Mkuu! I do not mean to be rude but what's purpose of your question/thread? I might missed the point somewhere but still I dont get it. Help me please!
Halafu pia mtueleze na impacts za kusoma kwao Havard kwenye maendeleo ya nchi.
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Nimemtaja Chenga hapo
na kama ukifuatilia thread zangu zote huwa namponda mno Chenge
so sisemi kila aliosoma Harvard anatufaa
ila heshima ya vyuo hivi inatulazimisha tuwa notice na kuwajua
ili tuwachambue na tuwatumie wale wanaotufaa
NSA aisee huyu TISS wangemtafuta angewasaidia sana.....Justinian Rweyemamu
Hawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.
Somebody Daghar, Orijino Tanga.
Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.
I wish ningekuwa na mda wa kusoma japo kaPHD ka pili ninge fight had nisome Harvard. Nami nipate airtime jf... ngoja niangalie posibility ya postdoc
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
bado na wewe hujaelewa kumbe, uwezo wa mtu kufanya jambo flan sio kuwa amekuwa gifted mkuu,mi nadhani labda tuanze kudefine neno GIFTED labda tunaweza elewana,wengine wanapata ujuzi wa kufanya vitu kwa kujishughulisha mfano kusoma,kukaa na wataalam husika etc.Swala ni hili ukiwa na umate wa kufahamu kitu flani basi ni lazima utafanya jitihada na hatimaye utakijua,swala ni determination na maamuzi mkuu.Knowledge sio njaa kwamba itakuuma...............................................Mkuu..
Hivi umejielewa ulichoandika??!?! Au haukuelewa maana ya neno "Gifted Skills" lilivyotumika!!??
Not Gifted Skills and yet "Kikubwa ni kuonyesha uwezo ulio nao" . How can you do that if one doesn't have "Gifted Skills":shocked::A S-confused1: . Sio lazima Upitie Harvard ili Uwe na gifted skills. Unaweza kusoma UDSM au IFM na ukawa msumeno pia (Braniac).