Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Sasa mkuu EPZ zote tax holidays lazima,kuleta miundombinu ni jukumu la serikali sio mwekezaji,kwa mfano unatoa tax holiday kwa viwanda vya mbolea na usindikaji Mazao ya kilimo ,hapo huoni umeongeza value kwenye mnyororo wa thamani?Hiyo ni sehemu ya bandari tu
Kwenye viwanda serikali wala hawajawapa masharti hayo wawekeze tu kama wawekezaji wengine ata kesho.
Wao ndio hawataki kwa sababu wanataka raia wataoenda kufanya kazi hizo sehemu wasisumbuliwe kupata vibali vya kazi, viwanda vipewe maji na umeme kwa bei nafuu na tax holidays.
Sasa ukishafanya ivyo na machine zake za kuzalishia ajalipia kodi hata huyo Bakhresa ataweza shindana nae kwenye low prices.
Muwe mnafikiria vitu mnavyotetea Magufuli is dead Tanzania lives on; chuki kwakwe zisiwape upofu what is at stake kwenye huu mradi nchi ikikubali kila takwa la mchina.
Economic benefits sio Kodi tuu na ajira