Watu ndani ya Mlimani city Mall

Watu ndani ya Mlimani city Mall

Sawa sawa mwisho nimemaliza kusoma. Hoja za msingi kutoka kwa wachangiaji.

1. Inaonekana shopping malls sio nyingi ni chache zinafuatwa mbali saana.

2. Pia hawa wqchangiaji wakienda shopping mall wanapania..kuna mdau mmoja amesema yeye huwa anapendeza anaenda kutoa nuksi.

3. Pia wadau wengi wanaolalamikia suala la wateja kuzungumza kiingereza. Hii inaashiria wachangiaji wanafikra fulani za kuwagawanya watu kwa lugha.

4. Ila pia inaonekana wateja wa hayo maeneo kimaisha wanajiweza ndiyo maana wanaongelea safari za nje ya nchi. Hili japo wachangiaji wamelikimbia wameshindwa kueleza ni kwa vipi kusafiri nje kuna uhusiano na ubora wa maisha ya mtu.

5. Mwisho kabisa inaonekana wachangiaji hawataki kuwa wawazi. Wanaficha misimamo yao juu ya mada letwa.
Wachangiaji wengi wana inferiority complex na ushamba.
 
Ha ha ha nilijua utasema hivyo kwasababu kwako ni big deal. Let me tell this. Nimesoma,nimeishi Europe zaidi ya miaka kumi sasa hivi niko Bongo nakwenda huko anytime I want to. Kwahio usiangalie watu usiowajua ukiwakuta Tz ukafikiri eti hawa hawajafika Europe sijui takataka gani.
Wala siko impressed na wewe kukaa europe 10 years, sijui unaweza kwenda huko anytime blah..blah. Pamoja na mimi kukaa huko wala sijivunii kuhusu hilo, teh..
 
Sioni mnachojadiri hapa. Alafu mnalalamika maisha magumu
 
Watu wa Dar ni kawaida yao na hasa wakijua kuna mtu wa mkoani jirani yao anasikiliza
Mikoani ndio karibia wengi wanaenda kufungia mizigo yao ya maduka yao dubai na china. Uliza mbeya 60% ya wafanyabiashara pale wanafungia mizigo yao china na dubai. Isingekuwa hiyo kodi kuwa kubwa zaidi uipatayo,karibia ingekuwa 80% mpaka sasa wanaenda kufungia mizigo huko. Kodi ndio tatizo kwa sasa bandarini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha nilijua utasema hivyo kwasababu kwako ni big deal. Let me tell this. Nimesoma,nimeishi Europe zaidi ya miaka kumi sasa hivi niko Bongo nakwenda huko anytime I want to. Kwahio usiangalie watu usiowajua ukiwakuta Tz ukafikiri eti hawa hawajafika Europe sijui takataka gani.

Mkuu sijawah kushuhudia ukiwa kwenye marumbano namna hii...we ni moja ya watu ambao wapo smart sana JF ....japo Jf kila mtu ni mjanja na sio maskin, na katembea nje..ila comment yako hii inaonesha kuna jambo halipo sawa....
 
Wala siko impressed na wewe kukaa europe 10 years, sijui unaweza kwenda huko anytime blah..blah. Pamoja na mimi kukaa huko wala sijivunii kuhusu hilo, teh..
Nimekwambia nataka uwe impressed? Nimekwambia ili uache ushamba kuona huko umefika wewe tu and it's a big deal. Naona umerudi kwenye mstari.
 
Mkuu sijawah kushuhudia ukiwa kwenye marumbano namna hii...we ni moja ya watu ambao wapo smart sana JF ....japo Jf kila mtu ni mjanja na sio maskin, na katembea nje..ila comment yako hii inaonesha kuna jambo halipo sawa....
Boss unaweza kujaji jinsi unavyoona inafaa.
 
Nimekwambia nataka uwe impressed? Nimekwambia ili uache ushamba kuona huko umefika wewe tu and it's a big deal. Naona umerudi kwenye mstari.
haha..we jamaa unajidaigi matawi ya juu sana, utakuwa ni wale wa kubebwa na uncle. kwani kukaa europe 10 yrs ni ishu basi? ni sawa tu na mtu anayehama toka koromije kwenda dar au sehemu nyingine yoyote, labda kama kuna watu humu hilo linawatetemesha. Umeshapata Pm za mademu, siyo?
 
ukishaingia M city automatically tayari upo ulaya ndogo
 
haha..we jamaa unajidaigi matawi ya juu sana, utakuwa ni wale wa kubebwa na uncle. kwani kukaa europe 10 yrs ni ishu basi? ni sawa tu na mtu anayehama toka koromije kwenda dar au sehemu nyingine yoyote, labda kama kuna watu humu hilo linawatetemesha. Umeshapata Pm za mademu, siyo?
Ha ha ha.
 
Watoto wa uswahilini Dar wanaonaga kama Mlimani City sijui ni mbinguni. Yani mtu yupo tayari afunge safari kutoka Gongo la Mboto hadi M. City akashangae na kupiga picha wakati mimi natoka tu ghetto kwangu Mlalakua naenda kununua six pack Nakumat kama naenda dukani kwa mangi
Mlimani city ndo wap chaliii angu? Nitoe ushamba
 
Wengi wao kwanza hao wenye yes ooh it was like yan u can't believe hata manunuz wanayofanya n ice cream, biscuits na soda vingine hawagusi, mie enz zangu nlikuwa Sina swaga nafanya shopping ya bia 20, nyama ya kuku, sausage, chapat za barhesa, mkate Yan friji ijae utaona tuu wale wa yes no wanavyokutolea mimacho ya kuitwa mie huyo navuka barabara naingia zangu kwa house ya Bibi Ally.

Sikuhiz nimekuwa mtu mzima majukumu yameniandama hvyo nikiwa dar naendaga game kuangalia best deals ya price n nn na nn Kama navihitaj nafanya mpango kamasio napotozea napotea.

Kifupi pale wengi wanaigiza Sana na wengi wao n wale walioanza kupata mishahara yakwanza ambayo haizid sita na usiombe awe na Dem mpya au ndo anamfukuzia,
Pili wanafunzi waliolazimisha kusoma kwamba ye niayake ilkua afike ud tuu hao ndo hatari sio wakike Wala wakiume Yan wakiwa na ten tuu hzo round zamle ndan na full showoff utajuta we wa mkoan. Wengine n wale wanaotongozana Hawa ndo usiombe uwe nao karibu mana ili akukubali fasta laxima umpige fix ajue, nadem ili umuon n classic material kumbe n mtogole Moja laxima akupige fix ili ujae vizuri
 
Back
Top Bottom