witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
Hilo lijamaa ni la kupotezeaHivi Bu'yaka hamu mjui vizuri? Mtakesha naye hapa bure
Litaharibu huu Uzi..
Hilo lijamaa ni la kupotezeaHivi Bu'yaka hamu mjui vizuri? Mtakesha naye hapa bure
Acha uongo.Sizonje angepotezea tu ishu ya vyeti feki. Kwasababu asilimia kubwa ya wenye vyeti original incompetent kuliko hata wenye vyeti feki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eddy, you are really a comedian . . !Pole sana, sisi tuko driving school tayari kuanza kusukuma noah, halafu kila ijumaa unaingiziwa mrahaba wamadini, siumesikia ngosha kasema winwin business yaani 50%/50%
Hii mbona michache mkuu!?me naitafuta iyo nafasi yakuja kubeba mabox hapa mambo hayaendi kabisaaaaa mwaka wa 4 niko nyumbani na degree yangu
Nahisi unachomwa na kitu chenye ncha Kali.Ukisema mtu ajue kuandika jina la nchi anayoishi, nako ni kujifanya kujua kila kitu?
Elimu yetu Tanzania ni duni, hatukupata msingi mzuri, basi mnapokwenda huko jiendelezeni. Msituletee mbinu za kupiga boxi saa 16 kwa siku.
Eti akipata hela mgongo hausikii tena maumivu. Hata hajui long term effects za kuu stress mgongo. Na nyinyi ndio mnatuletea mpaka furniture zinaitwa ergonomic chairs, kwamba hata kwa kukaa tu unaweza kuumiza mwili kama kiti hakifai. Mtu anakaa nje miaka 20 hayajui haya. Diaspora wa Tanzania bana!
[emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji90] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Enough is Enough. Yalikuwa yamelala sasa umeyaamsha. Umeleta giza kwenye mwanga wangu now get this.
Listen dude am not a low life the way you think.Nina hela ya kutosha I work many hours per day na hela yangu ni clean siyo ya ujanja. Am not desperate. If I want I can live comfortable here and soon Al be granted permanent residence here very soon and the process is going on and Al let you know when it comes out.
You are messing with a wrong person dude here in JF. Nimekuvutia subra na pumz nimesema baas now receive the consequences.
Nimekutengea million arubain. NitKutrak na kukutres na nitakupata tu. Nitakuzaba mfululizo wa makofi kwa muda wa dakika mbili na kila kofi ntakulipa laki. Wait for me am coming to fix you up and the impact will be devastating.
An egg laying mammal
Gharama za maisha zipoje?mshahara kufagia ama dishwashing ni shillingi elfu hamsini kwa saa
Masaa 16 sini full time job hyo.. Unaoshea nyumbani au hotelini?wages are very high so do the cost of living and a very very high taxation. Rent Copenhagen ni juu sana. There is no specific minimum wages ila Dishwashers na cleaners sanasana ni Danish krone 130-150 kwa saa. Mimi nafanya masaa 16 hawa wananilima 36% tax but it's worth it. Ila naishi mbali na jiji in a shared apartment
Mkuu upo bongo lakini unamshinda ata aliye ulaya..Their Social System is very efficient
Kama mshahara ni 50 elfu kwa saa pigia kwa masaa 16 anakua na sh. Ngap 800, 000 kata 36%(288000) anabaki na 512000.Toa 90000 ya matumizi=422000 take homeNa matumizi ni Tshs 90,000 kwa siku kwa iyo unakuwa unaishi kwa kujibana mbaya. Kama ilivyo apa bongo wanaofanya kazi za usafi unakuta mtu anachukua Tshs 4000 au 5,000 lakini matumizi yake kwa apa Dar es salaam ni zaidi ya iyo kwa siku
Mkuu mbona unafanya personnal attack.. Raisi mwenyewe anakosea vp kwa raia wake.. Mistakes zipo tuWanasema Indian Sub-Continent.
Sio sub-Indian continent. Na nchi tunazijua, usituwekee orodha, wewe hujui hata region inaitwaje.
Halafu sema inahitaji Masters ili uje." Sio "hili uje."
Kiswahili kuandika hujui, Kiingeeza hujui, utaacha kufanya "shit jobs"? By the way, wanasema shitty jobs, sio "shit jobs."
Diaspora hawa ndio tunaambiwa eti wakisomea nje wakija nyumbani wanapata ajira kirahisi. Wengine hata kuandika sentensi moja ya Kiswahili au Kiingereza hawawezi. Umekaa Ulaya miaka 10, 20 unasema continent Indian sub
Mkuu umetishaPiga kazi kaka,
Bongo umbeya tuu,vijana wanavaa nguo za dada zao
Alaf hajielewi kwambaPeleka uko ujinga wako, umeambiwa hapa tunaandika essay za maarifa ya jamii?
Unamzodoa jamaa mpk hujistukii na elimu yako ya ualimu wa kuunga unga! Cjui leo umeamkia kweny mataputapu, huu ni pumbavu
Jaribu kuwa na positive image kwa mawazo ya wengine na sio huo wivu wa kithengerema
Kuna watu wanapenda kupata taarifa kutoka kwa huyu bwana lkn umekuwa wa ajabu kila unapopewa nafasi ya kujifunza
Shit! Tanzania lingekuwa dhehebu mi ningebatizwa nihamie dhehebu lingine.
Watz weng ni wajinga with narrow minded brain
Yani zali ni kubeba box.. Kweli vijana tumepoteza matumaininikipata zali..nikabebe box hahaha
Mkuu punguza kuwaza mitelezo.. Uoe kibibi kwani mabinti wakali hamna?Inakuwaje ukipata binti au ka Bibi ka kiDensh ukaoa...unaweza epuka [HASHTAG]#box[/HASHTAG].?