Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Nnamaanisha wapo kwenye vyama wanaoamini kuwa wao ndiyo wenye vyama na maamuzi yao ni ya mwisho. Na wapo wanachama wanaoamini kuwa hivi vyama vina wenyewe. Hilo linatokea sana kwenye vyama vyetu. Mfano mzuri ni kura za maoni na nimeelezea juu huko, kaisome vizuri post namba moja.
MCHARO umekuwa MTAMUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
Naona FaizaFoxy akili zinaanza kumrudia kwa kasi.

Allah aniepushe na dua yako mbaya, sijawahi kupotelewa na akili hata sikumoja.

Eeeh Allah niepushie hilo na unirehemu na uniondoe duniani nikiwa na afya yangu ya kimwili na ki akili. Allahumma nusuru l'khatima. Eeeh Allah naomba nipe maisha mema na mwisho mwema.
 
Allah aniepushe na dua yako mbaya, sijawahi kupotelewa na akili hata sikumoja.

Eeeh Allah niepushie hilo na unirehemu na uniondoe duniani nikiwa na afya yangu ya kimwili na ki akili. Allahumma nusuru l'khatima. Eeeh Allah naomba nipe maisha mema na mwisho mwema.

Acha kufanya dua za kishetani wewe.

unapomuambia Allah akuondoe duniani unamaanisha Allah anaua watu?
 
sitaki kuamini kama Faiza kawa hivi leo.......hapana kasoma mchezo,uelekeo wa upande wake kupita ni finyu ndani ya chama!
chezea LOWASSA ....
wahi CUF mama! huko nako kuna Chadema sijui itakuaje bibie
 
Hapana mkuu!
Huyu ni mnafiki hana mapenzi na chama,kachungulia maazimio ya CC kaona wa dini yake kuteuliwa CCM ni vigumu ndo maana anakuja hapa na ngonjera za kuchagua mtu wala sio chama!
kwake yeye uislamu kwanza mengine badae....UKAWA wakimsimamisha muislamu anawaunga mkono!
yaani huyu twaweza kumuita CONDOMU au TOILET PAPER

Naam, kwangu mimi Uislam ni kwanza kuliko kingine. Naomba soma post namba 105 au 179, utaelewa msimamo wangu.

Mengine ni yako wewe na una haki na mdomo wako kubwabwaja na kuhororoja upendavyo, lakini kumbuka, haki yako inaishia unapojaribu kutia maneno yako kinywani kwa mwingine.
 
sitaki kuamini kama Faiza kawa hivi leo.......hapana kasoma mchezo,uelekeo wa upande wake kupita ni finyu ndani ya chama!
chezea LOWASSA ....
wahi CUF mama! huko nako kuna Chadema sijui itakuaje bibie

Chama si kama underwear kuwa unabadili hata kama haijakuwasha. Sijawahi kuchaguwa kiongozi kwa ajili ya chama chake, nachaguwa kiongozi kwa uwezo wake.

CUF ikimsimisha Lipumba siwezi kumchaguwa, huo ndiyo ukweli, Lipumba angebaki kwenye fani yake tu ya Uchumi wa Kimataifa.

Wakati huohuo kwa upande wa ukawa simuoni mwengine anaemzidi uwezo Lipumba mpaka dakika hii.
 
Dini maana yake ni njia, kama ulikuwa huelewi, sasa kusema mimi nna "udini" ni kama kuniambia mimi nna njia yangu nnayoifata, wakati huo si ukweli. Mimi nnafata njia inayofundishwa na Uislam, wewe nnauhakika unafata njia inayofundishwa na Ukristo. Na kama hufati njia inayofundishwa na Ukristo wala Uislaam basi lazima una njia yako unayoifata na kama hiyo njia ni yako peke yako basi huo ndiyo "udini".

Kumwita Slaa kuwa padri huo ndiyo ukweli, kama ukweli ndiyo udini kwa maana yako basi utaniona ni mdini sana kwani sisiti kusema ukweli. Siwezi leo hii nikamwita padri Slaa kuwa ni Imamu Slaa. Ntakuwa ni muongo na ntakuwa namfanyia kejeli isiyo na msingi.

Ngao yenu ya kijinga ni hiyo yakumpachika mtu jina la udini ili tu mtimize matakwa yenu ya kupindisha mijadala. Ikiwa kwa muono wako huo finyu unaona mimi ni mdini basi kumbuka kuwa utaniona ni mdini sana, kwa sababu kila maamuzi yangu kwanza na pili na tatu huyafanya kwa Uislam wangu. Wewe una haki ya kufata njia aka dini yako uipendayo na au udini uupendao.

Kum depict mtu kuwa ni mdini ni udini mkubwa sana kuliko hizo maana finyu ulizoelezea. Ikiwa njia yako ya kuubadili mjadala ni kutumia neno udini basi hujafanikiwa, mjadala ndiyo unanoga.

Jee, wewe utachaguwa kiongozi au chama?

Kwenye hoja yako ya kutaka achaguliwe mtu na siyo chama, nakubaliana nawe kiasi lakini natofautiana nawe zaidi.

Nakubaliana nawe kwenye ngazi za chini, kama vile vijiji lakini unapokuja kwenye ngazi ya Taifa ni muhimu pia kutazama sera za chama, umadhubuti wa chama katika kusimamia maamuzi, kupiga vita rushwa na ubunifu wa chama katika kuandaa sera zinazotekelezeka kutokana na ubunifu wa mipango iliyopo.

Nchi kama Singapore imefanikiwa sana kiuongozi, kiutawala na kiuchumi kwa sababu wao mfumo wao ni wa kuchagua chama, na baada ya hapo chama kilichoshinda humchagua Rais baada ya kupitia mchakato mgumu na wa kina. Kuna wakati chama kilichokuwa kimeshinda kilitamka wazi kuwa hakikuwa na mwanachama ndani ya chama chao aliyewathibitishia kuwa ana uwezo wa kutimiza ambayo chama kiliwaahidi wapiga kura. Chama kilimwomba mfanyabiashara awe mwanachama, na kisha kikamkabidhi madaraka ya Urais. Singapore wanasema, siyo rahisi mwananchi wa kule Muze (Rukwa) au Nakapanya (Ruvuma) kufahamu kwa uhakika kabisa kama Kikwete ana uwezo wa kuwa Rais bora au hapana, wao ndani ya chama ndiyo wanaojua.

Utawala wa CCM umetupa fundisho kubwa kuwa ili tupate mabadiliko hatustahili tu kumpigia kura mgombea pekee yake bali ni pamoja na chama. Mara kadhaa tumewachagua wagombea wazuri kupitia CCM lakini wakifika bungeni au wanapoteuliwa kuwa mawaziri wameshindwa kabisa kutimiza yale waliyowaahidi wananchi. Ukikaa nao mmoja mmoja watakuambia kuwa wanashindwa kuleta mabadiliko kutokana na mfumo mbaya wa CCM wa kuwadhibiti wale wanaoenda kinyume na matakwa ya chama.

Kama tunataka kuleta mabadiliko katika nchi yetu, ni lazima tuangalie ubora wa mgombea, na tutazame mgombea huyo anatoka chama gani.

Nimesoma kitabu cha January Makamba, ukitazama aliyoyasema kuhusu Tanzania mpya ni mazuri sana lakini hayatekelezeki akiwa ndani ya CCM. Yeye anataka kuleta fikra mpya, je, CCM yenyewe ina fikra mpya? Tatizo hilo alilipata sana Mkapa na Kikwete, na kuna wakati marais hawa walijaribu kutaka kuwa na nguvu katika chama kwa kuwapeleka mawaziri wao wagombee ujumbe wa halmashauri kuu ili kuleta fikra mpya kuanzia kwenye chama, wote walipigwa chini, hawakupita. Kwa sababu wale wahafidhina wamejenga umoja fulani, na umoja wenyewe ni wa uovu. Wao wanawachagua watu kwa kuangalia nani amewapa bahasha, na huyo mgombea atampa fadhila gani. wale watu wasafi kwa sababu hawawezi kuhonga au kuahidi au kutoa upendeleo kwa wajumbe wanaopiga kura, hawapiti ndani ya CCM. Wengi wa wanaopita katika kugombea uongozi ndani ya CCM ni wale watoa rushwa, na mtoa rushwa hawezi kukosa kupokea rushwa.

Nasisitiza, ni lazima tuangalie ubora wa wagombea na ubora wa chama maana kwa mfumo wetu wa Tanzania chama kina nafasi kubwa sana katika uongozaji na usimamiaji wa serikali.
 
Naam, kwangu mimi Uislam ni kwanza kuliko kingine. Naomba soma post namba 105 au 179, utaelewa msimamo wangu.

Mengine ni yako wewe na una haki na mdomo wako kubwabwaja na kuhororoja upendavyo, lakini kumbuka, haki yako inaishia unapojaribu kutia maneno yako kinywani kwa mwingine.
mwaka huu lazima tuwashughurikie maharamia nyie
 
Mfano hai ni mwaka 1995 wakati Kikwete alipowania kuwa Rais kwa mara ya kwanza, hakuna asiyejuwa kuwa alishinda ndani ya chama lakini wenye chama hawakutaka, matokeo unayajuwa.

mfano dr slaa1995 alienguliwa ccm matokeo unayafaham faiza bila shaka
 
Acha kufanya dua za kishetani wewe.

unapomuambia Allah akuondoe duniani unamaanisha Allah anaua watu?

Yeye pekee ndiye mwenye kutoa na kutwaa uhai, hakuna mwingine, Hata Yesu alikumbuka hilo:

Now from the sixth hour darkness fell upon all the land until the ninth hour. 46About the ninth hour Jesus cried out with a loud voice, saying, "ELI, ELI, LAMA SABACHTHANI?" that is, "MY GOD, MY GOD, WHY HAVE YOU FORSAKEN ME?"

Ukisoma biblia ya Kiarabu utakuta;

"Allah, Allah"
 
Chama si kama underwear kuwa unabadili hata kama haijakuwasha. Sijawahi kuchaguwa kiongozi kwa ajili ya chama chake, nachaguwa kiongozi kwa uwezo wake.

CUF ikimsimisha Lipumba siwezi kumchaguwa, huo ndiyo ukweli, Lipumba angebaki kwenye fani yake tu ya Uchumi wa Kimataifa.

Wakati huohuo kwa upande wa ukawa simuoni mwengine anaemzidi uwezo Lipumba mpaka dakika hii.
UKAWA yupo Shekhe PONDA
 
baada ya kugundua kuwa ccm itashindwa.vibaya amekuja na gia mpya ya kupooza makali ya kushindwa
kafie mbele ccm hatuichagui hata afufuke nyerere
 
Allah aniepushe na dua yako mbaya, sijawahi kupotelewa na akili hata sikumoja.

Eeeh Allah niepushie hilo na unirehemu na uniondoe duniani nikiwa na afya yangu ya kimwili na ki akili. Allahumma nusuru l'khatima. Eeeh Allah naomba nipe maisha mema na mwisho mwema.

And the devil herself joined the belivers ...what's a shame
 
mfano dr slaa1995 alienguliwa ccm matokeo unayafaham faiza bila shaka

Naam, pia ni mfano mzuri sana na unadhihirisha kuwa Tanzania hatuchaguwi chama tunachaguwa mtu, sasa isiishie kuchaguwa mtu, tuchaguwe mtu anaeweza kuongoza.

Si unaona Slaa anajidhihirisha kuwa si kiongozi mzuri, si kwa maadili si kwa kisiasa, hana sera. hana mipango hana muono. Yeye anangoja na kuvizia leo atasikia lipi aanze kuhororoja na kubwabwaja, no, hatutaki kiongozi wa namna hiyo hata kidogo.
 
Tatizo ni kuwa vyama vina nguvu kuliko kiongozi anaye chaguliwa,si tunasikia kila siku kuwa haya mambo si msimamo/sera za chama chetu,au yule anayeenda kinyume na matakwaya chama utawasikia huyu si mwenzetu afukuzwe,au tumesahau yaliyompata na yanayo mpata Warioba,kuna vyama vingine vimepoteza mvuto,viongozi wake wanakuwa na tuhuma mbaya za ufisadi,kulinda maovu na hila,kiasi kwamba ya kuamini HAKUNA MSAFI kwenye hivyo vyama,kwa hiyo yoyote atakae chaguliwa kutoka aina ya vyama hivyo ni mchafu,hapana umefika wakati wa KUCHAGUA VYAMA BADALA YA KUCHAGUA VIONGOZI imetokea kuwa vyama ndio humtawala kiongozi.
 
Back
Top Bottom