Maana mi nasikiliza vipindi viwili tu nchi hii xxl ya Clouds fm na Planet Bongo ya East Africa RadioHapo ndipo wanapiga sana bongo fleva maana wao wanasema muziki una ongea zaidi! Wana kipindi kinaitwa Ladha 300 cha saa 9 alasiri!
"Wajinga Rasmi".ulitaka uwe wa kwanza kupost?Pj na Gerard HANDO na MPISHI wao wajinga Rasmi efm
Punguza speed kdogo"Pj na Gerard HANDO na MPISHI wao wajinga Rasmi efm
safi saaana !Hapa si mahali pake ewe mwanaume wa Dar!!!
Mpishi gani tena kwani upishi ni faniWamechukua mpini wakatupa majembe, Tena mpini wenyewe ni wamti wa mabua. Unaweza kusema hivyo ni baada ya Gerardi hando pj na mpishi wao kujiunga Rasmi Efm, huku bingwa wa katanga tanga namzungumzia Gardner g habash kurudi clouds
Clouds wako mbioni kumketa Larry King mstaafu wa CNN
Itakuwa ni fani, mbona wanasomea (hotel management).Mpishi gani tena kwani upishi ni fani