Watu ndani ya Mlimani city Mall

Watu ndani ya Mlimani city Mall

ndo maana unaambiwa kuishi dar tu tayari ni elimu ya form four!

hadi kuingia mlimani city kununua bidhaa mule lazima uwe unaconfidence kwanza ya juu!

watu wanapanda magari temeke wanenda nunua ICE CREAM mlimani city!

mlimani city kama ulikuwa hujui chumba kidogo kabisa cha biashara kwa mwezi Mil 14!
Mil 14

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka zangu wa mtaa, Yaan siku ya kwenda mlimani city wanaamshana 12 asubuhi. Hapo wamejichangisha Mwenz mzima na kila mtu Ana shati jipya.

Niliwahi enda na aunty first time nlikua o level yoow ikabidi nijitazame vizuri maana nahisi mi ndo sikupendeza. Mlimani city na posta confidence imekuja miaka hii tu, watu wanatupiaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Kweli! Ingawa Kasumba Iliyopo Bongo Kwa Watu Wa Hali Zote Ni Kudhani Kuwa Kila Mtu Anayeenda Sehemu Kama Mlimani City Ni Wa Class Ya Juu Sana Jambo Ambalo Hupelekea Na Wao Kwenda Huko Ili Wajihisi Nao Ni Wa High Class. Na Wapo Wanao Amini Kuwa Hata Bidhaa Za Hapo Ni Bora Zaidi Kuliko Mahala Popote Mjini.
Unaandikaje? Kila neno linaanza na herufi kubwa?
 
Ndiyo tatizo letu. Tumechelewa vitu vingi sana.
Ndiyo sababu ufunguzi wa Flyover inakuwa tukio kubwa la kitaifa. Hao wenye zaidi ya 50 watafanya nini?
Kupokea ndege moja au mbili ni tukio la kitaifa. Ethiopia wenye ndege zaidi ya 70 watafanya nini?

Vitu kama Mlimani City, vingekuwa kila pembe ya Dar, huo ushamba usingekuwepo.

Kusaini mkataba wa kuuziana mahindi nalo tukio la kitaifa.
Mkuu kutafuta kura inahitaji akili
sio kwenye kampeni tu...
ikifika mda wa kampeni unakua
umeshaji imarisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom