Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,761
Mkuu..Not gifted skills mkuu mbona mi sijasoma huko lakini nilipata kazi kwenye company kubwa duniani kabla hata sijafika mwaka wa mwisho mkuu,kikubwa ni kuonesha uwezo ulio nao
Hivi umejielewa ulichoandika??!?! Au haukuelewa maana ya neno "Gifted Skills" lilivyotumika!!??
Not Gifted Skills and yet "Kikubwa ni kuonyesha uwezo ulio nao" . How can you do that if one doesn't have "Gifted Skills":shocked::A S-confused1: . Sio lazima Upitie Harvard ili Uwe na gifted skills. Unaweza kusoma UDSM au IFM na ukawa msumeno pia (Braniac).