Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

TAKUKURU wapo na kila mwaka wanazidi kupata uzoefu na sisi wenyewe inabidi tuwe macho. Tunapoona kuna kutoa na kupokea rushwa tusifumbe macho.

Takukuru haina uwezo wa kuzuia wala kukemea rushwa .. Ni taasisi ambayo ipo tu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwa nini unaleta wazo la mtu badala ya chama baada ya kuona jina CCM haliuziki? CCM haina soko tena ndo maana inabiodi nguvu ndo itumike kupita ktk nafasi. CCM walizoea kujiita nambari wani sasa nambari wani imegeuka kuwa nambari chafu ndo mashabiki wake munaanza kuleta wazo jipya la kuchagua mtu.

Kwa tunaojua kufuatilia mambo, tulishauona mwisho wa CCM. Kwa demography hii wanaoabudu CCM wako 'kiduchu'.

Hili si wazo jipya.

Watanzania hawajaanza leo kuwachaguwa viongozi na si chama, na mifano nimeiweka, rudia post namba moja tafadhali.

Hapa nnawakumbusha tu, usifikiri kuwa Watanzania hawajielewi, isipokuwa ningependa ukumbuke kuwa, leo hii kuna Watanzania ambao mwaka 2005 hawakuwa kwenye umri wa kupiga kura na pengine hata hawajuwi ilikuwaje, hapa nnawakumbusha kuwa Watanzania wakati huo hatukutazama chama tulitazama uwezo wa mgombea, na hilo ndilo la muhimu, Watanzania tunapoelekea kwenye kupiga kura tuwe makini na tusitazame vyama kwani Tanzania tunachaguwa kiongozi na si chama na kiongozi wa kwanza ni wewe mwenyewe, si mwingine. Kumbuka hilo.
 
Nina kunukuu, "Huo ni uzalendo....Tukianza kuchaguwa viongozi na si chama tutakuwa sisi wenyewe tumeshakuwa viongozi." Mwisho wa kukunukuu.

Umeandika kizalendo, hasa wananchi wakijitambua kwamba wao wenyewe ni viongozi.Tuanze kwa vitendo mwaka huu 2015 Oktoba....

Naam, hivyo ndivyo inavyotakiwa.
 
Yeye pekee ndiye mwenye kutoa na kutwaa uhai, hakuna mwingine, Hata Yesu alikumbuka hilo:

Now from the sixth hour darkness fell upon all the land until the ninth hour. 46About the ninth hour Jesus cried out with a loud voice, saying, "ELI, ELI, LAMA SABACHTHANI?" that is, "MY GOD, MY GOD, WHY HAVE YOU FORSAKEN ME?"

Ukisoma biblia ya Kiarabu utakuta;

"Allah, Allah"

CCM wanavyotuua ni Allah?! Akina Mwangosi, Mvungi na wengine, huyo Allah wako anahusika nini?! Acha kumsingizia, sio kila kifo anahusika....!
 
Naomba sana ubadilishe hilo wazo elewa hivi chama ndicho kina sera, mtu ana maono binafsi hivyo hawezi kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii kubwa. kwa kifupi nitapigia kuRA CHAMA si mtu mwambie jirani yako achague CHAMA

Hayo ni mawazo yako na uko huru.
 
CCM wanavyotuua ni Allah?! Akina Mwangosi, Mvungi na wengine, huyo Allah wako anahusika nini?! Acha kumsingizia, sio kila kifo anahusika....!

CCM wangekuuwa ungekuwepo JF saa hizi? Fikiri.
 
Faiza naona unatafuta njia ya kutokea baada ya kuona hakuna muislam yoyote anaefaa kuwa rais....kwa sisiemu. ....ila karibu ukawa tuna lipumba Jembeeee

Naam, kwangu mimi Uislam ni kwanza kuliko kingine. Naomba soma post namba 105 au 179, utaelewa msimamo wangu.
 
' kama alivyochaguliwa kikwete 2005 ' kwanini hukuandika mwaka 2010 ?
 
Naam, kwangu mimi Uislam ni kwanza kuliko kingine. Naomba soma post namba 105 au 179, utaelewa msimamo wangu.

Sasa tangaza kabisa kuhamia ukawa maana sisiemu wote wakristo......na lazima tuwapige vidole
 
Yeye pekee ndiye mwenye kutoa na kutwaa uhai, hakuna mwingine, Hata Yesu alikumbuka hilo:

Now from the sixth hour darkness fell upon all the land until the ninth hour. 46About the ninth hour Jesus cried out with a loud voice, saying, "ELI, ELI, LAMA SABACHTHANI?" that is, "MY GOD, MY GOD, WHY HAVE YOU FORSAKEN ME?"

Ukisoma biblia ya Kiarabu utakuta;

"Allah, Allah"

Hivi FaizaFoxy wewe ni nani hasa. ..? Who are you! !
 
Tanzania inakabiliwa na mfumo fisadi uliolelewa na ccm, tunahitaji kuungoa huo mfumo na si suala la mtu mmoja.HIVI MCHAKATO WA KATIBA UMEVURUGWA NA MTU MMOJA? Hapo ndipo tunapohitaji mabadiliko ya kimfumo na si mabadiliko ya watu.TUNAHITAJI KUBADILI MFUMO MZIMA,NA KAMWE MTU WA KUTUONDOLEA MFUMO FISADI HATUWEZI KUTARAJIA ATOKE CCM!
 
Hili si wazo jipya.

Watanzania hawajaanza leo kuwachaguwa viongozi na si chama, na mifano nimeiweka, rudia post namba moja tafadhali.

Hapa nnawakumbusha tu, usifikiri kuwa Watanzania hawajielewi, isipokuwa ningependa ukumbuke kuwa, leo hii kuna Watanzania ambao mwaka 2005 hawakuwa kwenye umri wa kupiga kura na pengine hata hawajuwi ilikuwaje, hapa nnawakumbusha kuwa Watanzania wakati huo hatukutazama chama tulitazama uwezo wa mgombea, na hilo ndilo la muhimu, Watanzania tunapoelekea kwenye kupiga kura tuwe makini na tusitazame vyama kwani Tanzania tunachaguwa kiongozi na si chama na kiongozi wa kwanza ni wewe mwenyewe, si mwingine. Kumbuka hilo.

Hivi Huyo Dhaifu mzurulaji kaonesha uwezo gani? Wananchi hawawezi kurudia makosa ya 2005
 
Hili si wazo jipya.

Watanzania hawajaanza leo kuwachaguwa viongozi na si chama, na mifano nimeiweka, rudia post namba moja tafadhali.

Hapa nnawakumbusha tu, usifikiri kuwa Watanzania hawajielewi, isipokuwa ningependa ukumbuke kuwa, leo hii kuna Watanzania ambao mwaka 2005 hawakuwa kwenye umri wa kupiga kura na pengine hata hawajuwi ilikuwaje, hapa nnawakumbusha kuwa Watanzania wakati huo hatukutazama chama tulitazama uwezo wa mgombea, na hilo ndilo la muhimu, Watanzania tunapoelekea kwenye kupiga kura tuwe makini na tusitazame vyama kwani Tanzania tunachaguwa kiongozi na si chama na kiongozi wa kwanza ni wewe mwenyewe, si mwingine. Kumbuka hilo.


Wewe wakati wooote umekuwa ni pro CCM na siyo mtu, also umekuwa ni pro islam na siyo mtu. Ungekuwa pro mtu usingemshabikia Prof. JK kwa kila kitu! Sasa unafika uchaguzi ndo sensory synapses zinaaza kuunganisha mambo. You must be a fake Homo sapiens.
 
CCM wangekuuwa ungekuwepo JF saa hizi? Fikiri.

Kwani hao waliouwa mwangosi,mvungi,mbwambo,ally zona na wengineo leo wapo hapa jf? TUNAHITAJI KUBADILI MFUMO FISADI NA SI KUBADILI MAJINA YA WATU. TUNATAKA CHAMA KITAKACHOTULETEA KATIBA MPYA YA WATZ BAADA YA CCM KUCHAKACHUA MAONI YETU NA KUWEKA YAO YA KIFISADI ILI WAENDELEE KULIIBIA NA KULIHUJUMU TAIFA KWA FAIDA YAO BINAFSI.
 
Pamoja na yote inabidi CCM ikae pembeni kwanza, lasivyo hao viongozi unaowataja wewe wakichaguliwa nao wataathiriwa na mfumo watakaoukuta kwenye chama chenu! CCM haina jipya la kutuambia zaidi ya kutumia mabavu kusalia madarakani! Safari hii tunajua wazi kuwa wengi mtatuua, lakini kabla ya kutekeleza hilo ni lazima baadhi yenu mkubali tuwaingize kwenye makaravati kama Kenge! Ni nyinyi ndiyo mmetufikisha hapa tulipo, mmetufanya tumekuwa sugu wenyewe wala msiwasingizie Upinzani hususani Chadema! Chadema hawana uwezo wa kunilazimisha nigome, niandamane isipokuwa Chadema imetimiza wajibu wake wa kuhakikisha najitambua japo robo ya haki zangu nazijua! Ni ukweli usiopingika kuwa bila watu aina ya Godbless Lema kutujengea uwezo(Nyinyi mnaita fujo) wa kujitambua tusingezijua haki hizo! Mmetunyima elimu ya uraia makusudi na kuvuruga mitaala mashuleni kwa kutupandikiza ujinga ili muendelee kututawala!, muendelee kutugeuza madaraja yenu ya kufikia mafanikio yenu! Muendelee kutufanya kuwa ngazi za kupata mnayoyataka!!!
 
Back
Top Bottom