Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Chama si kama underwear kuwa unabadili hata kama haijakuwasha. Sijawahi kuchaguwa kiongozi kwa ajili ya chama chake, nachaguwa kiongozi kwa uwezo wake.

CUF ikimsimisha Lipumba siwezi kumchaguwa, huo ndiyo ukweli, Lipumba angebaki kwenye fani yake tu ya Uchumi wa Kimataifa.

Wakati huohuo kwa upande wa ukawa simuoni mwengine anaemzidi uwezo Lipumba mpaka dakika hii.

FF hapa unazungumzia kuzidi uwezo wa kitu gani, fedha, elimu, kusoma kuruani, urefu, nini? Kwa mantiki hiyo hiyo utuambie kama uwezo wa Kikwete ndio upeo wa juu zaidi kwa wanachama wote wa ccm na kama ndio hivyo basi huko ccm wapo wa kuwasimamisha kwenye udiwani tu.
 
FF hapa unazungumzia kuzidi uwezo wa kitu gani, fedha, elimu, kusoma kuruani, urefu, nini? Kwa mantiki hiyo hiyo utuambie kama uwezo wa Kikwete ndio upeo wa juu zaidi kwa wanachama wote wa ccm na kama ndio hivyo basi huko ccm wapo wa kuwasimamisha kwenye udiwani tu.

Elimu, uchapa kazi, umakini, maadili, hana kashfa. Kwa ufupi kila utakalolifikiria hupati wa chadema wa kumlinganisha na Lipumba. Jaribu.

CV ya Kikwete katika uongozi wa chama na Serikali ni ya juu zaidi kuliko mgombea yeyote wa CCM na wa upinzani alioshindana nao wakati ule, sijui leo hii kama yuko mwenye CV ya Kisiasa na Kiserikali zaidi yake. Nioneshe.
 
Usinivute kujadili hofu zako

Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.
 
Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.

We hujanijua.....ngoja nikupe kali yako
 
Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.

Boy: Hi Baby, do you have a boyfriend?Girl: No. I don’t want a boyfriend.Boy: Genesis 2:18 “The Lord God said, ‘It is not good for theman to be alone. I will make a helper suitable for him’.”Girl: But I don’t love you.Boy: 1 John 4:8 "Whoever does not love, does not know God,because God is love.”Girl: So how do I discern that your words are true?Boy: Matthew 12:34b “For the mouth speaks what the heart isfull of."Girl: But how can I be sure that you are faithful and honest?Boy: Mark 13:31 “Heaven and earth will pass away, but mywords will never pass away."Girl: But why me? There are so many girls out there.Boy: Proverbs 31:29 “Many women do noble things, but yousurpass them all!”Girl: But what do you see in me, that makes you love me?Boy: Song of Songs 4:7 " You are altogether beautiful, mydarling; there is no flaw in you."Girl: But really, I’m not that beautiful … you’re exaggerating.Boy: Proverbs 31:30 “Charm is deceptive, and beauty isfleeting; but a woman who fears the Lord is to be praised.”Girl: What will happen if I say yes?Boy: Genesis 2:24 “That is why a man leaves his father andmother and is united to his wife, and they become one flesh."Girl: How is it that you know so many Scriptures?Boy: Joshua 1:8 “Keep this Book of the Law always on yourlips; meditate on it day and night, so that you may be carefulto do everything written in it. Then you will be prosperous andsuccessful. "Girl: Wooow, I can see you really love God.Boy: Psalm 34:8 “Taste and see that the Lord is good; blessedis the one who takes refuge in Him!”Girl: Hmmm. Ok please just give me some time to think aboutthis.Boy: Philippians 4:8 "Finally, brothers and sisters, whatever istrue, whatever is noble, whatever is right, whatever is pure,whatever is lovely, whatever is admirable—if anything isexcellent or praiseworthy—think about such things."Girl: owwww I love you alreadyBoy: Revelations 22:21b "Amen
 
Kwahiyo ww na team LUMUMBA ndio Mlituletea Huyu rais dhaifu
Na sasa unakuja na sera yako hii ya UCCHAGUE CHAMA CHAGUA MTU. hii inadhihirisha tayari umeanza kuipiga kibuti CCM yako iliyokufundisha usanii.
Ngoja tuone safarihii utampigia debe nani na akihama ccm unahama nae

Wana ccm msimshambulie sana FF mkidhani kahama chama hapana. Yuko kutekeleza maazimio ya cc ya chama chenu. Kumbukeni mna mambo mawili yanayowavuruga, kumpata mgombea ndani ya chama na pili muungano wa ukawa. Sasa mkakati kazi ni kama ifuatavyo
1. Kuwadhoofisha wenye uchu wa kuteuliwa kushika hizo nyadhifa kwa njia ya kuwapelekea wanachama wapendekeze majina. Njia hii ni rahisi kuwachakachua hao wenye uchu na kuwaambia hamkupendekezwa
2. FF anatimiza mkakati wa kuwavuruga UKAWA akijaribu kuja na majina anayoona kuwa yanafaa, akimaanisha kuwa watu fulani, tuseme waislam wasipoona majina fulani basi wachague jina lingine.

Propaganda ya FF na ccm sio ya kuishabikia harakaharaka, hawa ndio wale ambao hujifanya wamerudisha kadi kumbe ni 'trojan horse', akiingia kambini tu anavuruga kila kitu.
 
Wana ccm msimshambulie sana FF mkidhani kahama chama hapana. Yuko kutekeleza maazimio ya cc ya chama chenu. Kumbukeni mna mambo mawili yanayowavuruga, kumpata mgombea ndani ya chama na pili muungano wa ukawa. Sasa mkakati kazi ni kama ifuatavyo
1. Kuwadhoofisha wenye uchu wa kuteuliwa kushika hizo nyadhifa kwa njia ya kuwapelekea wanachama wapendekeze majina. Njia hii ni rahisi kuwachakachua hao wenye uchu na kuwaambia hamkupendekezwa
2. FF anatimiza mkakati wa kuwavuruga UKAWA akijaribu kuja na majina anayoona kuwa yanafaa, akimaanisha kuwa watu fulani, tuseme waislam wasipoona majina fulani basi wachague jina lingine.

Propaganda ya FF na ccm sio ya kuishabikia harakaharaka, hawa ndio wale ambao hujifanya wamerudisha kadi kumbe ni 'trojan horse', akiingia kambini tu anavuruga kila kitu.

Kwa lipi nirudishe kadi ya CCM? unanchekesha.
 
We hujanijua.....ngoja nikupe kali yako

Mfano mwingine ni wa John Shibuda, pale alipoihama CCM na kuhamia Chadema, wana CCM wa jimbo lake wengi walimpa kura zao bila kujali yupo chama kipi. Huo ni uzalendo na unaonesha jinsi Tanzania tunavyoweza kufanya maamuzi bila ya kuburuzwa na chama au wenye chama.
 
Faiza naona unatafuta njia ya kutokea baada ya kuona hakuna muislam yoyote anaefaa kuwa rais....kwa sisiemu. ....ila karibu ukawa tuna lipumba Jembeeee

Siwapendi watu wanaoingiza udini katika siasa. UKAWA wasipomsimamisha Prof. Lipumba utahamia chama kipi?
 
Tumchagueni mtu ambae atatuongoza yeye, sio chama chake. tulikuwa tukiongozwa na ccm sio mtu. agekuwa mtu tungefanya ya maana. Sio kuchagua mtu, mwisho wa siku hana sauti. tunabaki kuongozwa na wajanja ndan ya chama chake. rais lazima awe na maamuzi na ubabe kidogo
 
Na ndio maana midahalo nyakati za uchaguzi ni ya muhimu sana. Pamoja na kuwa mgombea anasimama kupitis chama flani na sera za chama, ni muhimu kuutambua uwezo binafsi wa mgombea. Chama kinaweza kuwa na sera nzuri lakini msimamizi wa sera ambae ni raisi asipokuwa na weledi na umadhubuti wa kusimamia na kutimiza sera basi inaangusha nchi.

Ni muhimu kupima uwezo binafsi wa individuals na kwa kuanzia, midahalo itakuwa ya muhimu sana kupembua chuya na mchele.

Wewe ndio sasa umepata mrejesho nyuma wa cc. FF ni matawi ya juu ccm, aliisha ipata hiyo mapema. Si muda mrefu pro ccm wote mtaimba wimbo mmoja
 
Mfano mwingine ni wa John Shibuda, pale alipoihama CCM na kuhamia Chadema, wana CCM wa jimbo lake wengi walimpa kura zao bila kujali yupo chama kipi. Huo ni uzalendo na unaonesha jinsi Tanzania tunavyoweza kufanya maamuzi bila ya kuburuzwa na chama au wenye chama.

MASWALI 25 KWA LOWASA

1. Kwanza ningependa kujua wasifu wako binafsi na kama baba wa familia yako


2. Unaweza mtambua mtu kwa kuangalia Rafiki zake waliomzunguka, Je mheshimiwa Lowasa marafiki zako wa karibu ni akina Nani


3. Nje ya siasa Je una biashara nyingine unafanya? Je kwa kupitia kipato chako kuna uwekezaji wowote umefanya Watanzania wakapata ajira?


4. Je kipato chako na matumizi yako ni matunda ya mishahara na marupurupu ya kuajiriwa serikalini?


5. Kipi unachoweza jivunia baada ya kuwa waziri wa maji kwa muda wa miaka 5, kuna mabadiliko yoyote uliyafanya?


6. Je wewe ni muumini wa Mwalimu Nyerere?


7. Una maoni gani juu ya azimio la Arusha?


8. Umeshakuwa waziri mwenye dhamana wa maendeleo ya makazi ya watu na baadae waziri mwenye dhamana wa Umaskini, Je ni kipi cha kujivunia katika uongozi wako huo uki"reflect" na hali iliyopo sasa?


9. kwa nini Urais? Je mabadiliko unayotaka kuyafanya hayawezekani wewe ukiwa mwanajamii, mbunge, na waziri?


10. Je unakubaliana na maoni ya wengi kuwa kwa miaka 50 sasa serikali ya CCM Imeshindwa tatua tatizo la maradhi na umaskini? Kama ndio wewe kama kiongozi ndani ya CCM uliyeanza madaraka tangu miaka ya mwisho wa 80 mpaka leo unayo nafasi ya kulaumiwa?-


11. Wasifu wako unaonyesha tangu umeingia serikalini, ni wizara 1 tu umekaa kwa muda wa miaka mitano, zingine zote hikumaliza miaka 3, ukahamishwa au ukajiuzulu, kwa mfano AICC mwaka 1, sheria na mambo ya bunge miaka 3, ardhi na maendeleo ya jamii miaka 2, mazingira na umaskini miaka 3 na mwisho uwaziri mkuu miaka 2 na nusu, ufupi huu unatokana na Utendaji wako, imani ya muajiri wako, au ni mikataba ya kazi ambayo hupewa?


12. Tumemskia mara nyingi ukisema nchi hii inakosa kiongozi mwenye Maamuzi magumu, ukitumia mifano michache tuelezee maamuzi magumu ni yapi kwenye kuwaletea maendeleo Watanzania


13. Je unazichukuliaje kamati teule za bunge na ripoti za kazi walizotumwa


14. Kama Wewe Lowassa ungekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania leo hii baada ya ripoti ya Escrow kutolewa na "kamati" ya Bunge ungemchukulia hatua gani waziri Mhongo na waliohusishwa kwenye kashfa ya Escrow na je ungekuwa na Maamuzi tofauti na yale aliyoyafanya Rais wa sasa?


15. Je unaikubali ripoti yakamati ya PAC? Kama ndio, kwa nini si kamati ya Mwakyembe


16. Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere kwa Maoni yake binafsi alikuengua kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais, miaka 10 baadae, Rais kikwete akakuteua kuwa waziri mkuu, kuonyesha kuwa Mwalimu hakuwa sahihi wabunge wakakupitisha kwa kishindo kwa kura 312 kati ya 314, swali ni je, kwa nini miaka mitatu kasoro baadae wabunge walewale wamtuhumu mtu waliyempitisha kwa kishindo kwa sababu ambazo wewe -unasema si za msingi. Nikikunukuu "tatizo ni huu uwaziri mkuu", kwa nini wakugeuke kutaka uachie uwaziri mkuu? Na je Nyerere aliona mbali?


17. Moja ya matatizo makubwa ambayo Watanzania wanalia nayo na ndio yaliyotufikisha hapa ni Rushwa na Ufisadi, Je ipo record yoyote kuwa kuna sehemu yoyote hapa Duniani ulishawahi tamka kukemea Rushwa?


18. Na je unapinga Rushwa na Ufisadi? Katika msimamo wako wa Maamuzi magumu, tukikupa nchi unahisi ni vipi wala Rushwa na Mafisadi utawatambua na vipi utawahukumu ( swali la msingi ni kuwa ipi itakuwa mbinu yako ya kupambana na Rushwa na Ufisadi)


19. Je kwa maoni yako, mikataba ya gesi asilia, mafuta, madini na nishati inafaa iwekwe wazi au iwe siri


20. Kuna minong'ono ya hapa na pale kuwa ipo sehemu ulitamka kuwa ulijiuzulu kumficha Richmond mwenyewe na kuna mtu alikuwa anaijua Richmond, kwa kuwa Wewe unajinadi kuwa ni muumini wa kufanya Maamuzi Magumu, Je Unaweza fanya maamuzi magumu sasa kwa kumtamka hadharani aliyekuwa anaijua Richmond na aliyeilinda Richmond pale ulipotaka vunja mkataba? Kama huwezi sasa kwa nini tukuamini mpaka tukupw nchi ndo utaweza?


21. Kwa kauli zako Ajira kwa vijana ni Bomu, Mheshimiwa ni Rahisi kuonyesha udhaifu kuliko kuuondoa, je ni Ipi mbinu yako au maoni yako unahisi ni njia sahihi ya kuongeza ajira kwa vijana kuzuia bomu lisiripuke


22. Wakati wa kuukaribisha mwaka 2014 ukiwa kijijini monduli ulisema "tulihudhunika pamoja, tutacheka pamoja" je wakati tuliohudhunika pamoja ni upi? Miaka 53 baada ya uhuru, awamu ya Kikwete au ulipojiuzuru uwaziri?


23. Upi msimamo wako katka idadi ya serikali? Moja, mbili au Tatu?


24. Tukirejea hotuba yako ya kujiuzulu uwaziri Mkuu mwaka 2008, ni sahihi kusema mtazamo wako ni chama kwanza Watanzania baadae?


25. Nini msimamo wako kuhusu ndoa za jinsia moja
 
Tumchagueni mtu ambae atatuongoza yeye, sio chama chake. tulikuwa tukiongozwa na ccm sio mtu. agekuwa mtu tungefanya ya maana. Sio kuchagua mtu, mwisho wa siku hana sauti. tunabaki kuongozwa na wajanja ndan ya chama chake. rais lazima awe na maamuzi na ubabe kidogo

Rejea #293
 
faizaFox umeanzia mbali, kumbe lengo lako ni kupambana na credibility ya Dr Slaa??
Basi umechelewa UKAWA wana imani naye, kama Mkombozi wa Watanzania mnaowanyanyasa na kuwadhulumu!!
 
Last edited by a moderator:
Wakati tunaingia kwenye mwaka wa heka heka za uchaguzi wa Wabunge na wa Rais.

Nawaasa Watanzania wasichaguwe chama bali wachaguwe kiongozi.
Mkuu FF,nakupa "LIKE" mia moja za mdomoni,elimu hii ya uraia unayoitoa hapa JF ndiyo inayotakiwa kutolewa kwa watanzania wote wa maeneo yote ya tanzania nzima na kazi hii ya uelimishaji jamii kama itafanywa kwa wakati na kila mtanzania mwenye uwezo wa kufanya hivyo,basi naamani mabadiliko makubwa sana yatatokea katika uongozi wa nchi hii ambayo yatapelekea mabadiliko makubwa ya kiutendaji.
Mimi wasiwasi wangu ni moja,je ni nani mwenye jukumu rasmi la kueneza elimu hii ya uraia kwa watanzania?
Je hao wenye jukumu hili rasmi,wanatimiza wajibu wao kwa kiasi gani?
 
Mkuu FF,nakupa "LIKE" mia moja za mdomoni,elimu hii ya uraia unayoitoa hapa JF ndiyo inayotakiwa kutolewa kwa watanzania wote wa maeneo yote ya tanzania nzima na kazi hii ya uelimishaji jamii kama itafanywa kwa wakati na kila mtanzania mwenye uwezo wa kufanya hivyo,basi naamani mabadiliko makubwa sana yatatokea katika uongozi wa nchi hii ambayo yatapelekea mabadiliko makubwa ya kiutendaji.
Mimi wasiwasi wangu ni moja,je ni nani mwenye jukumu rasmi la kueneza elimu hii ya uraia kwa watanzania?
Je hao wenye jukumu hili rasmi,wanatimiza wajibu wao kwa kiasi gani?

Kila Mtanzania mwenye lake amfundishe mwingine. Tusingoje kufanyiwa.
 
faizaFox umeanzia mbali, kumbe lengo lako ni kupambana na credibility ya Dr Slaa??
Basi umechelewa UKAWA wana imani naye, kama Mkombozi wa Watanzania mnaowanyanyasa na kuwadhulumu!!

Dr. Slaa hata angekuwa CCM leo hii nisingemchaguwa hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
 
Back
Top Bottom