Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,386
......uzi wa ku-discuss ''watu''badala ya ''issues'', hamna la maana zaidi kupoteza muda tu hapa.
Your stupidity is beyond repair, kusoma Harvard ni ID na unapata heshima popote duniani.. Juzi kwenye tukio la Westgate shopping mall Kenya kuna Dr. aitwae Elif Yavuz ambaye alikua ni Grad. wa Harvard.. Habari nyingi zilizokua zinamuandika zilikua lazima zi-specify kwamba ni msomi wa Harvard tena PhD.. Get a life