Watu ndani ya Mlimani city Mall

Watu ndani ya Mlimani city Mall

Kuna jambo nimekuwa nikiliobserve kila nikiwa nafanya manunuzi yangu pale Mlimani City..Idadi kubwa ya watu ninaopishana nao wengi utawasikia wakiongea kuhusu kuishi nje ya nchi,kuhusu kuondoka nchini siku sio nyingi,kuhusu kwenda China,India kufunga mzigo wa biashara na mengine mengi..

Najua inaweza kuwa kitu cha kawaida..na always tunashauriwa kumind our own bussiness lakini kwa hili limenifikirisha kidogo..

Hivi wakuu watu wengi wanaokuwa Mlimani City ni kwamba wana class au aina hiyo ya maisha au inakuwaje??..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimani city ni shopping mall ya kawaida Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambo nimekuwa nikiliobserve kila nikiwa nafanya manunuzi yangu pale Mlimani City..Idadi kubwa ya watu ninaopishana nao wengi utawasikia wakiongea kuhusu kuishi nje ya nchi,kuhusu kuondoka nchini siku sio nyingi,kuhusu kwenda China,India kufunga mzigo wa biashara na mengine mengi..

Najua inaweza kuwa kitu cha kawaida..na always tunashauriwa kumind our own bussiness lakini kwa hili limenifikirisha kidogo..

Hivi wakuu watu wengi wanaokuwa Mlimani City ni kwamba wana class au aina hiyo ya maisha au inakuwaje??..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wengi wanaigiza sana maisha kwa sababu ni washamba.
 
Miaka ya nyuma 2006 kipind npo A level nimetja zangu mburahati huko chocho nkaenda mliman city
Nkaa restaurant za pale njee nkaagza soda nkalewa fanta ya barid duuu nkatoa 5000 nkarudishiwa 4000 wakat shop kwa mango soda 250
Mpaka leo cjawah kukanyaga tena na sasa npo zangu mkoani

Pumbafuuuu zao!

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa mkoani shida mno ndio maana umasikini unazidi huko kwenu. Kwani mtu aki pretend maisha mengine wewe inakuuma nini au inakuzuia nini kwenye harakati zako za kutafuta hela? Mwache aigize maisha ambayo sio yake wewe ishi yako ambayo ni halisi ili ufanikiwe zaidi. Mimi muda wa kuangalia mwenzangu anafanya nini ni kwa nadra sana tena nikiwa na muda na ni kwa kujifunza tuu sio kukasirika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro sio kwamba inaniuma kivile ... ila nashangaa mtu anavyokuwa bize kuudanganya ubongo wake mchana eti atasafiri kwenda china -- usiku arudi kwenye uhalisia kwenye korodo la dula la mangi.
Hiyo ni nguvu kazi inapotea bure; unataka kuniambia idadi kubwa iliyoko Dar bila kazi wakivamia sehemu wakaanzisha shughuli mbona huo ni mji mwingine tosha?
 
Umefanya uchunguzi gani ukajua ni kweli au sio kweli kuwa wanajifanyisha?
Bro sio kwamba inaniuma kivile ... ila nashangaa mtu anavyokuwa bize kuudanganya ubongo wake mchana eti atasafiri kwenda china -- usiku arudi kwenye uhalisia kwenye korodo la dula la mangi.
Hiyo ni nguvu kazi inapotea bure; unataka kuniambia idadi kubwa iliyoko Dar bila kazi wakivamia sehemu wakaanzisha shughuli mbona huo ni mji mwingine tosha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya nyuma 2006 kipind npo A level nimetja zangu mburahati huko chocho nkaenda mliman city
Nkaa restaurant za pale njee nkaagza soda nkalewa fanta ya barid duuu nkatoa 5000 nkarudishiwa 4000 wakat shop kwa mango soda 250
Mpaka leo cjawah kukanyaga tena na sasa npo zangu mkoani

Pumbafuuuu zao!

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom