Watanzania 5 waripotiwa kufariki kwenye ajali ya Moto Afrika Kusini

Acha upumbavu huu, kwako maisha yamekua bora kwa kudhulumu poor of the poorest, kesho unajifanya ni muumini mkubwa mwenye imani wakati umejaa roho ya kikatili, sijui hizi nyumba za ibada mnafanya nini mle,mchawi mkubwa, wewe unajua Mapigano na mahangaiko ya maisha? Endelea kuishi kwenye hiyo AC,but one day upepo utageuka tu, rambi rambi kwa waliofiwa na ndugu zao waliokwenda ku fight for better life, salute kwao wamekufa in the battleground, Amina
Mkuu mbona kama,unachuki binafsi na Dada,yeye ametoa maoni yeke wewe umepaniki sana,acha ushambaa
 
Baada ya kuiona habari hii nimeongea na Mtanzania kwa njia ya simu, yupo Johannesburg. Anasema hao wengi wao ni majambazi, vibaka na wanajihusisha na uhalifu ikiwemo madawa ya kulevya.

Wa Afrika kusini wamewachoma makusudi, walishapewa "warning" mara nyingi wao wakawa wanachukulia powa tu.
FaizaFoxy
Nimesoma comment Moja baada ya ingine ya wana Jf wenzangu...

Itoshe kusema ni Kweli wewe una credible source....

Nasema ivyo sababu katika hao watu wa5 wawili ni mtu na mdogo Ake ni very sad story mdogo mtu alikwapuaga pesa sehemu yetu ya kazi 10m na hata RB yake Mimi ninayo ila nilisha misplace ilikua ni early 2021...

Ni dogo wa 2000 mpk 2002 alikua ana smoke kama vijana wengi wa Sasa alivo chukua zile pesa break ya kwanza south afrika Joberg alikua ni dogo mmoja very notorious.....

Baadae inasemekana aka mvuta brother ake aka mjoin....kaka Ake nae ni WA early 90's nasikia walifungiwa ndani na kuchomwa moto wakiwa na kaka Ake....

Mtu wa south alimpasha habari jamaa yetu mmoja na kuthibitishwa kua ni Kweli jamaa wamefariki...

Kwenye maisha yangu sijawai kuwaza kuju kua mwizi au mtu asie faa Mungu ila dakika yeyote Mungu akitaka uwe unakuta.....

Eee mwenyez Mungu tupe mwisho mwema...

Watu wakichoka kua masikini wanafanya vyovyote hata kua wezi.....

Pamojaa na Huyu dogo kuiba Ile 10m ya ofisi by then nimesikitika na vifo vyao it's peinful na mpaka nimekua na hofu na haya maisha..

NB;

NITAKUFAJE_G.K
 
Atakua kakudanganya SA wanajali sana watu hayo majengo yalikuwepo mengi sana JHB na yaliachwa na wazungu waliokimbilia Nchi zingine ipo Kampuni ikishayanunua inatumia Polisi kuwafukuza na kujenga makazi majengo yalikuwepo mengi Bree Street,End street huko lakini hakujawahi kuchomwa moto ili wachukue majengo yao vitu vingine mkiambiwa jaribu na wewe kujiongeza kidogo basi...

sidhani kama umemuelewa Bi Faiza na kujibu alichoelezea kulingana na taarifa alizopata.

Wewe umeeleza tu ufahamu wako wa SA ambao wengi humu wanao, Faiza amejaribu kufoa taarifa za chanzo kutoka kwa mtu, kama una chanzo kingind cha tukio tofauti na hicho tueleze.
 
sidhani kama umemuelewa Bi Faiza na kujibu alichoelezea kulingana na taarifa alizopata.

Wewe umeeleza tu ufahamu wako wa SA ambao wengi humu wanao, Faiza amejaribu kufoa taarifa za chanzo kutoka kwa mtu, kama una chanzo kingind cha tukio tofauti na hicho tueleze.
Hakuna kitu kama hicho faza hawawezi kuchoma watu kwa sababu ya nyumba SA vitu vingi having thamani kivile kushinda Binadamu SA uwe Raia au mgeni unaweza kudondoka ikiitwa ambulance utashitukia upo Hospital kubwa ambayo kwa pesa usingeweza kwenda ila utatibiwa bure na kurudi home wale jamaa mambo ya kuthaminisha vitu kuzidi watu walishatoka huko...
 
Sio kweli, kule kuna Doctors, Engineers, Artisans,etc etc huo uhuni umetoka wapi?,wezi wakuu wapo hapa na hamwasemi kwa fedha zetu zinazoibiwa left right na mafisadi,wale wapo kule kufight for better life kwa familia zao, ila ninyi mkiugua na kufia Netcare Millpark ni sawa, kwa nini msifie Peramiho hospital, why mnakimbilia kule?,mna uwezo baada ya kuibia nchi, but poor of the poorest anaingia kiwanja to fight, hawa ni fighters wa maisha sio wahuni, wahuni wapo pale mjengoni Dodoma
ila mwanangu uko nje ya mada mbaya kabisa , au na wewe unaishi kwenye hayo magofu?
 
ila mwanangu uko nje ya mada mbaya kabisa , au na wewe unaishi kwenye hayo magofu?
Jaribu kumuelewaa anacho kisema....Kuna watu ambao maisha Yao yamenyooka kama rula hawajawai kuhusler vipi kuhusu njaa....Kuna njaa na hamu ya kula.....

Leo asbuh nikiwa natembea barabarani mbele yangu alikua kijana ambae alitakiwa kua la Saba au form one akaniita kaka kinyonge akiwa na tray lake la mayai ya kuchemsha akanambia kaka nimetembea sana sijauza naomba ununue nipate nauli nikaingia mfukoni nikampa kiasi kadhaa akanambia mbona uchukui mayai nikamwambia nimekupa sawa mdogo angu.....akasema Asante ya dhati

So hizi zote ni hustler za maisha kupambana so peinful wengine wanachoka wana amua kufanya chochote wameuchoka umaskini...

Courage nini Ile Khali ya kuushinda woga....
Hao madogo hawakwenda south Kwa miguu na waliamua kwenda kujaribu bahati zao na dogo na kaka Ake hawakua hata na elimu ya Secondary Wala hawajui kingereza....

Na Kwa hao madogo sio watoto wa mum am going....ni ushujaa unaweza sema....duu mzee wao kapoteza vijana wake wawili na amezeeka sanaaa msiba utakua kwake Kila siku.......

Tujifunze kulea watoto wetu Kwa kufuata maadili japo MWENYEZ MUNGU ndie mlezi wetu mkuu......

Mimi sijawai waza eti nikazamie ughaibuni napambana hapa hapa nyumbani bongo Tz huko nje ni kutembea na kurudi......
 
Jaribu kumuelewaa anacho kisema....Kuna watu ambao maisha Yao yamenyooka kama rula hawajawai kuhusler vipimo kuhusu njaa...
Courage nini Ile Khali ya kuushinda woga....
Hao madogo hawakwenda south Kwa miguu na waliamua kwenda kujaribu bahati zao na dogo na kaka Ake hawakua hata na elimu ya Secondary Wala hawajui kingereza....

Na Kwa hao madogo sio watoto wa mum am going....ni ushujaa unaweza sema....duu mzee wao kapoteza vijana wake wawili na amezeeka sanaaa msiba utakua kwake Kila siku.......

Tujifunze kulea watoto wetu Kwa kufuata maadili japo MWENYEZ MUNGU ndie mlezi wetu mkuu......

Mimi sijawai waza eti nikazamie ughaibuni napambana hapa hapa nyumbani bongo Tz huko nje ni kutembea na kurudi......
Bahati katika maisha haitafutwi kwa njia za kihalifu, ukitumia njia za uhalifu mara nyingi mwisho wake ni kuuwawa
 
sidhani kama umemuelewa Bi Faiza na kujibu alichoelezea kulingana na taarifa alizopata.

Wewe umeeleza tu ufahamu wako wa SA ambao wengi humu wanao, Faiza amejaribu kufoa taarifa za chanzo kutoka kwa mtu, kama una chanzo kingind cha tukio tofauti na hicho tueleze.
Si kweli faiza amejibia kutokana na taarifa alizozipata, amejibia kwa sababu yeye ana uhakika wa kula na familia yake, yanayotokea next door hana taarifa nayo, mkuu umasikini ni mbaya, pls usilete utani na mtu mwenye njaa, kisa wewe umekula
 
Nafikiri tuna chakujifunza hapa.
Hakuna kitu kama hicho faza hawawezi kuchoma watu kwa sababu ya nyumba SA vitu vingi having thamani kivile kushinda Binadamu SA uwe Raia au mgeni unaweza kudondoka ikiitwa ambulance utashitukia upo Hospital kubwa ambayo kwa pesa usingeweza kwenda ila utatibiwa bure na kurudi home wale jamaa mambo ya kuthaminisha vitu kuzidi watu walishatoka huko...

Hayo mkuu yanafahamika kwa nchi yeyote iliyoendelea, point niliyoiona kutoka kwa Faiza ni jengo kukaliwa na watu wengi ambao ni wahalifu
Si kweli faiza amejibia kutokana na taarifa alizozipata, amejibia kwa sababu yeye ana uhakika wa kula na familia yake, yanayotokea next door hana taarifa nayo, mkuu umasikini ni mbaya, pls usilete utani na mtu mwenye njaa, kisa wewe umekula

mkuu ni kweli umasikini ni mbaya na tunapaswa kuupiga vita kwa nguvu zote.

Lakini umasikini usitufanye tukavuka mipaka na kuwa vibaka, wezi, wauza madawa nk maana hivyo pia vinaweza kuwafanya wengine kuwa masikini pia.

Ni vyema tukawaelimisha vijana wanaosafiri kwenda kusaka maisha namna bora ya kufanya hustlling zao kwenye miji ya watu kuliko kujiingiza kwenye vitu visivyofaa nk.

Wizi hata hapa Tanzania upo tena wa namna nyingi na wote tunaukemea ili mwisho wa siku wote tukae kwenye mstari na kuendesha maisha yaliyo bora bila damu za watu na kutia wengine umasikini.
 
Nafikiri tuna chakujifunza hapa.

Hayo mkuu yanafahamika kwa nchi yeyote iliyoendelea, point niliyoiona kutoka kwa Faiza ni jengo kukaliwa na watu wengi ambao ni wahalifu

mkuu ni kweli umasikini ni mbaya na tunapaswa kuupiga vita kwa nguvu zote.

Lakini umasikini usitufanye tukavuka mipaka na kuwa vibaka, wezi, wauza madawa nk maana hivyo pia vinaweza kuwafanya wengine kuwa masikini pia.

Ni vyema tukawaelimisha vijana wanaosafiri kwenda kusaka maisha namna bora ya kufanya hustlling zao kwenye miji ya watu kuliko kujiingiza kwenye vitu visivyofaa nk.

Wizi hata hapa Tanzania upo tena wa namna nyingi na wote tunaukemea ili mwisho wa siku wote tukae kwenye mstari na kuendesha maisha yaliyo bora bila damu za watu na kutia wengine umasikini.
Shida yenu mnadanganyana sana ndio maana tunawaangalia Uhalifu SA upo kwa wageni na wenyeji kama ilivyo hapa ila wapo Watanzania wanaishi maisha ambayo ukiambiwa ni Mtanzania hawuwezi kuamini maana wamewekeza sana kama vile wapo Tanzania kama ana maduka ni mengi na biashara anafanya sema wengi wetu hatukutani na hawa kutokana na shughuli zao wapo Wasafirishaji wanasarisha mizigo Nchi nyingi za SADC huyo nae hizo mambo anazisikia tuu...ndio maana nikahitimisha hivyo maana tunajifanya tunapinga uhalifu wakati hata hapa kwetu tuna unyama hao wazuru wanasubiri sana Juzi Songea mtu na mtoto wale wameuawa Kinyama kisa pesa harafu tuwe busy kukomesha uhalifu wa SA kweli...
 
FaizaFoxy
Nimesoma comment Moja baada ya ingine ya wana Jf wenzangu...

Itoshe kusema ni Kweli wewe una credible source....

Nasema ivyo sababu katika hao watu wa5 wawili ni mtu na mdogo Ake ni very sad story mdogo mtu alikwapuaga pesa sehemu yetu ya kazi 10m na hata RB yake Mimi ninayo ila nilisha misplace ilikua ni early 2021...

Ni dogo wa 2000 mpk 2002 alikua ana smoke kama vijana wengi wa Sasa alivo chukua zile pesa break ya kwanza south afrika Joberg alikua ni dogo mmoja very notorious.....

Baadae inasemekana aka mvuta brother ake aka mjoin....kaka Ake nae ni WA early 90's nasikia walifungiwa ndani na kuchomwa moto wakiwa na kaka Ake....

Mtu wa south alimpasha habari jamaa yetu mmoja na kuthibitishwa kua ni Kweli jamaa wamefariki...

Kwenye maisha yangu sijawai kuwaza kuju kua mwizi au mtu asie faa Mungu ila dakika yeyote Mungu akitaka uwe unakuta.....

Eee mwenyez Mungu tupe mwisho mwema...

Watu wakichoka kua masikini wanafanya vyovyote hata kua wezi.....

Pamojaa na Huyu dogo kuiba Ile 10m ya ofisi by then nimesikitika na vifo vyao it's peinful na mpaka nimekua na hofu na haya maisha..

NB;

NITAKUFAJE_G.K
Kisa chacho kina fanana kidogo na changu ngoja tusubiri idadi na majina jamaa alichukua Hela za kuleta mzigo aka jiongeza kumtafuta tukaja kujua katimkia sauzi kama yupo kwenye list nitaamini malipo duniani, na hata kama hayupo pesa yangu haitaenda bure, na mshtakia mgawa pumzi.
 
View attachment 2736077
View attachment 2735421
Watu wasiopungua 70 wamepoteza maisha na wengine 52 wamejeruhiwa kufuatia moto uliozuka katika jengo la ghorofa tano katikati ya mji wa Johannesberg nchini Afrika Kusini.

Moto huo umetokea katika jengo lililopo katika eneo lenye shughuli nyingi za kibiashara la jiji hilo kubwa la Johannesburg.

Kwa mujibu wa taarifa ya msemaji wa Kitengo cha Huduma za Dharura cha jiji la Johannesburg, Robert Mulaudzi, moto huo umesababishapia watu wengine takriban 52 kujeruhiwa.

Hata hivyo Mulaudzi amesema idadi ya vifo inaweza kuongezeka zaidi kwa kuwa jitihada ya kutafuta miili ya watu kutoka ghorofa moja kwenda nyingine inaendelea.

Katika taarifa yake ya ziada aliyoitoa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X, kampuni ya awali iliyokuwa ikijulikana kama Twitter, msemaji huyo amesema watu kadhaa wameokolewa.

Jengo lililozuka moto ni makazi holela ya watu.

Pamoja na hiyo, akinukuliwa na vyombo tofauti vya habari nchini Afrika Kusini msemaji huyo amesikika akisema jengo hilo lililowaka moto lilikuwa linafanywa makazi kwa wasio na majumba.

Lakini pia mbali ya vifo vilivyotokana na moto, vipo vya baadhi ya watu ambao wanatajwa kufanya jaribio la kuruka kutoka katika jengo hilo refu,katika nyakati za usiku, kipindi ambacho moto huo unaendelea kwa lengo la kutaka kunusuru uhai wao.
View attachment 2735426
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1693672090339.mp4
    12 MB
Hakuna kitu kama hicho faza hawawezi kuchoma watu kwa sababu ya nyumba SA vitu vingi having thamani kivile kushinda Binadamu SA uwe Raia au mgeni unaweza kudondoka ikiitwa ambulance utashitukia upo Hospital kubwa ambayo kwa pesa usingeweza kwenda ila utatibiwa bure na kurudi home wale jamaa mambo ya kuthaminisha vitu kuzidi watu walishatoka huko...
Point Mkuu. SA Wana ustaarabu Fulani ambao huwez kuupata popote. Kuna siku nilidondosha Wallet nikiwa mall aisee dada fulani akaiokota na kunikimbilia na kunikabidhi. Sikuamini maana wallet ilikua Ina kila kitu (ID, leseni, ATM cards)
 
Baada ya kuiona habari hii nimeongea na Mtanzania kwa njia ya simu, yupo Johannesburg. Anasema hao wengi wao ni majambazi, vibaka na wanajihusisha na uhalifu ikiwemo madawa ya kulevya.

Wa Afrika kusini wamewachoma makusudi, walishapewa "warning" mara nyingi wao wakawa wanachukulia powa tu.
uchunguzi umekamilika. Ni madawa ya kulevya!
 
Watanzania hawaelewi kuwaa South AfriCa kuna kikosi cha siri, hata serikali wanasema hawakijui kabisa. Hicho kikiona sehemu uuzji madawa ya kulevya umezidi, kinauwa wote na serikali ikijuwa ni kuhusu madawa ya kulevya hata uchunguzi hawafanyi.

Wengine wanasema ni kikosi cha siri cha serikali yenyewe. Haijulikani.

Wanaitwa "Dudula" hao. Hawataki mchezo kabisa, hawataki hata wageni. Hukumu yao ni kifo tu. Hao wanauwa wahalifu wote, wanaamini wageni ndiyo waanaoleta uhalifu kao.

Hao hata biashara za halali za wageni hawazitaki kabisa. Nwaonea huruma ma "syar" wetu wanokwenda kuwekeza huko.

Hawajui kuwa hawajui.
 
Back
Top Bottom