchana na hajapata kifungua kinywa.
Hata mimi nafika mara moja moja sijasikia hiyo kitu nikiwa napishana na watu. Au naoita sehemu zisizo rasmi??
Aisee ni kweli, ila saiv imebadilika sio kama ya miaka ile ya 2006 kipindi inaanzaMaisha ya mlimani city ni kama ya jf,kila mtu kasoma,kila mtu Ana gari,kila mtu ana biashara kubwa,na kila mtu kakaa nje ya nchi.
Pale mlimani city sikuhizi naenda kummendea mtoto wa kijapan huwa yupo anazubaa zubaa pale ana master ya kiswahili ameaply kufundisha udsm anasikilizia majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Usafi huficha umasikini sasa kama kapuku ndiyo umuonyeshe kila mtu?Tatizo la watu wa dar hawaishi maisha ya kiuhalisia. Unamkuta mtu mchana kapendeza kweli kweli kumbe usiku anajibanza kwenye kona na walinzi alafu analalia mabox. Shuka la masai anatembea nalo kwenye kibegi kidogo. Nguo zingine ziko kwa dobi. Maisha gani hayo???
Ujinga tu wa ubishoo.Kuna jambo nimekuwa nikiliobserve kila nikiwa nafanya manunuzi yangu pale Mlimani City..Idadi kubwa ya watu ninaopishana nao wengi utawasikia wakiongea kuhusu kuishi nje ya nchi,kuhusu kuondoka nchini siku sio nyingi,kuhusu kwenda China,India kufunga mzigo wa biashara na mengine mengi..
Najua inaweza kuwa kitu cha kawaida..na always tunashauriwa kumind our own bussiness lakini kwa hili limenifikirisha kidogo..
Hivi wakuu watu wengi wanaokuwa Mlimani City ni kwamba wana class au aina hiyo ya maisha au inakuwaje??..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu wana pH za umbeya wewe umeenda na mambo yako eti ufike kusikiliza watu wanaongea nini hata mie nimemshangaa sana huyoWatu wa mkoani shida mno ndio maana umasikini unazidi huko kwenu. Kwani mtu aki pretend maisha mengine wewe inakuuma nini au inakuzuia nini kwenye harakati zako za kutafuta hela? Mwache aigize maisha ambayo sio yake wewe ishi yako ambayo ni halisi ili ufanikiwe zaidi. Mimi muda wa kuangalia mwenzangu anafanya nini ni kwa nadra sana tena nikiwa na muda na ni kwa kujifunza tuu sio kukasirika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sister wa town utamkuta amebeba handbaggucci amevaa kiatu Lois Vuitton. Hapo vyote ameazima. Ni saa tisa mchana na hajapata kifungua kinywa.
mkanyage bahati mbaya uone sasa
Mlimani city huwa naenda kupigwa na ka upepo baada ya jasho la kutembea kwa mguu kutoka mwenge nikiwa naenda ubungo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hakuna moment mbaya kama pale unapotoka mlimani city kuja kukutana na joto nje pale.
Kumbe wote mmetoka shamba....af kila mmoja anaamini mwenzake katoka majuu....mwisho kila mmoja anaanza kuvunga...yaan majengo haya yanatesa watu sana...umenchekesha mkuuNi Kweli! Ingawa Kasumba Iliyopo Bongo Kwa Watu Wa Hali Zote Ni Kudhani Kuwa Kila Mtu Anayeenda Sehemu Kama Mlimani City Ni Wa Class Ya Juu Sana Jambo Ambalo Hupelekea Na Wao Kwenda Huko Ili Wajihisi Nao Ni Wa High Class. Na Wapo Wanao Amini Kuwa Hata Bidhaa Za Hapo Ni Bora Zaidi Kuliko Mahala Popote Mjini.




Sasa hakuna moment mbaya kama pale unapotoka mlimani city kuja kukutana na joto nje pale.
Ukiwa unawaza kumalizia safari yako hadi ubungo..
Wenye magari wanafaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah! Kumbe ndiyo maana hata kushangaa kwao ni tofauti kabisa. Utasikia ooo my Gad!
Acheni kutuvunja mbavu aisee 😁😁😁😁😁Na sister wa town utamkuta amebeba handbag 👜 gucci amevaa kiatu Lois Vuitton. Hapo vyote ameazima. Ni saa tisa mchana na hajapata kifungua kinywa.
Mlimani city huwa naenda kupigwa na ka upepo baada ya jasho la kutembea kwa mguu kutoka mwenge nikiwa naenda ubungo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa. Jamaa ni mbea balaa yaani anasikilizaga maongezi ya watu wote wanaotmbelea mlimani city. Angesogea pale pembeni ya samaki samali aagize juice glass moja aletewe bili tsh.12000 ndio angejua mlimani city sio Tandika.Watu wa Dar ni kawaida yao na hasa wakijua kuna mtu wa mkoani jirani yao anasikiliza