Yes! acha kabisa kuishi nje level nyingine kabisa, asikwambie mtu, hasa ukipatia nchi, nakwambia hutarudi mzima, hata kwenda kufunga mzigo, lazima utakuwa na mpunga si kitoto, hapo tu tayari ''uko classic!'' huwezi kwenda nje km unaenda k/koo kununua vihepe, Msosi Bomba unagonga tena bei rahisi, ndani ya pipa na unapofikia,
Madalali kibao wa Lugha wanaishi zaidi ya waziri majaliwa, walianzaga ivoivo! hawakurudi mpaka leo!
Customer care ya nje imeenda shule nzuri haina ujanja ujanja km wa Bongo Mara uibiwe, utapeliwe! wakikuamuni unaweza lipia mzigo kidogo kidogo, unavotaka siku ukiwa tayari unaenda beba. wanakutafutia Hotel nzuri wao km Motisha!
nakuuliza utaacha kuzichanga?