VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Mkuu The Boss, mbona huwasifii graduates wa UDSM na uko obsessed na hawa wa Ivy League tu banaaaaaaaaaaaaa?Anafanana na graduates wa Harvard sio? lol
Mkuu The Boss, mbona huwasifii graduates wa UDSM na uko obsessed na hawa wa Ivy League tu banaaaaaaaaaaaaa?Anafanana na graduates wa Harvard sio? lol
Kama alivyosema Sheriff Arpaio...Harvard kuna baadhi ya wabongo wapo hapo na wengine wamepiga Ila kwa privacy za watu hatupendi kuziingilia au kuzivuruga. Kuna Kijana mmoja ni Daktari(Bio Chem)na wawili ni wachumi.
The Boss kwa hiyo sisi wa Yale sio chuo bora??!
Hilderbrand shayo na john mashaka.
Currently kuna vijana watatu wa kibongo ninaowafahamu pale Harvad School of Med. na mmoja yupo Havard Law, But as a matter of privacy I'm not gonna disclose their names
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Na Professor Mwajaha POSSI (sijui kama nimepatia jina la kwanza), FF umenikumbusha Justinian(R.I.P). Je former Prime Minister one Sumaye hajasoma Havard kweli - if my memories servers me right.Justinian RweyemamuHawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.Somebody Daghar, Orijino Tanga.Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.
alisoma na rashidi kawawa na babu yakohayati baba wa taifa jk Nyerere
Huoni kwa faida ya taifa hasa hao waliosoma uchumi tunapaswa kuwafahamu?
Hahaha,,,.Tupo wengi.....Hahaha Mentor Niropoke au nipige kimya?Aaah......kumbe wewe pia ulipiga Yale..?.... tutafutane bana tukumbushane mambo ya chuo......hivi humu tutakuwa wangapi......?.....
Philip Mulugo naiu waziri wa elimu na mafunzo ya Veta